mojave
JF-Expert Member
- Apr 30, 2016
- 5,564
- 6,403
mkuuUsiseme kujaribu...YOU WILL FAIL..... fanya utafanikiwa....
mkuuUsiseme kujaribu...YOU WILL FAIL..... fanya utafanikiwa....
Mkuu Soma acha Kurupuka Cheki Nilivyosema Unaweza Kuanza na tetea 40 na Majogoo 7 kwa Kuuza Laptop yako ukaenda Kuishi nje ya Mji uza Na Smartphone yako Hao Kuku Kijijini Unawaachia tuu haina haja ya Pumba ningazungumzia Bei Rahisi ya Dawa za Kuku wa Kienyeji.Uliotoa post yako haujitambui na hauna mawazo critical ya kuweza kumshawish mtuu!! Una matatzo saana ww ila kiukweli hauwez mlingansha jakaya ktk kilimo na graduate fresh from colege
Hata wazee wa Kale walisema jembe halimtupi mkulima Kuna Mabonde na Mito mingi sana Tanzania na yanafaa kwa Kilimo.Kilimo ni kamari ya hatari sana. Usiandike vitu pasipo kuvifanyia utafiti. Kila mtu anatamani kulima akidhani ni kujiajiri lakini wakati wa mavuno mambo huwa ya huzuni sana.
Ni lazima utofautishe kulima kama mlango wa kutokea na kulima kwa kujifurahisha ukiwa umeshatoka. Mzee JK halimi ili atake kutoka. Hata tembo wakipitia hilo shamba hataumia kama graduates asiye na kazi atakavyoamua kulima kwa kuwekeza resources zake zote akitegemea kutokea hapo.
Mkuu nakuombea kwa Mungu Kila Laheri Pia Nakushauri Ongeza Mazao ya Biashara Alizeti Unaweza Kuchanganya na Maindi ngoja watembeze Bahasha.Trol nimekuelewa sana sana! shida nilizopata baada ya kuhitimu law 2014, zimenifanya nitafute namna ya kujiajiri. nimeanza kulima mahindi eka kadhaa mkoa fulani, na mwaka huu nitakodi eka 15 ili mwakani nilime, then nitakuwa ninaongeza eka kila mwaka had ziwe 200. eka moja kulima had kuvuna inanigharimu laki moja tu. najua kuna watakao kuja kuniponda kwa gharama nilizotaja, ila ukwel ndiyo huo. nipo porin na digrii yangu
duuuh!!!! nimecheka sana
watu wanajadili kilimo wew ndo kwanza upo na buti la mstaafu!!!!
Mkuu nakuombea kwa Mungu Kila Laheri Pia Nakushauri Ongeza Mazao ya Biashara Alizeti Unaweza Kuchanganya na Maindi ngoja watembeze Bahasha.
Mafanikio huja kwa kupenda kile unachofanya
Huyo halimii shida.
Hakose haya
Apate haya
Mashamba anayo
Mtaji anao
Cha kuwalipa wafanyakazi anacho
Matrekta yapo
chnagamoto za kale na za sasa hazilingani. Kwa sasa kilimo kinahitaji mtaji. Huko kale ardhi ilikuwa na mbolea na hakukuwa wadudu wengi wanaoharibu mazao. Leo ukipanda tu mazao yakiota lazima uanze kupulizia madawa kuua wadudu na utitiri, hapo hujagusa mbolea na vifaa vingine.Hata wazee wa Kale walisema jembe halimtupi mkulima Kuna Mabonde na Mito mingi sana Tanzania na yanafaa kwa Kilimo.
Hivi alishika jembe au alishikiwa,kingine Elewa kwa hadhi yake kwenye kulima ni tofauti n'a mkulimaa wa magole huko kwanza ana acsess ya pembejeo etc....syo mbaya naona sahv mahindi atapiga nao maana alilimaga nanasi kipindi fulani ikala kwakeeee....Aiseeee I'm inspired.....ngoja ninoe panga niende zangu shamba miee