Jakaya Kikwete kuwa mwangalifu na marafiki zako

Tiote

Senior Member
Mar 6, 2011
139
36
Uchaguzi mkuu wa mwaka 2005 ulitoa matokeo yaliyokupa weweushindi wa kimbunga wa asilimia 80 na ushee. Waliokupigia kura zilizokuwezesha kuingiaIkulu ni watanzania waliokuamini na kukupa dhamana uwaongoze. Hapa sitakikukubaliana na "marafiki zako" wanaodai kuwa wao ndio waliokuingiza Ikulu. Miminamini kuwa umeingia hapo kwa maamuzi yako wewe binafsi, watanzania, na, barakaza Mwenyezi Mungu. "Marafiki zako" hao wameanza kujisema hadharanikuwa wao ni WAUAJI (rejea thread ya Membe kuwa Muangalifu: Adui yako humjui), na kama hilo halitoshi, wanakuhusisha wewe ktk DHAMBI hiikubwa kuliko dhambi nyingine yeyote. Wanafanya hivi kwa sababu weweunawakaribisha "mahali patakatifu" kunywa nao chai na kuwasikiliza wanayokuambia.Kuna baadhi yao wamesikika wakisema kuwa wao wanatoka ktk kabila yenye damu yakuua. (Kabila hilo halipo katika bara la Afrika lililojaa ustaarabu na heshima kwa maisha ya binadamu wengine), hivyo wao kutoa roho ya mtu sioissue kabisa. "Marafiki" hawa wakija kwako wanakuwa watiifu nawanyenyekevu kama masista pale Vatican, lakini wakitoka tu hapo Ikulu, wanarudiktk damu yao ya asili. "Marafiki" hawa wameisha gundua kuwa huna msaada kwaokwani wanazongwa na matatizo lukuki toka kwa wenye nchi, lakini hawapati msaadawako. Wewe unalijua hilo kwani unashindwa kuwasaidia kwa kuhofia reactions yawaliokudhaminisha Ikulu. Kitendo cha wewe kuwasaidia kitakutenganisha nandugu zako wa kweli (hawa ni marafiki zako waadilifu). Ukiwapoteza tu nduguzako hawa, basi ujue kuwa "marafiki zako" wanafiki ndio watakaokuwa wa kwanzakukutenda kwani hutakuwa na pa kwenda. Nimesoma sana vitabu vyote vya dini zetu Tukufu,bado sijaona sehemu inayokuagiza wewe kama Kiongozi wa juu kabisa ktk nchiKUWATETEA watu wachache wanaolihujumu Taifa ambalo wananchi wake wamekuamini nakukupa dhamana ya KUWALINDA. Rudi tena ktk dini yako na ujiulize, je, upo Ikulukwa akili ya kuwatetea marafiki zako wanaohujumu mali za wananchi ambao nimasikini? Jibu utakalolipata LIFANYIE kazi bila kuchelewa. Imani ya watanzaniakwako inapungua kila kukicha, hii ni kwa sababu wanaona mambo yanakwendakinyume na walivyokutegemea. Wananchi hawakutegemea kama ungeendelea kukaakimya huku ukiona wazi kuwa Chama chako kinahujumiwa, familia yako inahujumiwa,marafiki (ndg zako) wanahujumiwa, na nchi unayoiongoza inahujumiwa. Kibayazaidi ni kuwa, wanaofanya hujuma hizo ni marafiki zako ambao badounawakaribisha Ikulu. TAFAKARI, CHUKUA MAAMUZI. Taifa zima lipo nawe, unaogopanini? Hivi unadhani ukimaliza muda wako wa kutawala bila kuwachukulia hatuazinazostahili hawa marafiki zako utaishi kwa amani? Usidanganyike hata chembe,utasakamwa mpaka na majirani zako, utakuwa mpweke, utabaki peke yako. Ulipokuwa unagombea mwaka 2005 wananchi walikufananishana Hayati Julius Kambarage Nyerere, wakajenga imani kubwa kwako kutokana namisimamo yako, umakini wako, na ukaribu wa familia yako na ya Mwl. Nyerere.Wakajua kuwa umebeba siri ya uongozi toka kwa marehemu Mzee Mrisho, na Hayatibaba wa Taifa, Mwl. J. K. Nyerere. Sifa ya wazee hawa sote tunaijua, lakini siohivyo unavyofanya. Unawaumiza watetezi wako wa kweli. Wewe ni MTAWALA,TAFADHALI TAWALA NCHI HII. Waliokupa dhamana hawana pa kwenda kwa sasa,usiwaache jangwani, Mungu atakuuliza, umewaacha wapi na vipi waja wangu?
 
Mpaka leo hii hujajua tu kuwa hao marafiki zake ndio waliomfikisha hapo alipo?Ndio maana hawezi kuchukua hatua kwa hao maana wana nguvu kama yeye ingawa vyeo tu ndio vimepishana.
 
Uchaguzi mkuu wa mwaka 2005 ulitoa matokeo yaliyokupa weweushindi wa kimbunga wa asilimia 80 na ushee. Waliokupigia kura zilizokuwezesha kuingiaIkulu ni watanzania waliokuamini na kukupa dhamana uwaongoze. Hapa sitakikukubaliana na "marafiki zako" wanaodai kuwa wao ndio waliokuingiza Ikulu. Miminamini kuwa umeingia hapo kwa maamuzi yako wewe binafsi, watanzania, na, barakaza Mwenyezi Mungu. "Marafiki zako" hao wameanza kujisema hadharanikuwa wao ni WAUAJI (rejea thread ya Membe kuwa Muangalifu: Adui yako humjui), na kama hilo halitoshi, wanakuhusisha wewe ktk DHAMBI hiikubwa kuliko dhambi nyingine yeyote. Wanafanya hivi kwa sababu weweunawakaribisha "mahali patakatifu" kunywa nao chai na kuwasikiliza wanayokuambia.Kuna baadhi yao wamesikika wakisema kuwa wao wanatoka ktk kabila yenye damu yakuua. (Kabila hilo halipo katika bara la Afrika lililojaa ustaarabu na heshima kwa maisha ya binadamu wengine), hivyo wao kutoa roho ya mtu sioissue kabisa. "Marafiki" hawa wakija kwako wanakuwa watiifu nawanyenyekevu kama masista pale Vatican, lakini wakitoka tu hapo Ikulu, wanarudiktk damu yao ya asili. "Marafiki" hawa wameisha gundua kuwa huna msaada kwaokwani wanazongwa na matatizo lukuki toka kwa wenye nchi, lakini hawapati msaadawako. Wewe unalijua hilo kwani unashindwa kuwasaidia kwa kuhofia reactions yawaliokudhaminisha Ikulu. Kitendo cha wewe kuwasaidia kitakutenganisha nandugu zako wa kweli (hawa ni marafiki zako waadilifu). Ukiwapoteza tu nduguzako hawa, basi ujue kuwa "marafiki zako" wanafiki ndio watakaokuwa wa kwanzakukutenda kwani hutakuwa na pa kwenda. Nimesoma sana vitabu vyote vya dini zetu Tukufu,bado sijaona sehemu inayokuagiza wewe kama Kiongozi wa juu kabisa ktk nchiKUWATETEA watu wachache wanaolihujumu Taifa ambalo wananchi wake wamekuamini nakukupa dhamana ya KUWALINDA. Rudi tena ktk dini yako na ujiulize, je, upo Ikulukwa akili ya kuwatetea marafiki zako wanaohujumu mali za wananchi ambao nimasikini? Jibu utakalolipata LIFANYIE kazi bila kuchelewa. Imani ya watanzaniakwako inapungua kila kukicha, hii ni kwa sababu wanaona mambo yanakwendakinyume na walivyokutegemea. Wananchi hawakutegemea kama ungeendelea kukaakimya huku ukiona wazi kuwa Chama chako kinahujumiwa, familia yako inahujumiwa,marafiki (ndg zako) wanahujumiwa, na nchi unayoiongoza inahujumiwa. Kibayazaidi ni kuwa, wanaofanya hujuma hizo ni marafiki zako ambao badounawakaribisha Ikulu. TAFAKARI, CHUKUA MAAMUZI. Taifa zima lipo nawe, unaogopanini? Hivi unadhani ukimaliza muda wako wa kutawala bila kuwachukulia hatuazinazostahili hawa marafiki zako utaishi kwa amani? Usidanganyike hata chembe,utasakamwa mpaka na majirani zako, utakuwa mpweke, utabaki peke yako. Ulipokuwa unagombea mwaka 2005 wananchi walikufananishana Hayati Julius Kambarage Nyerere, wakajenga imani kubwa kwako kutokana namisimamo yako, umakini wako, na ukaribu wa familia yako na ya Mwl. Nyerere.Wakajua kuwa umebeba siri ya uongozi toka kwa marehemu Mzee Mrisho, na Hayatibaba wa Taifa, Mwl. J. K. Nyerere. Sifa ya wazee hawa sote tunaijua, lakini siohivyo unavyofanya. Unawaumiza watetezi wako wa kweli. Wewe ni MTAWALA,TAFADHALI TAWALA NCHI HII. Waliokupa dhamana hawana pa kwenda kwa sasa,usiwaache jangwani, Mungu atakuuliza, umewaacha wapi na vipi waja wangu?
Walio muweka alipo ndio wenye maamuzi juu yake!
 
natofautiana na ww kdg unapomshauri atawale..., ungesema aongoze nchi, there is a big difference between a ruler and a leader
 
Napata shaka pia kama uliyoyasema hayafahamu. Huyu haambiliki watu wamesema sana anaenda jukwani kuwaombea kura na kuwasifia atachukua hatua gani unadhani? Pili mwenzake alikuwa anaongea na waandishi wa habari kakatisha maongezi hayo nakudaiwa kaitwa ikulu, unavyodhani kaitwa na nani huko kama sio rais wako unaempamba yuko karibu na familia ya baba wa taifa?

Rafiki yako hawezi kufanya kitu bila kumshauri japo yapo machache anaweza fanya bila kuomba ushauri kwanza, lakini vyovyote iwavyo yuko pamoja nao ungeshauri tumwombe kwa nguvu atupishe nchi hii si yake na marafiki zake na ikulu si mahala pakunywea chai na rafiki zake ambao wewe umesema wanatuhujumu
 
Kaka huna hata nukta?
Kama ni hivyo kwenye keyboard mwandiko wako ukoje?
Ila uliyosema ni point.
 
Mpaka leo hii hujajua tu kuwa hao marafiki zake ndio waliomfikisha hapo alipo?Ndio maana hawezi kuchukua hatua kwa hao maana wana nguvu kama yeye ingawa vyeo tu ndio vimepishana.

Natofautiana na wewe hapo kwenye red, wana nguvu kumzidi yeye.
 
Tulioachwa solemba tangu 2005 kuchezewa ndevu na Mafisadi kwa kutia mikono ya katika kila rasilmali ya taifa bila kudhibitiwa na hivi sasa tena wameingia wengine wa aina hiyo hiyo isipokua tu umri ndio mdogo (Januari Makamba na Zitto Kabwe), wala hatudanganyiki tena, hatuambiliki wala hatuelewi somo - yametufikia pomoni kabisaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa, jamani sitaki kusikia!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Mtanifanya nishikwe na ukichaa bure nikikumbuka imani niliokua nayo kwa Rais Kikwete tangu 2005 na jinsi mambo yalivyogeuka juu chini; njozi iliopotea jamani sitakiiiiiiiiiiiiiiii!!!!!!!!!!!!!!!!
 
natofautiana na ww kdg unapomshauri atawale..., ungesema aongoze nchi, there is a big difference between a ruler and a leader

Rais ni MTAWALA. Vyombo vyote vya ulinzi na usalama vipo chini yake. Ana Bunge, Dola na Mahakama.
 
Tulioachwa solemba tangu 2005 kuchezewa ndevu na Mafisadi kwa kutia mikono ya katika kila rasilmali ya taifa bila kudhibitiwa na hivi sasa tena wameingia wengine wa aina hiyo hiyo isipokua tu umri ndio mdogo (Januari Makamba na Zitto Kabwe), wala hatudanganyiki tena, hatuambiliki wala hatuelewi somo - yametufikia pomoni kabisaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa, jamani sitaki kusikia!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Mtanifanya nishikwe na ukichaa bure nikikumbuka imani niliokua nayo kwa Rais Kikwete tangu 2005 na jinsi mambo yalivyogeuka juu chini; njozi iliopotea jamani sitakiiiiiiiiiiiiiiii!!!!!!!!!!!!!!!!

Angalia usijempiga ngumi mtu hapo karibu yako. Kwakuwa ndio Rais wetu tusikate tamaa, tuendelee kumshauri achukue hatua madhubuti dhidi ya marafiki zake wanaoshutumiwa kwa UFISADI.
 
Yaonekana hatuelewani mnaomfagilia rais na mafisadi wake. Napata shaka pia wengi wetu tshirt, kofia, vitenge, chumvi na ama mlinufaika na mwigulu nchemba kuendesha kampeni za chumba kwa chumba na shuka kwa shuka. Kwa mwenye kuelewa bado unaweza kumshabikia rais wetu huyu akaae magogoni kunywa chai na wenzake?

Inasikitisha sana
 
Napata shaka pia kama uliyoyasema hayafahamu. Huyu haambiliki watu wamesema sana anaenda jukwani kuwaombea kura na kuwasifia atachukua hatua gani unadhani? Pili mwenzake alikuwa anaongea na waandishi wa habari kakatisha maongezi hayo nakudaiwa kaitwa ikulu, unavyodhani kaitwa na nani huko kama sio rais wako unaempamba yuko karibu na familia ya baba wa taifa?

Rafiki yako hawezi kufanya kitu bila kumshauri japo yapo machache anaweza fanya bila kuomba ushauri kwanza, lakini vyovyote iwavyo yuko pamoja nao ungeshauri tumwombe kwa nguvu atupishe nchi hii si yake na marafiki zake na ikulu si mahala pakunywea chai na rafiki zake ambao wewe umesema wanatuhujumu

Nakubaliana na wewe...
 
Yaonekana hatuelewani na ama mnafanya makusudi kwa wale mnaomfagilia rais na mafisadi wake. Napata shaka pia wengi wetu tshirt, kofia, vitenge, chumvi na ama mlinufaika na mwigulu nchemba kuendesha kampeni za chumba kwa chumba na shuka kwa shuka. Kwa mwenye kuelewa bado unaweza kumshabikia rais wetu huyu akaae magogoni kunywa chai na wenzake?

Inasikitisha sana
 
Back
Top Bottom