Jakaya Kikwete: Huwezi kuandika historia ya SADC bila mchango wa Tanzania

Uzalendo wa Kitanzania

JF-Expert Member
Mar 8, 2020
2,201
4,673
Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania awamu ya nne na Mkuu wa Chuo Kikuu Cha Dar es salaam, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amesema kuwa huwezi kuandika Historia ya SADC bila kutaja mchango wa Tanzania

Dkt. Kikwete ameyasema hayo wakati wa Kongamano la Maadhimisho ya miaka 40 ya Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Africa SADC linalofanyika katika Ukumbi wa Maktaba mpya ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Leo tarehe 21 May, 2021.

1621596735620.png
 
Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania awamu ya nne na Mkuu wa Chuo Kikuu Cha Dar es salaam Mheshimiwa Dkt Jakaya Mrisho Kikwete amesema kuwa huwezi kuandika Historian ya SADC bila kutaja mchango wa Tanzania

Mheshimiwa Kikwete ameyasema hayo wakati wa kongamano la miaka 40 tokea kuanzishwa kwa SADC
Na pia haiwezi kuandikwa bila kutaja mchango binafsi wa Hayati Mwl. J.K Nyerere rais wa kwanza wa Tanganyika iliyokuja baadae kuwa Tanzania kufuatia muunganiko na Kisiwa cha Zanzibar na Pemba
 
21 May 2021
Dar es Salaam, Tanzania

Wabobevu wa SADC Wahudhuria Kongamano la SADC kutimiza miaka 40
Jakaya Kikwete anakumbusha kuwa Tanganyika ilikuwa kimbilio la wapigania uhuru toka nchi ambazo hazikuwa huru kipindi hicho upande huu wa Kusini mwa Afrika...


Source : Bongo Vevo
 
Hongera sana Tanzania kwa mchango wako uliotukuka katika maendeleo ya SADC.
 
Back
Top Bottom