Ukiangalia yanayoendelea Ikulu kuanzia teuzi hadi nchi inavyoendeshwa unaona kabisa ni JK nyuma ya pazia.
Hapa utaona approach ya mama kuhusu safari, kuhusu bandari ya Bagamoyo, kuhusu uwekezaji, nk unagundua ni JK tupu.
Ukija kwa wakosoaji wakubwa wa serikali kupitia social medias ambao waliibuka kipindi cha JPM unagundua wako upande wa JK, na walipunguza ukosoaji mara baada ya kifo cha JPM, anza na Kigogo, njoo kwa Fatma Karume, Mange, Zitto nk
Maliza kwa watabiri wa JF,
Tumia Akili
Mwenye utabiri huu.
- Rais ambaye hajawahi kugombea, ilitokea Marekani, itatokea tena huku
baada ya kifo cha JPM alitoa masharti ya aliyodai inaitwa the state kwenda kwa Samia,, ukiyasoma vizuri unagundua ni mawazo ya JK. Yani hadi katiba mpya maana nao ni mchakato ulioanzishwa na JK.
Masharti yenyewe ndo haya:
- Taarifa maalumu, 'operation' imesitishwa, nuru imeonekana na 'the State' wamesema apewe muda
Ikumbukwe pia kabla ya kifo JPM zilikuwepo tetesi kuwa JK hakuwa akiridhishwa na leadership style ya JPM na hapo ndo watabiri akiwemo Tumia Akili wakatutabiria msiba...
Mtabiri mwingine wa JF anayejulikana km TumainiEl ambaye alipata kuaminika baada ya kutabiri kupotea kwa Ben sa8 kisha mwezi August 2021 akatabiri yaliyotokea juzi Dodoma kwenye uzi huu:
- Natabiri yatakayotokea siku za usoni watanzania tuzidi kusali
nae kwenye uzi wake huu
- Mh. Rais, kwani mkopo wa madaktari ni wa bure hawalipi?
alimalizia kwa kumuomba JK apaze sauti. Kama kweli yuko kama anavyojinasibu yaweza kuwa JK hakutajwa kwa bahati mbaya.
Na inavyoonekana JK hajawa rasmi upande wa Samia, bado amemuweka kwenye uangalizi ndo maana baadhi ya maonyo yanatolewa kupitia kwa wasemaji wasio rasmi.
Iwapo mtazamo wangu utakuwa sahihi basi huyu mwamba anastahili heshima yake, haijalishi anatupeleka kuzuri au kubaya ila kitendo cha kuwaweka mkononi watu milioni sitini sio kitu cha kuchukulia poa.
Hapa utaona approach ya mama kuhusu safari, kuhusu bandari ya Bagamoyo, kuhusu uwekezaji, nk unagundua ni JK tupu.
Ukija kwa wakosoaji wakubwa wa serikali kupitia social medias ambao waliibuka kipindi cha JPM unagundua wako upande wa JK, na walipunguza ukosoaji mara baada ya kifo cha JPM, anza na Kigogo, njoo kwa Fatma Karume, Mange, Zitto nk
Maliza kwa watabiri wa JF,
Tumia Akili
Mwenye utabiri huu.
- Rais ambaye hajawahi kugombea, ilitokea Marekani, itatokea tena huku
baada ya kifo cha JPM alitoa masharti ya aliyodai inaitwa the state kwenda kwa Samia,, ukiyasoma vizuri unagundua ni mawazo ya JK. Yani hadi katiba mpya maana nao ni mchakato ulioanzishwa na JK.
Masharti yenyewe ndo haya:
- Taarifa maalumu, 'operation' imesitishwa, nuru imeonekana na 'the State' wamesema apewe muda
Ikumbukwe pia kabla ya kifo JPM zilikuwepo tetesi kuwa JK hakuwa akiridhishwa na leadership style ya JPM na hapo ndo watabiri akiwemo Tumia Akili wakatutabiria msiba...
Mtabiri mwingine wa JF anayejulikana km TumainiEl ambaye alipata kuaminika baada ya kutabiri kupotea kwa Ben sa8 kisha mwezi August 2021 akatabiri yaliyotokea juzi Dodoma kwenye uzi huu:
- Natabiri yatakayotokea siku za usoni watanzania tuzidi kusali
nae kwenye uzi wake huu
- Mh. Rais, kwani mkopo wa madaktari ni wa bure hawalipi?
alimalizia kwa kumuomba JK apaze sauti. Kama kweli yuko kama anavyojinasibu yaweza kuwa JK hakutajwa kwa bahati mbaya.
Na inavyoonekana JK hajawa rasmi upande wa Samia, bado amemuweka kwenye uangalizi ndo maana baadhi ya maonyo yanatolewa kupitia kwa wasemaji wasio rasmi.
Iwapo mtazamo wangu utakuwa sahihi basi huyu mwamba anastahili heshima yake, haijalishi anatupeleka kuzuri au kubaya ila kitendo cha kuwaweka mkononi watu milioni sitini sio kitu cha kuchukulia poa.