We ni mpuuziUpuuzi upi sasa, wa aliyeleta hojaaa au?
We ni mpuuziUpuuzi upi sasa, wa aliyeleta hojaaa au?
Naona sasa hivi JK si rais dhaifu tena!
Sio vyote vya JK vilikuwa vibaya. Ila tatizo ni kujipigia promo. Unakumbuka barabara ya tunduma sumbawanga ilizinduliwa mara 2Angeweza kuachana nao tu Kama alivopiga chini bandari ya bwagamoyo au umeme wa gesi.
Umechambua vizuri. Hii ndo akili za ki great thinker tunazozitaka. 👏 👏 👏Kwavitu akivovifanya Mkapa ilikuwa ngumu kujipigua promo na Wananchi kumuelewa. Yeye alicheza vizuri Sana kwenye reforms za sera, miongozo, kanuni na Sheria mbalimbali za nchi na kuunda gvt mechanisms za kutekeleza maboresho hayo. Ni ngumu mwananchi wa kawaida kumuuelewa mtu aliyeanzisha gvt structure nzuri ya kukusanya Kodi kulinganisha na mtu anayezindua daraja.
Hawa wa Sasa wache wajipigie promo coz wanadili na vitu physical zaidi ambavo hata mtoto mdogo anaviona kuliko reforms za kisera.
Sure mkuuDuuuu baba misifaa?
Wewe itakusaidia nini Chadema wasiposhika nchi?Hapo tu Chadema mnapokosea badala ya kueneza sera na ilani ya Chadema na kueleza mtawafanyia nini watanzania mtakapopewa ridhaa ya kuongoza, nyinyi mmekalia kubishania miradi ya iliyotekelezwa na CCM. Kwa mtindo huu itawachukua muda mrefu sana kuingia Ikulu.