Chisamba
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 1,517
- 777
hakunakisicho na gharama duniani...kila kitu kina uchungu na utamu wake...siogopi kilimo blaza ila naona mkuu anakichukulia poa, watu wanalia, na ukiwa siriasi ni gharama sanaaa unless ulime vituta viwili vitatu...