Salamu Wanajamvi! katika zile semina elekezi za Rais Jakaya Kikwete tangu mwaka 2006, William Ngeleja, Adam Malima na David Jairo hawakuwepo? Kama walikuwepo, mteule wao JK anauchukuliaje utendaji wao?
Nadhani yeye mwenyewe anahitaji semina elekezi ili naye ajifunze kuwawajibisha watendaji au wateule wabovu aliowapa dhamana ya kuongoza wazara na taasisi zake mbalimbali serikalini.Watanzania wamechoshwa na semina hizi kwa kuwa hazina tija kwa taifa na badala yake Rais mwenyewe ndo apewe semina elekezi.
NAOMBA KUWASILISHA
Nadhani yeye mwenyewe anahitaji semina elekezi ili naye ajifunze kuwawajibisha watendaji au wateule wabovu aliowapa dhamana ya kuongoza wazara na taasisi zake mbalimbali serikalini.Watanzania wamechoshwa na semina hizi kwa kuwa hazina tija kwa taifa na badala yake Rais mwenyewe ndo apewe semina elekezi.
NAOMBA KUWASILISHA