Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,786
Wewe umejifunzia wapi hizi sheria? Unaelewa maana ya "absolute powers" au unaitafsiri tu unavyotaka wewe? Unadhania kwa nini kuhusu watu ambao wamesemekana ni corrupt Raisi anasema wacha sheria ichukue mkondo wake? Kama unampenda Raisi wetu sema hivyo lakini usimpe nguvu ambazo hata yeye mwenyewe atakuambia hana.
Haya kama raisi wa JMT hana absolute Powers niambie ni kitu gani ambacho raisi wa JMT hawezi kufanya, au ni uamuzi gani ambao hawezi kuchukuwa kama Raisi wa JMT au ni Amri gani ambayo anaweza kuitoa na ikapingwa mahali fulani ndani ya JMT !