Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 24,891
- 33,450
Hahahha....kweli Magufuli kawabana, yani mpaka mnammiss JK?Sure maana baba masifa angesema ni yeye, hata daraja la Kingamboni na Mwendokasi anasema nini yeye.
naona mnashindwa tu kutamka kwamba aje agombee tena huko.
Magufuli hebu waonee huruma hawa watu jamani