MWANASHERIA
Member
- Aug 20, 2010
- 84
- 11
baada ya kumuandama benjamini mkapa na mgodi wake wa makaa ya mawe, kikwete amejenga kiwanda chake cha cement hapa mbagala.
kinachotuumiza wananchi ni kwamba hiki kiwanda kipo kwenye makazi yetu, kinyume kabisa na kanuni za ujenzi wa viwanda vya aina hii, hata ukiangalia viwanda vingine vyote vya cement vipo mbali sana na makazi ya watu.
mpaka hapo tunasikitikia afya zetu, sijui nani atakifunga hiki kiwanda. Tufakufa kwa cancer siku si nyingi.....
eeeee mungu tuokoe na kiwanda cha kikwete sisi wakazi wa mbagala..
kinachotuumiza wananchi ni kwamba hiki kiwanda kipo kwenye makazi yetu, kinyume kabisa na kanuni za ujenzi wa viwanda vya aina hii, hata ukiangalia viwanda vingine vyote vya cement vipo mbali sana na makazi ya watu.
mpaka hapo tunasikitikia afya zetu, sijui nani atakifunga hiki kiwanda. Tufakufa kwa cancer siku si nyingi.....
eeeee mungu tuokoe na kiwanda cha kikwete sisi wakazi wa mbagala..