dega
JF-Expert Member
- Dec 18, 2012
- 3,138
- 3,042
Jakaya huyu wa goli la mkono au mwengine??
Jakaya huyu wa tume wanaiyoiendesha kwa remote au mwengine?
Jakaya huyu anaepeleke majeshi Zanzibar kuizuia democracy au yupo mwengine?
Jakaya huyu aliyeua wazanzibari kisa kukataa dhulma, ni huyu au yupo mwengine?
Jakaya huyu aliyebariki uhuni wa Jecha au yupo mwengine??
Jakaya huyu anaechekelea ubakaji wa democracy, ni yeye au yupo mwengine?
DunianiI wawili wawili lakini kama ni huyu, waliomchagua watuombe radhi. Au sisi tunastahili tunayofanyiwa na watu hawa ndio maana wanapongezwa kwa kuteuliwa? Eti wakasimamie demkrasia, kazi iliyowashinda katika nchi zao!
Jakaya huyu wa tume wanaiyoiendesha kwa remote au mwengine?
Jakaya huyu anaepeleke majeshi Zanzibar kuizuia democracy au yupo mwengine?
Jakaya huyu aliyeua wazanzibari kisa kukataa dhulma, ni huyu au yupo mwengine?
Jakaya huyu aliyebariki uhuni wa Jecha au yupo mwengine??
Jakaya huyu anaechekelea ubakaji wa democracy, ni yeye au yupo mwengine?
DunianiI wawili wawili lakini kama ni huyu, waliomchagua watuombe radhi. Au sisi tunastahili tunayofanyiwa na watu hawa ndio maana wanapongezwa kwa kuteuliwa? Eti wakasimamie demkrasia, kazi iliyowashinda katika nchi zao!