Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 11,638
- 8,571
Kwani mamaako mwanaume siku hizi? Maana ndio huwa niko naye kwenye mambo hayo!!Na pumbu utapigwa.
Kwani mamaako mwanaume siku hizi? Maana ndio huwa niko naye kwenye mambo hayo!!Na pumbu utapigwa.
Endelea kupiga tantalia wakati mwenzako bank kuu ya kenya inasema chini ya itawala wake tumeuza zaidi kenya kuliko wao walivyouza kwetu...
Hajui bei ya mafuta,atasema chochote.Mshika remote aisifia TV
wa chato utawajua tu..wamenuna ajili mama amepotezea ujinga wa mwenda zake...nasema Mama lazima atoboe tu. ije mvua ya mafuriko lije jua la kiangazi....JK ni bingwa wa spinning politics, anatafuta angle ya kuhamisha mjadala wa utawala wa mama kudorora, na anajua fika siku za mama kuendelea kukaa madarakani zinahesabika sana, maana kinachoendelea nyuma ya pazia ni kitu kizito na taarifa tetesi zimeshaanza kuvuja.
WanaCCM wanasema Mama hatoboi, iwe jua iwe mvua!
Kweli mkuu, walitaka kujificha kwa wasukuma, wamekanwa mchana kweupewa chato utawajua tu..wamenuna ajili mama amepotezea ujinga wa mwenda zake...nasema Mama lazima atoboe tu. ije mvua ya mafuriko lije jua la kiangazi....
Jk siyo mjinga ana diplomasia ya kimataifa tangu...anajulikana Duniani.ni mwerevu! Anajua wajinga mpo hamkosagi.
Wewe ndio unadeliver. Basi sawa.Samia hakuna anachodeliver kwenye nchi!