Kigogo
JF-Expert Member
- Dec 14, 2007
- 20,508
- 6,146
Raisi wetu anapenda utamaduni
hahaaaa hii ya pili ndo nimeipenda sana..kweli huyu jamaa ana vipaji naona hapa anasakata ngoma ya GOMBE SUGU!!!!
Raisi wetu anapenda utamaduni
Nani Kama Kikwete?
Rais wetu ni mtu wa watu, hapo anacheza kiduku!Raisi wetu anapenda utamaduni
mkuu chunga mabandiko yako pls.....hizo kauli mkuu wa nchi mwenye kipaji na usikivu kwa wananchi wake kama JK hawezi zisema...ni propaganda za magazeti na wapinzani wasiokuwa na shukrani hata kwa kile anachokifanya Mhesh Raisalisema wasichana wanapata mimba na ukimwi kwa kuwa wana viherehere....asante mchungaji Masa
that is my president.One and Only Dr Kikwete.Amefanya mpaka marekani wanaipenda zaidi Tz kwa sasa.Ni mzuri sana kututafutia misaada.Big up JK.
Mkuu naomba uwe na hishma na mheshimiwa raisi
Nani Kama Kikwete?
Nani Kama Kikwete?