JAKAYA MRISHO KIKWETE; Ukifanya Haya Bei Ya Sukari Itashuka

Uswe

JF-Expert Member
Nov 1, 2010
2,204
626
''......hata kwa maeneo yaliyo mbali na viwanda vya sukari bei haiwezi kuzidi shilingi 1,700/= kwa kilo. Atakayeuza kwa bei kubwa zaidi ya hiyo anadhulumu,TAARIFA ZITOLEWE ILI HATUA KINIDHAMU NA KISHERIA ZICHUKULIWE, IKIWA NI PAMOJA NA UWEZEKANO WA KUFUTIWA LESENI YA BIASHARA''Hiyo ni kauli ya mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete.Kuna tools za kichumi za kupandisha na kushusha bei ya bidhaa, kama nakumbuka vizuri, mheshimiwa ana Bachelors degree ya Economics, anatakiwa awe anafahamu haya.


1. Punguza Gharama za uzalishaji; Katika nchi isiyo na umeme wenyeviwanda wanategemea umeme mbadala, kwa kiasi kikubwa itakuwa ni diesel ambayo ni several times expensive kuliko umeme wa TANESCO...JK unasemaje kuhusu umeme wa uhakika.

2. Kodi: Mzalishaji mara zote atatumia bei kuhamisha mzigo wa kodi kwa mlaji, badala ya kuwatishia eti watachukuliwa hatua za kisheria, hebu punguza au futa kodi kwenye sukari afu uone kama bei haishuki, kama serikali haiko tayari kupoteza kwa kupunguza kodi kwa nini JK anaamini mzalishaji na mfanyabisahara watakua tayari kupoteza kwa kupunguza bei?

3: INFLATION FACTOR; production ya sukari inajumuisha vitu vingi, kama mfumuko wa bei (kwa vitu vyote ikiwepo labor) unaongezeka kila kukicha, kwa nini JK anategemea bei ya sukari itabaki pale pale? STOP THREATING SIR, INSTEAD CURB INFLATION!Mwisho: Bei ya vitu is to large extent dyanamic, if you know the dynamics behind the price, you know how to control it, if you don't then 'UTAISHIWA KUWATISHIA WATU ETI MSIPOUZA KWA 1,700 TUTAWADHIBU HIVI AU TUTAWAADHIBU VILE
 
Samahani kaka, Shahada yenyewe ilikuwa ya Pass. Na kama sikosei hata yenyewe alizawadiwa kwa kuwa ingekuwa fedheha kwa Rais wa DARUSO kuDisco...
Tegemea mengi hasi kutoka kwake!
 
Toka alipo maliza chuo amewahi ku-practice uchumi?, amewahi hata kusoma majarida ya uchumi: kama sivyo basi yeye si mchumi na hajui uchumi.
 
Mi naona akitoka ikulu au kwa kunguvu au kwa kujiuzulu bei ya sukari itashuka tu.huwezi kumfundisha mbwa mzee ujanja mpya!! yaani cant teach an old dog new tricks!!
 
Samahani kaka, Shahada yenyewe ilikuwa ya Pass. Na kama sikosei hata yenyewe alizawadiwa kwa kuwa ingekuwa fedheha kwa Rais wa DARUSO kuDisco...
Tegemea mengi hasi kutoka kwake!

Are you serious kwamba huyu mzee alikuwa rais wa DARUSO? Mmhh sasa alikuwa anawaongozaje hao wanafunzi au nao walikuwa wagonjwa kama tulivyo sisi? No still mm siamni kama alikuwa rais wa DARUSO.
 
Are you serious kwamba huyu mzee alikuwa rais wa DARUSO? Mmhh sasa alikuwa anawaongozaje hao wanafunzi au nao walikuwa wagonjwa kama tulivyo sisi? No still mm siamni kama alikuwa rais wa DARUSO.

mzee ana damu ya kupendwa
 
hapana,tatzo kubwa ni usimamizi mbovu uliopo kwa hao tuliowaamini,umeme ushuke,kodi iwe reazonable

....umeme ushuke,kodi iwe reazonable>>bei ya sukari (kama anavotaka JK) itashuka
 
mwacheni jamani....anaogopa kuondolewa ikulu kwa maandamano....au kama mwenyewe anavyoita.....MABAVU
 
mwacheni jamani....anaogopa kuondolewa ikulu kwa maandamano....au kama mwenyewe anavyoita.....MABAVU

little too late, nguvu ya umma iko kahama by the time inafika dar, mkuru anatakiwa awe keshaondoka pale karibu na ferry
 
Back
Top Bottom