Mudhyd
JF-Expert Member
- Jul 17, 2013
- 492
- 507
duuuh!!!! nimecheka sanaIlo buti la mkuu nimekielewa ase
watu wanajadili kilimo wew ndo kwanza upo na buti la msfaafu!!!!
duuuh!!!! nimecheka sanaIlo buti la mkuu nimekielewa ase
Post ya kijinga ya mwaka mzima naomba tuipigie kura hii hapa....yan Rais wa nchi mstaafu unamfananisha na graduate wa (mucobs) are SERIOUS...??
Unajua hata kuwekeza kwenye kilimo kunahitaji mtaji wa bei gani..? Au na wewe ndio wale mabank teller wanaoambiwa ukilima kitunguu ekari 1 unapata faida mil.15..?
Never underestimate a graduate kwa mfanano wa successiful man utakua unakufuru.
Hizi ni local cost benefit analysis, hazifanyi kazi kwenye uhalisia wa mamboUjinga Kama Huu Kamwe Hutaweza Kuendelea
Mpaka Sasa Mimi ni Mkulima Huku Shamba La
Ecre Moja bei gani?
Mbolea ya za Chumvi chumvi bei gani?
Mimi Binafsi Ekari tatu Bila Kutumia Kibarua Naweza Kulima huku kwetu Ekali Moja Kibarua analima kwa 15,000-20,000
Mkuu Endelea Kusubiri Upate 20,000,000 ndo Uanze Kulima.
nimekupata mkuu, JK ni farm manager ila siyo farmer.Rais amevaa vizuri amependezabig up
Nawashangaa sana wanaokuja na agricultural inspiration, wakisahau kwa maksudi vikwazo vikwazo vinavyokikuta kilimo hapa nchini.Kilimo kinahitaji mtaji wa kueleweka. Huyu JK unaemsifia hapa alitembeza bahasha hadi akawa anazimia majukwaani kuomba 'kujitolea' ndio akapata mtaji! Kamshauri wasirra aache kuappeal kesi kila siku akalime.
Utaishia kujinyonga kama umeshawishika kwa andiko jipesi kiasi iko.Aiseeee I'm inspired.....ngoja ninoe panga niende zangu shamba miee
Poor you!!!!! That's all I can sayUtaishia kujinyonga kama umeshawishika kwa andiko jipesi kiasi iko.
Inaonesha dhahiri ni jinsi unaenda ku-prove failure huko shamba.
Yaani mleta mada wewe unamlinganisha Raisi mstaafu anayelima kwa hobby na graduate anayetafuta maisha?Tuamke tukaanze Kilimo wakuu hali ni mbaya siyo lazima wote mkaajiriwa. Mimi Roho huwa inaniuma Mtu anavyokuja na Kuandika thread nataka Sehemu ya Kujitolea bila Malipo hebu Imagine Sehemu hiyo unayojitolea vipi kama ungekua umeanzisha Kilimo cha Ekari Mbili za Vitunguu au ungekua unamiliki mgahawa kwa Pesa ulivyotumia kununulia Galaxy S7
Si sifa Asubuhi kuvaa Kiminini na high heels au Kuchomekea shati tayari kwenda kutumwa tena bure kuna Projects ulipiga Mara Mbili Kipato cha Mfanyakazi wa Halimashauri anayeanza Kitakua Mara Mbili
Nakumbuka mwaka 2016 Mfanyakazi wa Halimashauri mwenye Degree za Kawaida kama Uhasibu, Sheria ilikua ni 716,000/= before statutory deductions
Hapo Piga
NSSF= 10%
NHIF=3℅
Workers Comp=1℅
HESLB=15℅
Tax=25 Plus 14℅ ya Level 3
Aisee huyu Jamaa anaweza Kujikuta kwa Mwaka anapokea Tsh. 6,500,000 kwa mwaka kama Mshahara
Kuna Project sitazitaja ukizikodolea Macho unaweza kupiga Mara 3 ya hizo Pesa kwa mwaka wa 1.
Mimi mwenyewe nataka Niache Kazi tukapambane nimechoka Kutumwa.
Leo Rais Jakaya Kikwete alikua anakagua shamba lake Msoga.
View attachment 510659 View attachment 510660 View attachment 510661
Uzi huu nitauongezea Nyama Usiku Nikitulia najua Reactions za watu zitakua negative sana.
UPDATE 2 (Vitu nilivyojifunza)
Baada ya Kusoma Comments za Matusi ya Baadhi ya watu nimelia nimetoka Mafua ni Flue Mtindo Mmoja.
Kwa Kuangalia tuu mwandiko physiologically Ni Majibu ya watu wenye Hasira waliotapeliwa na Waalimu wao wa Vyuo.
Kitu kingine nilichogundua watu hawajui hata Ukubwa wa Ekari Moja Ukoje anaanza gharama za Kulima sijui Tsh. 50,000/= Daah yaani hata Kilimo cha Ekari 2 ya Viazi Mviringo au Vitunguu unataka Ufahari wa mtu akulimie?
"Mtoto wa Masikini'' Nimesikitishwa na Phrase hii imekua ikitumiwa na Wengi yaani wanaona Umasikini ni Sifa badala ya Kujinasua. Mimi binafsi Maneno hata ya aliyekua mkuu wa Mkoa wa Morogoro yalinitisha Dr. Ambaye ni Mkuu wa Mkoa anasema yeye ni ""Mtoto wa Masikini"" niwakumbushe tuu kuna Umri ukifika hata Kama huna wazazi wote hautakiwi kujiita ''Yatima'' hili naona ni jina linalotumika kwa Watoto wadogo.
Mentality za Wengi wanataka Kuanza na Kilimo cha Ekari 100 wakati hata Ekari Moja hajawahi Kuthubutu.
Kila Kitu kina Gharama zake na Uncertainties zake Sasa unajua Kabisa Nyanya na Mvua haziendani huo ndo Muda wako wa Kuzilima sasa kwa sababu zinakua Chache wewe unakuja Kulima wakati wa kiangazi wakati kila mtu amelima Mwisho kitakua chakula cha Nguruwe.
Kumtumia Rais Jakaya Kikwete wengi wamechukulia jinsi lilivyo hawajawaza Kua nimemtumia JK kama Kuonesha kuwa Kilimo si Kazi ya Kudharaulika kama wanavyofikiri baadhi ya Graduates.
Ni kweli uliondoka Kijijini Taangu ulivyomaliza darasa la 7 unarudi Likizo Ukiwa na Kakimini kako na High heels unatingisha tutako au kama Mwanaume Umechomekea kishati chako huku umenyoa Kiduku Mimi Leo kukuambia Ulime utaniona Kama nimechanganyikiwa.
Raia/graduates wengi wamepanic ni Lazima kwa sababu tumeingia New Era tusijifananishe na Wakati wa JK amemaliza Chuo wakati kuna Chuo Kikuu kimoja tuu UDSM watu mpaka mwanzoni Mwa miaka ya 2,000's ulikua ukimaliza Chuo unasubiri Barua ya Post na si kwenda watu hawa walikua hawatembezi Bahasha za Khaki wala kupambana kwenye Interview Leo hii Nyinyi wenyewe mashahidi ikitangazwa Kazi mnavyokua wengi, Yote haya ni Maendeleo ya Elimu huku sekta nyingine zikiwa bado so Nchi kama za Nigeria wenzetu walishazoea hii Hali Mimi ni member wa Forum Moja maarufu ya Nigeria Najichanganyaga Kuchukua maujanja.
Tofauti za Mitazamo zisitufanye Kudharauliana Kuna Baadhi ya Members unagundua tuu kasoma Heading halafu Moja kwa Moja akaenda kuporomosha Matusi kuna Comment ya ""Tukiwa wote wakulima nani atanunua''' ni Wazi huyu mtu hajasoma hata maneno niliyo yabold hapo juu akaingia Moja kwa Moja Kwenye Matusi.
Inferiority Complex ni Kubwa sana na sijui tutaiondoaje mtu anajikuta anaogopa tuu na Kuanza Kusifikia Kilimo Balaa, Kilimo nomaaa, Kilimo Kigumu Sanaaa! Leo hapa hata Ukimwambia Mtu Chukua Laki 5 nenda kachichimbie Singida Nunua Tetea 40 ambao hawajaanza Kutaga na Jogoo 6 ambao hawajaanza Kuwika Lazima Watu watakuja Kusema Unajua Kufuga wewe Kufuga ni Gharama, Kufuga kunahitaji Mtaji, Kufuga Ni Kipaji! Those kind of blah! blah! and excuses wakati Kuku wa Kienyeji wanajitafutia wenyewe hata kama ukikosa pesa ya Kuwanunulia Pumba Siku hiyo na dawa zake Nyingi hasa za tumbo ni 3,500= na Ile ya Matone hadi 7,000/=.
Sasa Kaa Pambanua Mwenyewe Uendelee Kusubiri Mpaka Utakapokua Rais then Ustaafu kama Kikwete ndo Ulime au Uchakarike na Kiasi Kidogo ulichonacho Ku extend capital.
Si vyema kuamini nachokisema, maana kujifunza huwa hakuushii theory....nakuomba umalizie na practical za shamba utaleta ushuhuda.Poor you!!!!! That's all I can say
mimi naomba nikuulize kitu.huyo ni mtu aliye anza kwenye kuajiliwa ndipo amepata pesa na kumalizia uzee wake kwenye kilimo.hivi unazani kilimo kikubwa kama jk.utataka upate kipato kingi una itaji kuwa na nini.au mwenzetu wa kishuaTuamke tukaanze Kilimo wakuu hali ni mbaya siyo lazima wote mkaajiriwa. Mimi Roho huwa inaniuma Mtu anavyokuja na Kuandika thread nataka Sehemu ya Kujitolea bila Malipo hebu Imagine Sehemu hiyo unayojitolea vipi kama ungekua umeanzisha Kilimo cha Ekari Mbili za Vitunguu au ungekua unamiliki mgahawa kwa Pesa ulivyotumia kununulia Galaxy S7
Si sifa Asubuhi kuvaa Kiminini na high heels au Kuchomekea shati tayari kwenda kutumwa tena bure kuna Projects ulipiga Mara Mbili Kipato cha Mfanyakazi wa Halimashauri anayeanza Kitakua Mara Mbili
Nakumbuka mwaka 2016 Mfanyakazi wa Halimashauri mwenye Degree za Kawaida kama Uhasibu, Sheria ilikua ni 716,000/= before statutory deductions
Hapo Piga
NSSF= 10%
NHIF=3℅
Workers Comp=1℅
HESLB=15℅
Tax=25 Plus 14℅ ya Level 3
Aisee huyu Jamaa anaweza Kujikuta kwa Mwaka anapokea Tsh. 6,500,000 kwa mwaka kama Mshahara
Kuna Project sitazitaja ukizikodolea Macho unaweza kupiga Mara 3 ya hizo Pesa kwa mwaka wa 1.
Mimi mwenyewe nataka Niache Kazi tukapambane nimechoka Kutumwa.
Leo Rais Jakaya Kikwete alikua anakagua shamba lake Msoga.
View attachment 510659 View attachment 510660 View attachment 510661
Uzi huu nitauongezea Nyama Usiku Nikitulia najua Reactions za watu zitakua negative sana.
UPDATE 2 (Vitu nilivyojifunza)
Baada ya Kusoma Comments za Matusi ya Baadhi ya watu nimelia nimetoka Mafua ni Flue Mtindo Mmoja.
Kwa Kuangalia tuu mwandiko physiologically Ni Majibu ya watu wenye Hasira waliotapeliwa na Waalimu wao wa Vyuo.
Kitu kingine nilichogundua watu hawajui hata Ukubwa wa Ekari Moja Ukoje anaanza gharama za Kulima sijui Tsh. 50,000/= Daah yaani hata Kilimo cha Ekari 2 ya Viazi Mviringo au Vitunguu unataka Ufahari wa mtu akulimie?
"Mtoto wa Masikini'' Nimesikitishwa na Phrase hii imekua ikitumiwa na Wengi yaani wanaona Umasikini ni Sifa badala ya Kujinasua. Mimi binafsi Maneno hata ya aliyekua mkuu wa Mkoa wa Morogoro yalinitisha Dr. Ambaye ni Mkuu wa Mkoa anasema yeye ni ""Mtoto wa Masikini"" niwakumbushe tuu kuna Umri ukifika hata Kama huna wazazi wote hautakiwi kujiita ''Yatima'' hili naona ni jina linalotumika kwa Watoto wadogo.
Mentality za Wengi wanataka Kuanza na Kilimo cha Ekari 100 wakati hata Ekari Moja hajawahi Kuthubutu.
Kila Kitu kina Gharama zake na Uncertainties zake Sasa unajua Kabisa Nyanya na Mvua haziendani huo ndo Muda wako wa Kuzilima sasa kwa sababu zinakua Chache wewe unakuja Kulima wakati wa kiangazi wakati kila mtu amelima Mwisho kitakua chakula cha Nguruwe.
Kumtumia Rais Jakaya Kikwete wengi wamechukulia jinsi lilivyo hawajawaza Kua nimemtumia JK kama Kuonesha kuwa Kilimo si Kazi ya Kudharaulika kama wanavyofikiri baadhi ya Graduates.
Ni kweli uliondoka Kijijini Taangu ulivyomaliza darasa la 7 unarudi Likizo Ukiwa na Kakimini kako na High heels unatingisha tutako au kama Mwanaume Umechomekea kishati chako huku umenyoa Kiduku Mimi Leo kukuambia Ulime utaniona Kama nimechanganyikiwa.
Raia/graduates wengi wamepanic ni Lazima kwa sababu tumeingia New Era tusijifananishe na Wakati wa JK amemaliza Chuo wakati kuna Chuo Kikuu kimoja tuu UDSM watu mpaka mwanzoni Mwa miaka ya 2,000's ulikua ukimaliza Chuo unasubiri Barua ya Post na si kwenda watu hawa walikua hawatembezi Bahasha za Khaki wala kupambana kwenye Interview Leo hii Nyinyi wenyewe mashahidi ikitangazwa Kazi mnavyokua wengi, Yote haya ni Maendeleo ya Elimu huku sekta nyingine zikiwa bado so Nchi kama za Nigeria wenzetu walishazoea hii Hali Mimi ni member wa Forum Moja maarufu ya Nigeria Najichanganyaga Kuchukua maujanja.
Tofauti za Mitazamo zisitufanye Kudharauliana Kuna Baadhi ya Members unagundua tuu kasoma Heading halafu Moja kwa Moja akaenda kuporomosha Matusi kuna Comment ya ""Tukiwa wote wakulima nani atanunua''' ni Wazi huyu mtu hajasoma hata maneno niliyo yabold hapo juu akaingia Moja kwa Moja Kwenye Matusi.
Inferiority Complex ni Kubwa sana na sijui tutaiondoaje mtu anajikuta anaogopa tuu na Kuanza Kusifikia Kilimo Balaa, Kilimo nomaaa, Kilimo Kigumu Sanaaa! Leo hapa hata Ukimwambia Mtu Chukua Laki 5 nenda kachichimbie Singida Nunua Tetea 40 ambao hawajaanza Kutaga na Jogoo 6 ambao hawajaanza Kuwika Lazima Watu watakuja Kusema Unajua Kufuga wewe Kufuga ni Gharama, Kufuga kunahitaji Mtaji, Kufuga Ni Kipaji! Those kind of blah! blah! and excuses wakati Kuku wa Kienyeji wanajitafutia wenyewe hata kama ukikosa pesa ya Kuwanunulia Pumba Siku hiyo na dawa zake Nyingi hasa za tumbo ni 3,500= na Ile ya Matone hadi 7,000/=.
Sasa Kaa Pambanua Mwenyewe Uendelee Kusubiri Mpaka Utakapokua Rais then Ustaafu kama Kikwete ndo Ulime au Uchakarike na Kiasi Kidogo ulichonacho Ku extend capital.
Changamoto zipo na nimeshakutana nazo...zipo kwenye kila kitu kazini, biashara etcSi vyema kuamini nachokisema, maana kujifunza huwa hakuushii theory....nakuomba umalizie na practical za shamba utaleta ushuhuda.
Asante, naona umeanza kuelewa kabla hujaenda shamba.Changamoto zipo na nimeshakutana nazo...zipo kwenye kila kitu kazini, biashara etc
Mfano nimekumbwa na mafuriko kwenye vitunguu,but hakunifanyi kukimbia....nasimama naanza na safari
Futa kauli yako kuwa NIMEELEWA KABLA YA KWENDA SHAMBAAsante, naona umeanza kuelewa kabla hujaenda shamba.
Hii ndo ilikuwa point yangu, huwezi kumwambia mtu kwenda shamba kwa ushawishi mwepesi kwa kutaja taja figure za pesa ili kumtamanisha bila kumwambia kule kuna A,B,C zitakazokukwamisha.
Mfano;
1.mafuriko
2.ukame
3.seed born disease
4.soil born disease
5.soko
Na production factor nyingi zinazoweza ku-hinder production ili kufikia faida iliyokusudiwa.
Hahaha kapicha mkuu kama kweli uko shamba ili nifute kauli.Futa kauli yako kuwa NIMEELEWA KABLA YA KWENDA SHAMBA
mi nipo shamba muda tu na si kwamba eti picha ya Kikwete ndio imenishawishi
muone...we Kama huamini basi...but usinichukulie poaa...ohoooooHahaha kapicha mkuu kama kweli uko shamba ili nifute kauli.
Haha mkuu na mimi naomba CBA ya kile unachokilima na mimi nitende kama hutojali.muone...we Kama huamini basi...but usinichukulie poaa...ohooooo
Hhahaha...ukitenda ninayotenda unaweza ukapotea maana mazingira huenda ni tofauti...Haha mkuu na mimi naomba CBA ya kile unachokilima na mimi nitende kama hutojali.