Nyambala JF-Expert Member Oct 10, 2007 4,465 1,170 Apr 21, 2011 Thread starter #21 Abdulhalim said: Ukiwachukulia serious hawa 'waishiwa' utaishia kuwa chizi Click to expand... Kabisa mkuu, I think this statement sums up everything kuhusiana na hawa jamaa.
Abdulhalim said: Ukiwachukulia serious hawa 'waishiwa' utaishia kuwa chizi Click to expand... Kabisa mkuu, I think this statement sums up everything kuhusiana na hawa jamaa.
Onduru Ogy JF-Expert Member Feb 8, 2011 1,136 1,175 Dec 12, 2014 #22 Hatimaye wameteuliwa wakuu wa chuo hiki, walobeza waje wachochee tena maendeleo mengine kuanzia hatua hii ilofikiwa naJK.
Hatimaye wameteuliwa wakuu wa chuo hiki, walobeza waje wachochee tena maendeleo mengine kuanzia hatua hii ilofikiwa naJK.
M majeshi 1981 JF-Expert Member Dec 7, 2013 2,090 812 Dec 19, 2014 #23 onduru ogy said: Hatimaye wameteuliwa wakuu wa chuo hiki, walobeza waje wachochee tena maendeleo mengine kuanzia hatua hii ilofikiwa naJK. Click to expand... hakika, chuo kikuu cha kilimo cha MWALIMU JK NYERERE kipo njiani, je ? kile cha katavi vipi?
onduru ogy said: Hatimaye wameteuliwa wakuu wa chuo hiki, walobeza waje wachochee tena maendeleo mengine kuanzia hatua hii ilofikiwa naJK. Click to expand... hakika, chuo kikuu cha kilimo cha MWALIMU JK NYERERE kipo njiani, je ? kile cha katavi vipi?
Utingo JF-Expert Member Dec 15, 2009 10,270 8,031 Dec 19, 2014 #24 if you think big....you can not think of ccm and it's leadership
S stormryder JF-Expert Member Mar 23, 2013 2,162 2,469 Dec 20, 2014 #25 Majengo ya mwanzo ni Oswald Mang'ombe High School,kitafunguliwa mwaka 2015