Jakaya Kiketwe Kazi imemshinda!

mstahiki

JF-Expert Member
Jul 14, 2007
308
5
Mh Rais aiahidi kazi Milioni je zikowapi?
Ameshindwa kuwawajibisha Lowassa,Chenge,Karamagi na waiofanya uozo wotee.
Hatoi maelezo yoyote kuhusu hali mbaya ya uchumi..
Kila siku yupo safarini haonekani kujali kabisa matizo ya wananchi....

Mh Rais unataka KUPENDWA na watu unaowagandamiza na kuona wanazulumiwa kila siku...USIPO BADILIKA cha MOTO UTAKIONA
 
vitisho vya namna hii havina msingi na vinaweza kutafsiriwa vibaya. Hatuko hapa kumtishia Rais wa nchi kuwa "cha moto" atakiona wakati kichwa cha habari kinasema "kazi imemshinda".
 
vitisho vya namna hii havina msingi na vinaweza kutafsiriwa vibaya. Hatuko hapa kumtishia Rais wa nchi kuwa "cha moto" atakiona wakati kichwa cha habari kinasema "kazi imemshinda".

Mimi simtishi ila nnaueleza kwamba asipobalisha muenlekeo ADHABU YA MUNGU ataiona..NiMungu yule anaowatetea Wanyango ndio anamuwajibisha ipasavyo.
 
Mkuu Mstahiki nasikia bado anaplan, nafikiri akimaliza plan yake tutaona kama ameshindwa kabisa au la.

Siku moja mwanzoni alisha sema wabunge ni watu wazima wameelewa.

Sasa tunafikiri na yeye ni mtu mzima ameisha sikia kilio cha wananchi 80% waliompa kura. Tunafikiri kuzungtuka kwake labda si bure anajipanga.

Matatizo yaliyopo nchini sasa yanajulikana hata kwa watoto wa nasale school.

KItakuwa kitu cha ajabu kama yeye mwenye uwezo wa kuwa RAIS ya nchi kama atashindwa kutambua hili.

TUnahitaji MAFISADI wafikishwe pale panapo stahili.
 
Mimi simtishi ila nnaueleza kwamba asipobalisha muenlekeo ADHABU YA MUNGU ataiona..NiMungu yule anaowatetea Wanyango ndio anamuwajibisha ipasavyo.

Nimesikia watu wengi wakifanya udhalimu wa hali ya juu kwa "jina la Mungu". Huyu Mungu anatumiwa na watu wengine hata wanasikia sauti kuwa Mungu kawatuma kufanya jambo hili au lile.

Hofu yangu naogopa JF kuonekana kama sehemu inayoruhusu, kulea na kuchochea mawazo ya matumizi ya nguvu dhidi ya serikali halali. Haya maneno "adhabu ya Mungu" yasipotafsiriwa yanaweza kuwa ni "code message" ya vitendo viovu na vyenye madhara kwa watu.

Jazba peke yake ikiruhusiwa kutawala akili ya mtu inaweza kumfanya mtu afanye vitendo vibaya. Tunawaona watu walio na jazba wanavyowatia watu mafuta na kuwachoma moto na wanavyowapatia kibano wezi wa karanga!

JF is more than that, tunaongozwa na akili na siyo hisia na vionjo (labda wachache wetu). Kama Kikwete ameshindwa, basi tumia nafasi uliyo nayo au shirikia katika mapambano haya ya fikra ili kuhakikisha aidha:

a. Anakuwa impeached (which is the regular way of removing a president who is in office)
b. Hakikisha hachaguliwi tena kugombea 2010.

Nje ya njia hizo mbili nina hofu unaweza kuwa unapendekeza njia nyingine ambayo ni nje ya njia za sheria.

Hili ni angalizo tu ili nijue kama tuko kwenye ukurasa mmoja au mwenzetu kutokana na jazba unaweza kuwa kwenye ukurasa mwingine kabisa.
 
Mh Rais aiahidi kazi Milioni je zikowapi?
Ameshindwa kuwawajibisha Lowassa,Chenge,Karamagi na waiofanya uozo wotee.
Hatoi maelezo yoyote kuhusu hali mbaya ya uchumi..
Kila siku yupo safarini haonekani kujali kabisa matizo ya wananchi....

Mh Rais unataka KUPENDWA na watu unaowagandamiza na kuona wanazulumiwa kila siku...USIPO BADILIKA cha MOTO UTAKIONA
Kamanda jaribu kutembelea bongo mara kwa mara, kama hiyo inashindikana basi jaribu kujikumbusha namna ya kuandika kiswahili vizuri katika forums mbalimbali katika mtandao,blogs n.k

Hapa JF kuna kona ya lugha ya kiswahili, si vibaya ukawa unapita pita huko ili kupiga brashi kiswahili chako..

Huu ni ushauri tu ..Kamanda
 
Kibunango, labda jazba imemzidia..
Inawezekana...Na hasa katika kipindi hiki JK yupo katika kila mdomo wa mwananchi ni kazi kweli kweli... Unaweza kupata jazba na mbaya zaidi kupandisha mori.

Tatizo ni pale jabza inapotulia na unapoangalia ulisema nini/kuandika nini....
 
Mkuu Kibunango

Nafikiri mstahiki amekosea ktk neno la mwisho. Lisemalo "cha mto utakiona".

Hilo neno ni kubwa mno na lina maana nyingi sana siyo vizuri kulitumia hata siku moja maneno yanayolenga katika vitisho.

Mstahiki anatakiwa tu aeleze hicho cha moto kina maana gani na abadilishe na kuweka neno sahihi.
 
Mkuu Kibunango

Nafikiri mstahiki amekosea ktk neno la mwisho. Lisemalo "cha mto utakiona".

Hilo neno ni kubwa mno na lina maana nyingi sana siyo vizuri kulitumia hata siku moja maneno yanayolenga katika vitisho.

Mstahiki anatakiwa tu aeleze hicho cha moto kina maana gani na abadilishe na kuweka neno sahihi.

Mkuu Kibunango

Nafikiri mstahiki amekosea ktk neno la mwisho. Lisemalo "cha mto utakiona".

Hilo neno ni kubwa mno na lina maana nyingi sana siyo vizuri kulitumia hata siku moja maneno yanayolenga katika vitisho.

Mstahiki anatakiwa tu aeleze hicho cha moto kina maana gani na abadilishe na kuweka neno sahihi.




Mimi simtishi ila nnaueleza kwamba asipobalisha muenlekeo ADHABU YA MUNGU ataiona..NiMungu yule anaowatetea Wanyango ndio anamuwajibisha ipasavyo.
 
Mh Rais aiahidi kazi Milioni je zikowapi?
Ameshindwa kuwawajibisha Lowassa,Chenge,Karamagi na waiofanya uozo wotee.
Hatoi maelezo yoyote kuhusu hali mbaya ya uchumi..
Kila siku yupo safarini haonekani kujali kabisa matizo ya wananchi....

Mh Rais unataka KUPENDWA na watu unaowagandamiza na kuona wanazulumiwa kila siku...USIPO BADILIKA cha MOTO UTAKIONA

YEYE HATAKIONA CHA MOTO KWA VILE TAYARI ALICHOKITAKA KWA KUTUPUMBAZA WATZ AMESHAKIPATA. ALAIAHIDI MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA, YAKO WAPI!!!!! ARI MPYA, KASI MPYA ZIKO WAPI!!! KINACHONIPA FARAJA MWANA WA NCHI HII NI KWAMBA ITAKUWA NI FARAJA KUU HATA WAFU WATATUSAIDIA KUSHANGILIA KWANI NAONA USHINDI MKUU WA WAPENDA MAENDELEO NA WATZ WENYE MAPENZI MEMA NA NCHI HII KAMA ATAENDELEA HIVI TUHESABU CHAMA CHA MAJAMBAZI HAKINA LAO 2010. TUJIPANGE WAPENDA HAKI WA NCHI HII, USHINDI UKO WAZI. TUSIMUAMSHE ALIELALA, ATAKUJA KUOMBA TUMPUNGUZIE MAFUTA ILI NAYE AMLAKI BWANA HARUSI. WE ARE ABOUT TO WIN GUYS!!!
 
Kamanda jaribu kutembelea bongo mara kwa mara, kama hiyo inashindikana basi jaribu kujikumbusha namna ya kuandika kiswahili vizuri katika forums mbalimbali katika mtandao,blogs n.k

Hapa JF kuna kona ya lugha ya kiswahili, si vibaya ukawa unapita pita huko ili kupiga brashi kiswahili chako..

Huu ni ushauri tu ..Kamanda


Kasomeka vizuri tu ,ilaanatakiwa awe makini na maandishi nadhani ilikuwa ni typo tu.Hata hiyo hapa watu wana chapia sana kingereza lakini wana eleweka na hawaambiwi chochote.Wewe umeacha kuchangia alichosema umesahiha kiswahili wakati hiyo ungeweka kama NB.

Kuhusu alichosema ni sawa hatujaona ahadi zake rais ingawa ukweli ni kwamba mimi sikutegemea mabadiliko sasa ila nilijua leo itakuwa afadhali kuliko jana matokeo yake kila kukicha afadhali ya jana.

mstahiki Amekuja kuharibu mwisho ndugu imeonyesha kuwa una plan mbaya vitisho vya kutumia nguvu ingawa umejaribu kueleza unachomaanisha kuwa "Mungu atamuhukumu" still don't use that kind of words next time you will not be in safe side.
 
Mkuu Kibunango

Nafikiri mstahiki amekosea ktk neno la mwisho. Lisemalo "cha mto utakiona".

Hilo neno ni kubwa mno na lina maana nyingi sana siyo vizuri kulitumia hata siku moja maneno yanayolenga katika vitisho.

Mstahiki anatakiwa tu aeleze hicho cha moto kina maana gani na abadilishe na kuweka neno sahihi.




Mimi simtishi ila nnaueleza kwamba asipobalisha muenlekeo ADHABU YA MUNGU ataiona..NiMungu yule anaowatetea Wanyango ndio anamuwajibisha ipasavyo.
Mhh!!.... Kuku mgeni Bandani utamjua tu!!
 
Mh Rais aiahidi kazi Milioni je zikowapi?
Ameshindwa kuwawajibisha Lowassa,Chenge,Karamagi na waiofanya uozo wotee.
Hatoi maelezo yoyote kuhusu hali mbaya ya uchumi..
Kila siku yupo safarini haonekani kujali kabisa matizo ya wananchi....

Mh Rais unataka KUPENDWA na watu unaowagandamiza na kuona wanazulumiwa kila siku...USIPO BADILIKA cha MOTO UTAKIONA


...mstahiki wakati tunalalama..mustafa mkullo jana anatetea utawala wa kikwete anasema uchumi unapaa..na pato la mtanzania limekuwa kufikia dola 525$ kutoka dola 300$ mwaka 2005....

..wakati yeeye anasema hayo ...mifukoni hatuna pesa...na bora mifukoni tungekosa pesa tukaona ujenzi wa miundombinu ukiendelea na kumalizika kwa kasi...hiyo yote hakuna ...sasa kama mkuloo anasema pato limeongezeka na atuambia pesa zinaenda wapi??
 
Kasomeka vizuri tu ,ilaanatakiwa awe makini na maandishi nadhani ilikuwa ni typo tu.Hata hiyo hapa watu wana chapia sana kingereza lakini wana eleweka na hawaambiwi chochote.Wewe umeacha kuchangia alichosema umesahiha kiswahili wakati hiyo ungeweka kama NB.
Kamanda Mutu;
Awali ya yote nilifikiri kuwa ni jazba lakini hebu soma tena hapa chini, kama alikosea hapo awali iweje tena akosee katika bandiko lake la pili. Msimamo wangu unabaki pale pale kuwa anahitaji kukisafisha kiswahili chake..

Na huu ni ushauri tu, kwa faida yake binafsi na kwa wasomaji wa hapa JF kutopata shida ya kusoma mara mbilimbili ili kuelewa/kufahamu anazungumzia nini...


Mimi simtishi ila nnaueleza kwamba asipobalisha muenlekeo ADHABU YA MUNGU ataiona..NiMungu yule anaowatetea Wanyango ndio anamuwajibisha ipasavyo.
 
Kamanda Mutu;
Awali ya yote nilifikiri kuwa ni jazba lakini hebu soma tena hapa chini, kama alikosea hapo awali iweje tena akosee katika bandiko lake la pili. Msimamo wangu unabaki pale pale kuwa anahitaji kukisafisha kiswahili chake..

Na huu ni ushauri tu, kwa faida yake binafsi na kwa wasomaji wa hapa JF kutopata shida ya kusoma mara mbilimbili ili kuelewa/kufahamu anazungumzia nini...



Kweli anatakiwa kuwa makini maana kukosea mfululizo sio mwake itabidi nikubaliane na wewe.Watu tunakosea ila sio kila post inamakosa itabidi afanye proof reading yeye mwenyewe kabla ya post.
 
vitisho vya namna hii havina msingi na vinaweza kutafsiriwa vibaya. Hatuko hapa kumtishia Rais wa nchi kuwa "cha moto" atakiona wakati kichwa cha habari kinasema "kazi imemshinda".

Umesema yote! Lakini pia labda ni njia yake ya kutoa maoni. Tuangalie anasema nini badala ya lugha anayotumia. Ila muhimu kuheshimu Urais kama huwezi mheshimu Rais!
 
Mimi simtishi ila nnaueleza kwamba asipobalisha muenlekeo ADHABU YA MUNGU ataiona..NiMungu yule anaowatetea Wanyango ndio anamuwajibisha ipasavyo.

Wacha mikwara yako wewe! Eti Kikwete "asipobadilisha mwelekeo Mungu atamuwajibisha ipasavyo". Wewe ni mwoga tu na mnafiki. Jee Mungu atawawawajibisha lini Rais Bush na mwenzake Blair waliolowa damu za watoto na wanawake wasiyo na hatia kule Irak na wanaoendeleza mauaji, unyama na uharibifu kila kukicha?
 
kwanza kaka cha moto kikwete hakioni....kwa kuwa sababu na malengo yake ya kuingia madarakani ameshayatimiza (kibinafsi)

pili, mungu hakai tu akawafanyia hukumu wakati nyie wenyewe mnauwezo wa kufikiria na kuamua.
aliwatuma mungu kumchagua kwa kura kede kede?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom