Jakaya aliamini meza akaweza, Magufuli akaamini chuma akafeli. Samia anaamini jela?

Mpaka sasa amebaki historia tu.
Mbona tunasoma historia za watu wengi tu hadi za mitume, kifo hakikimbiwi ni lazima kwa kila mtu ila sio kila mtu lazima awe kilema hivyo pamoja na jamaa kutiwa ulemavu ila bado kifo hakitomuonea huruma itafika muda nae ataenda tu hakuna ujanja hata huyo Jiwe alikoswa kwenye sumu aka survive ila mwisho wa siku kifo kipo palepale hakikimbiwi.
 
Uchambuzi kama huu uwe unahifadhiwa ili siku moja ukiwa umevurugwa unafungua ukurasa unasoma akili inatulia. Hongera sana Yeriko Nyerere kwa bandiko safi.
 
Sema msimamo kwenye hicho chama ni changamoto kubwa sana... leo hii mnasahau mlivyotoka kwenye mazungumzo jinsi mlivyoendelea KUMSHAMBULIA? au ulikua bado hujajiunga na chama?
 
Mbona tunasoma historia za watu wengi tu hadi za mitume, kifo hakikimbiwi ni lazima kwa kila mtu ila sio kila mtu lazima awe kilema hivyo pamoja na jamaa kutiwa ulemavu ila bado kifo hakitomuonea huruma itafika muda nae ataenda tu hakuna ujanja hata huyo Jiwe alikoswa kwenye sumu aka survive ila mwisho wa siku kifo kipo palepale hakikimbiwi.
Wewe una uhakika utakufa bila kuwa kilema!? Bila shaka atakufa, ila yule aliyetaka kumuua katangulia yeye. 50 cent anakwambia kuhusu jamaa aliyempiga risasi "he got hit like i got hit but he ain't f_cking breathin". Kwani yeye pia hatakufa!?
 
Ujinga wa siasa za Tz hakuna anayepigania maslahi ya wananchi, wote wanapambania maslahi ya familia zao tu..........hata uone sisiemu au chadema mishipa inamtoka kwa kuongea....anatafuta kula ya wanae tu ndiyo maana wamejaa unafiki tu na ujanja ujanja
 
Natanguliza ufafanuzi kidogo wa mambo ya siasa na itikadi, Siasa ni mambo mtambuka, wengi husema siasa ni sayansi, Siasa ni itikadi inayofuatwa na kundi au jamii fulani ambayo ni msingi kuendesha uchumi, utamaduni na mwenendo mzima maisha ya jamii hiyo. Siasa maana yake ni njia azitumiazo mtu au kundi la watu kupata nguvu na madaraka, na ikitokea mtu akapata nguvu hizo huendelea na hatua ya pili ya njia hizo ili kuhahihisha anabaki na nguvu zake au na madaraka yake kwa lengo la kuendelea kufanya kile alichokikusudia. Kinachogomba hapo ni mamlaka/madaraka/nguvu azipatazo mwanasiasa anazitumia kwa maslahi ya nani?. Siasa ni mambo mengi lakini sio SAYANSI, Siasa ni medani ya mapambano ya kimadaraka (power struggle).

Kifalsafa Mwanasiasa ni adui wa uzalendo, simuumini wa uzalendo, huamini katika itikadi ya siasa yake. Uzalendo na siasa hukinzana lakini uzalendo huo huhanikizwa ama umo katika siasa. Lakini ili ifanyike siasa lazima pawepo na itikadi. Hivyo taasisi na idara za ujasusi wa kidola zina jukumu la kutafsiri itikadi pia inayoshirikiwa na watu katika jamii.

Itikadi ni mkusanyiko wa imani unaoshirikiwa na kundi la watu fulani. Kuna aina kuu mbili za itikadi: Itikadi za kisiasa, na itikadi za kiepistemolojia (sehemu ya falsafa ambayo inahusu utafiti wa jinsi tunavyojua mambo).

Itikadi ya kisiasa ni upangiliaji unaohusu mawazo ya kimaadili na namna ya kuendesha ama kuongoza nchi. Itikadi za kiepistemolojia ni upangiliaji unaohusu mawazo ya kifalsafa, ulimwengu, na jinsi gani watu wanapaswa kufanya maamuzi.

Baada ya ufafanuzi huo wa maana ya siasa na Itikadi, sasa naomba tumtazambe Mbowe kama kiongozi wa Kisiasa na mafanikio yake katika ardhi ya Tanzania na kwanini bado Siasa inamhitaji kwa udi na uvumba. Tukianzia hapa kwenye utawala huu, mtakubaliana nami kuwa Rais wa nchi aliapa kwa maneno yake kufuts upinzani nchini, Wengi walichukulia kama maneno raihisi tu ya majukwaani, lakini ile ilikuwa kauli ya kirais (decrees), na utekelezwaji wake ulianzia mbali na umefika pabaya sana,

Chama cha siasa kinakuwa hatari pale tu kinapokuwa kimekua kikubwa na kinauwezo wa kushika madaraka ya nchi, nje ya hapo hakiwi na hatari yoyote yaani kinakuwa kijiwe cha kisiasa na tumbo tu. Sasa ili uweze kuviua vyama vya siasa vyenye nguvu ambavyo vinatishia kushika madaraka, inatakiwa mambo makuu mawili tu, ambayo ni, kwanza uue uchumi wa viongozi wa vyama hivyo, hapa ndipo unamuona Lipumba, Mrema, Mbatia, Dovutwa, Zitto na wengine kwamba hawa sio threat kwa dola kwakuwa wanabei tena bei elekezi, yaani hawana utajiri wa pesa na hawana biashara yoyote zaidi ya biashara ya siasa tu.

Jambo la pili ili uviue vyama vya siasa vyenye nguvu ya kushika dola ni lazima kupandikiza mawakala wa ujasusi wa dola ambao watafanikiwa kumgombanisha Mwenyekiti na Katibu, chama chochote ambacho mwenyekiti na katibu wanaongea lugha moja huwa hakivunjiki haraka hata kama utafanikiwa hatua ya kwanza ya kufinya mirija yao ya uchumi binafsi.

Hatua za kujaribu kukiua chadema zilianza mbali na lilikuwa tangazo rasmi la kirais. Kwanza ilianza kwenye kupiga marufuku shughuli za kisiasa kwa vyama vya siasa ambazo ziko kikatiba na kisheria, hili lilikiwa pigo la kwanza kwa siasa na demokrasia nchini, Mbowe ni mmoja wao. Hatua ya pili ilikuwa ni wapinzani kusulubiwa kwa mkono wa mahakama, hili limeshuhudiwa uwingi wa wapinzani nchini katika mahakama za nchi nzima na kila aliyekosoa utawala wa Dikteta Magufuli ameonja mahabusu, Mbowe ni mmoja wao,

Hatua ya ratu ikawa ni kununua wapinzani huku utekaji wa kisiasa ukishamiri, wanasiasa wengi wa upinzani wakashindwa kuhimili, wakajisalimisha mikonini mwa dola na chama dola wakitafuta usalama wao kisiasa, wengi wakazawadiwa vyeo na madaraka, Lakini Mh Mbowe akakataa katakata kupiga magoti kwa watawala na kukiua Chadema sawa na ilivyouawa CUF nk.

Hatua ya nne ikawa kuwaondolea uchumi viongozi wa vyama vya upinzani na wote wenye mrengo tofauti na utawala, hapa Mbowe akiwa ndio mlengwa na ameathirika zaidi kuliko mtu yoyote, kwenye hatua hii ndio watu wetu wengi uzalendo kwa wananchi uliwashinda wakaamua kujisalimisha hata mgombea wetu urais ambae umma ulimpigia kura zaidi ya milioni sita, alishindwa kuhimili kibano hiki akakimbia kujisalimisha ccm. Mbowe akawagomea.

Kwa Mbowe walianza na kuharibu mashamba yake kule hai alikokuwa amewekeza zaidi ya 6 billions akiwa ni mfanyabiashara wa pili barani afrika kwakuuza mboga na matunda katika soko la ulaya, hapa akiwa nyuma ya Uhuru Family wanaoongoza kwa Afrika kuuza bidhaa hizo kwa soko la ulaya. Mradi huu uliharibiwa utoka kwenye bilioni 6 hadi kuwa sifuri kabisa kwa hoja za kijinga kwamba analima kwenye vyanzo vya maji, kumbuka mradi huo ulikuwepo tangu kabla ya Uhuru wa Tanganyika ambapo mzee Aikael Mbowe baba wa Freeman ndie mwasisi na watu wamazingira walikuwepo hawajawahi kutoa sababu hizo, mradi huu uliajiri zaidi ya watanzania 2,600, na mradi huo ulilipa kodi ya zaidi ya 3 billions kwa mwaka, watu wote hawa wakakosa kazi na serikali ikakosa kodi, Mbowe akagoma kuhama chama na kuuza chama.

Mbowe akaharibiwa biashara yake nyingine ambayo ni klabu ya starehe Bilicanas iliyokuwapo mtaa wa mkwepu posta jijini Dar es Salaam, kwa hoja za ajabuajabu klabu yenye mtaji wa karibu 8 billions iliyoajiri Watanzania zaidi ya 200 na inayolipa kodi zaidi 2 billions kwa mwaka, ikavunjwa, yaani sio kuvunjwa tu kwamaana ya kuifunga, bali ikavunjwa kabisa na jengo kanakwamba kuna ujenzi unaanza, lakini mwaka wa tano huu pamebaki mbuga ya kuoshea magari na kuegesha nagari tu. Mbowe huyuhuyu hakutikisika,

Baada ya hapo Mh Mbowe akiwa bado imara, akaamua kwenda kuanzisha mashamba huko Morogoro akawekeza zaidi ya 6 bullions, tena ni kilimo cha umwagiliaji, huwezi amini kufumba na kufumbua mashamba yake yote yakiwa na mazao, yalifyekwa yote na majanga juu, hoja zao nikwamba amelima kwenye vyanzi vya maji, Mbowe huyuhuyu hakutikisika, akagoma kupiga magoti akabaki na Chadema,

Wakaona haitoshi, akaunti zake zote zikafungwa, sio kufungwa tu bali zikachukuliwa pesa zote zaidi ya 8b katika akaunti zote akazipoteza, yaani wakataka abaki mchangani kabisa, Mbowe akasimama wima hakutikisika akagoma kuuza chama, Lengo lote ni kuhakikisha Chadema inaanguka, na ili kuiangusha inabidi umuangushe Mbowe kiuchumi na kimedani. Unaweza kuona dhamira na machaguo ya dola kwamba haijalishi unachangia pato la taifa kwa kiwango gani bali ni kuhakikisha upinzani unakufa Tanzania

Wakaja na mkakati wa kimahakama, wakacheza nae mahabusu weee kesi ya mauaji ya Akwilina aliyeua hajulikani na hawajamfikisha mahakamani, lakini mshitakiwa ni Chadema (Viongozi) kwakinachoitwa maandamano bila kibali huku mlengwa ni Mbowe, Mbowe akafungwa na wenzake na kulipa faini ya Milioni 350, kisha akakata rufaa mahakama Kuu akashinda.

Baada ya kuona kila mbinu inafeli, wakaamua kumuundia jaribio la kumuua kule Dodoma ambako pia waliwahi kujaribu kumuua Mh Tundu Lissu. Kwa Mbowe katika purukushani wakamvunja miguu yote miwili. Hali ikawa mbaya wakati tukielekea kwenye uchaguzi Mkuu, Katika kujihakikishia Usalama, Mbowe akaona atafute ulinzi binafsi wa watu wenye mafunzo imara, na chaguo likawa atafute wanajeshi wastaafu au walioacha kazi serikali, Akawapata makomandoo wanne, Dola baada ya kuona sasa Mbowe ana ulinzi wa Makomandoo wakamfuata Mbowe kwa mdomo wakimtuma Mkuu wa Polisi Kinondoni Ramadhani Kingai kwamba saaa tunakubambikia kesi ya Ugaidi hautachomoka.

Kama masihara kweli Walinzi wa Mbowe wakakamatwa wakiwa kazini na kubambikiwa kesi ya Ugaidi na kisha wakamuunganisha Mbowe kwamba alifadhili ugaidi huo kwa laki sita pale alipo kuwa akiwatumia pesa hiyo ya kununulia nguo (suti) ili wapendeze wakiwa wanamlinda. Kesi inaendelea Mbowe yuko mahabusu karibu mwezi wa nne huu, mashahidi nane washafika kutoa ushahidi ambapo wote hakuna aliyetoa ushahidi unaoendana na mashitaka ya ugaidi,

Huku Majaji watatu wakiikimbia kesi hii na aliyeshika sasa hivi Jaji Joachim Tiganga akionekana kuendesha kesi kwa maoni yake binafsi sio kwakufuata sheria, Hali inayotafsirika kuwa kesi hii ilishasikilizwa na ikulu na kuamuliwa na ikulu siku nyingi tangu rais Samia alipotokeza hadharani kupitia BBC na kumuhukumu moja kwa moja Mbowe kuwa ni gaidi na kwamba wenzake wanatumikia kifungo yeye alikimbia nchi, Jambo ambalo si kweli, hakuna aliyehukumiwa wala Mbowe hajawahi kukimbia nchi hii.

Kwa nadharia ya kawaida Mbowe ameweza kusimama imara dhidi ya Taasisi hii, jaribio lolote la kuiangusha taasisi hii ni ushindi kwa maadui, na hilo Mbowe amekataa kata kata. Mapito aliyopitishwa Mbowe ningekuwa na mamlaka ningempa cheo cha Rafidainian Order First Class, ROFC, Hiki ni cheo cha juu kwa jasusi mwenye taaluma zote na uzoefu wa mission ngumu ndani ya idara ya ujasusi duniani, yaani mpanga mikakati ya ushindi, na mtekeleza mikakati ikiwemo uwezo mkubwa wa wa diplomasia ya kijasusi wa kidola.

Nawiwa na furaha na kuona taifa jipya la Tanzania likizaliwa mikononi mwa Mbowe chini ya Chama imara cha Chadema katikatika ya mapito magumu. Kwanamna alivyoweza kukiongoza chama kuhandle suala la Kamanda Lissu na kuokoa uhai wake, kwa hakika Taifa la Tanzania na Wanachadema wamebarikiwa kuwa na kiongozi imara mwenye hekima, busara na maarifa.

Nampa saluti kubwa sana ya Ukombozi Kamanda Mbowe, Mbowe anaijua siasa, Mbowe anahekima, anashaurika na anaheshimu taaluma na wataalamu. Mhimu zaidi vijana wa Taifa hili tujifunze, siasa sio kama ibada za kanisani au msikitini ambako mila na destuli huaminiwa na kufuatwa.Tunaposhiriki siasa za kisasa tunashiriki kwakutumia akili ya juu sana sio asili ya juu.

Wanachadema uchaguzi ni wetu, turuhusu dola iue chama au tusimame wima kumlinda Mbowe na taasisi yetu iwe salama?

Na Yericko Nyerere

Kichwa cha habari kimeandikwa kwa mbwembwe nyingi kumbe ni habari ya Mbowe!.
 
Natanguliza ufafanuzi kidogo wa mambo ya siasa na itikadi, Siasa ni mambo mtambuka, wengi husema siasa ni sayansi, Siasa ni itikadi inayofuatwa na kundi au jamii fulani ambayo ni msingi kuendesha uchumi, utamaduni na mwenendo mzima maisha ya jamii hiyo. Siasa maana yake ni njia azitumiazo mtu au kundi la watu kupata nguvu na madaraka, na ikitokea mtu akapata nguvu hizo huendelea na hatua ya pili ya njia hizo ili kuhahihisha anabaki na nguvu zake au na madaraka yake kwa lengo la kuendelea kufanya kile alichokikusudia. Kinachogomba hapo ni mamlaka/madaraka/nguvu azipatazo mwanasiasa anazitumia kwa maslahi ya nani?. Siasa ni mambo mengi lakini sio SAYANSI, Siasa ni medani ya mapambano ya kimadaraka (power struggle).

Kifalsafa Mwanasiasa ni adui wa uzalendo, simuumini wa uzalendo, huamini katika itikadi ya siasa yake. Uzalendo na siasa hukinzana lakini uzalendo huo huhanikizwa ama umo katika siasa. Lakini ili ifanyike siasa lazima pawepo na itikadi. Hivyo taasisi na idara za ujasusi wa kidola zina jukumu la kutafsiri itikadi pia inayoshirikiwa na watu katika jamii.

Itikadi ni mkusanyiko wa imani unaoshirikiwa na kundi la watu fulani. Kuna aina kuu mbili za itikadi: Itikadi za kisiasa, na itikadi za kiepistemolojia (sehemu ya falsafa ambayo inahusu utafiti wa jinsi tunavyojua mambo).

Itikadi ya kisiasa ni upangiliaji unaohusu mawazo ya kimaadili na namna ya kuendesha ama kuongoza nchi. Itikadi za kiepistemolojia ni upangiliaji unaohusu mawazo ya kifalsafa, ulimwengu, na jinsi gani watu wanapaswa kufanya maamuzi.

Baada ya ufafanuzi huo wa maana ya siasa na Itikadi, sasa naomba tumtazambe Mbowe kama kiongozi wa Kisiasa na mafanikio yake katika ardhi ya Tanzania na kwanini bado Siasa inamhitaji kwa udi na uvumba. Tukianzia hapa kwenye utawala huu, mtakubaliana nami kuwa Rais wa nchi aliapa kwa maneno yake kufuts upinzani nchini, Wengi walichukulia kama maneno raihisi tu ya majukwaani, lakini ile ilikuwa kauli ya kirais (decrees), na utekelezwaji wake ulianzia mbali na umefika pabaya sana,

Chama cha siasa kinakuwa hatari pale tu kinapokuwa kimekua kikubwa na kinauwezo wa kushika madaraka ya nchi, nje ya hapo hakiwi na hatari yoyote yaani kinakuwa kijiwe cha kisiasa na tumbo tu. Sasa ili uweze kuviua vyama vya siasa vyenye nguvu ambavyo vinatishia kushika madaraka, inatakiwa mambo makuu mawili tu, ambayo ni, kwanza uue uchumi wa viongozi wa vyama hivyo, hapa ndipo unamuona Lipumba, Mrema, Mbatia, Dovutwa, Zitto na wengine kwamba hawa sio threat kwa dola kwakuwa wanabei tena bei elekezi, yaani hawana utajiri wa pesa na hawana biashara yoyote zaidi ya biashara ya siasa tu.

Jambo la pili ili uviue vyama vya siasa vyenye nguvu ya kushika dola ni lazima kupandikiza mawakala wa ujasusi wa dola ambao watafanikiwa kumgombanisha Mwenyekiti na Katibu, chama chochote ambacho mwenyekiti na katibu wanaongea lugha moja huwa hakivunjiki haraka hata kama utafanikiwa hatua ya kwanza ya kufinya mirija yao ya uchumi binafsi.

Hatua za kujaribu kukiua chadema zilianza mbali na lilikuwa tangazo rasmi la kirais. Kwanza ilianza kwenye kupiga marufuku shughuli za kisiasa kwa vyama vya siasa ambazo ziko kikatiba na kisheria, hili lilikiwa pigo la kwanza kwa siasa na demokrasia nchini, Mbowe ni mmoja wao. Hatua ya pili ilikuwa ni wapinzani kusulubiwa kwa mkono wa mahakama, hili limeshuhudiwa uwingi wa wapinzani nchini katika mahakama za nchi nzima na kila aliyekosoa utawala wa Dikteta Magufuli ameonja mahabusu, Mbowe ni mmoja wao,

Hatua ya ratu ikawa ni kununua wapinzani huku utekaji wa kisiasa ukishamiri, wanasiasa wengi wa upinzani wakashindwa kuhimili, wakajisalimisha mikonini mwa dola na chama dola wakitafuta usalama wao kisiasa, wengi wakazawadiwa vyeo na madaraka, Lakini Mh Mbowe akakataa katakata kupiga magoti kwa watawala na kukiua Chadema sawa na ilivyouawa CUF nk.

Hatua ya nne ikawa kuwaondolea uchumi viongozi wa vyama vya upinzani na wote wenye mrengo tofauti na utawala, hapa Mbowe akiwa ndio mlengwa na ameathirika zaidi kuliko mtu yoyote, kwenye hatua hii ndio watu wetu wengi uzalendo kwa wananchi uliwashinda wakaamua kujisalimisha hata mgombea wetu urais ambae umma ulimpigia kura zaidi ya milioni sita, alishindwa kuhimili kibano hiki akakimbia kujisalimisha ccm. Mbowe akawagomea.

Kwa Mbowe walianza na kuharibu mashamba yake kule hai alikokuwa amewekeza zaidi ya 6 billions akiwa ni mfanyabiashara wa pili barani afrika kwakuuza mboga na matunda katika soko la ulaya, hapa akiwa nyuma ya Uhuru Family wanaoongoza kwa Afrika kuuza bidhaa hizo kwa soko la ulaya. Mradi huu uliharibiwa utoka kwenye bilioni 6 hadi kuwa sifuri kabisa kwa hoja za kijinga kwamba analima kwenye vyanzo vya maji, kumbuka mradi huo ulikuwepo tangu kabla ya Uhuru wa Tanganyika ambapo mzee Aikael Mbowe baba wa Freeman ndie mwasisi na watu wamazingira walikuwepo hawajawahi kutoa sababu hizo, mradi huu uliajiri zaidi ya watanzania 2,600, na mradi huo ulilipa kodi ya zaidi ya 3 billions kwa mwaka, watu wote hawa wakakosa kazi na serikali ikakosa kodi, Mbowe akagoma kuhama chama na kuuza chama.

Mbowe akaharibiwa biashara yake nyingine ambayo ni klabu ya starehe Bilicanas iliyokuwapo mtaa wa mkwepu posta jijini Dar es Salaam, kwa hoja za ajabuajabu klabu yenye mtaji wa karibu 8 billions iliyoajiri Watanzania zaidi ya 200 na inayolipa kodi zaidi 2 billions kwa mwaka, ikavunjwa, yaani sio kuvunjwa tu kwamaana ya kuifunga, bali ikavunjwa kabisa na jengo kanakwamba kuna ujenzi unaanza, lakini mwaka wa tano huu pamebaki mbuga ya kuoshea magari na kuegesha nagari tu. Mbowe huyuhuyu hakutikisika,

Baada ya hapo Mh Mbowe akiwa bado imara, akaamua kwenda kuanzisha mashamba huko Morogoro akawekeza zaidi ya 6 bullions, tena ni kilimo cha umwagiliaji, huwezi amini kufumba na kufumbua mashamba yake yote yakiwa na mazao, yalifyekwa yote na majanga juu, hoja zao nikwamba amelima kwenye vyanzi vya maji, Mbowe huyuhuyu hakutikisika, akagoma kupiga magoti akabaki na Chadema,

Wakaona haitoshi, akaunti zake zote zikafungwa, sio kufungwa tu bali zikachukuliwa pesa zote zaidi ya 8b katika akaunti zote akazipoteza, yaani wakataka abaki mchangani kabisa, Mbowe akasimama wima hakutikisika akagoma kuuza chama, Lengo lote ni kuhakikisha Chadema inaanguka, na ili kuiangusha inabidi umuangushe Mbowe kiuchumi na kimedani. Unaweza kuona dhamira na machaguo ya dola kwamba haijalishi unachangia pato la taifa kwa kiwango gani bali ni kuhakikisha upinzani unakufa Tanzania

Wakaja na mkakati wa kimahakama, wakacheza nae mahabusu weee kesi ya mauaji ya Akwilina aliyeua hajulikani na hawajamfikisha mahakamani, lakini mshitakiwa ni Chadema (Viongozi) kwakinachoitwa maandamano bila kibali huku mlengwa ni Mbowe, Mbowe akafungwa na wenzake na kulipa faini ya Milioni 350, kisha akakata rufaa mahakama Kuu akashinda.

Baada ya kuona kila mbinu inafeli, wakaamua kumuundia jaribio la kumuua kule Dodoma ambako pia waliwahi kujaribu kumuua Mh Tundu Lissu. Kwa Mbowe katika purukushani wakamvunja miguu yote miwili. Hali ikawa mbaya wakati tukielekea kwenye uchaguzi Mkuu, Katika kujihakikishia Usalama, Mbowe akaona atafute ulinzi binafsi wa watu wenye mafunzo imara, na chaguo likawa atafute wanajeshi wastaafu au walioacha kazi serikali, Akawapata makomandoo wanne, Dola baada ya kuona sasa Mbowe ana ulinzi wa Makomandoo wakamfuata Mbowe kwa mdomo wakimtuma Mkuu wa Polisi Kinondoni Ramadhani Kingai kwamba saaa tunakubambikia kesi ya Ugaidi hautachomoka.

Kama masihara kweli Walinzi wa Mbowe wakakamatwa wakiwa kazini na kubambikiwa kesi ya Ugaidi na kisha wakamuunganisha Mbowe kwamba alifadhili ugaidi huo kwa laki sita pale alipo kuwa akiwatumia pesa hiyo ya kununulia nguo (suti) ili wapendeze wakiwa wanamlinda. Kesi inaendelea Mbowe yuko mahabusu karibu mwezi wa nne huu, mashahidi nane washafika kutoa ushahidi ambapo wote hakuna aliyetoa ushahidi unaoendana na mashitaka ya ugaidi,

Huku Majaji watatu wakiikimbia kesi hii na aliyeshika sasa hivi Jaji Joachim Tiganga akionekana kuendesha kesi kwa maoni yake binafsi sio kwakufuata sheria, Hali inayotafsirika kuwa kesi hii ilishasikilizwa na ikulu na kuamuliwa na ikulu siku nyingi tangu rais Samia alipotokeza hadharani kupitia BBC na kumuhukumu moja kwa moja Mbowe kuwa ni gaidi na kwamba wenzake wanatumikia kifungo yeye alikimbia nchi, Jambo ambalo si kweli, hakuna aliyehukumiwa wala Mbowe hajawahi kukimbia nchi hii.

Kwa nadharia ya kawaida Mbowe ameweza kusimama imara dhidi ya Taasisi hii, jaribio lolote la kuiangusha taasisi hii ni ushindi kwa maadui, na hilo Mbowe amekataa kata kata. Mapito aliyopitishwa Mbowe ningekuwa na mamlaka ningempa cheo cha Rafidainian Order First Class, ROFC, Hiki ni cheo cha juu kwa jasusi mwenye taaluma zote na uzoefu wa mission ngumu ndani ya idara ya ujasusi duniani, yaani mpanga mikakati ya ushindi, na mtekeleza mikakati ikiwemo uwezo mkubwa wa wa diplomasia ya kijasusi wa kidola.

Nawiwa na furaha na kuona taifa jipya la Tanzania likizaliwa mikononi mwa Mbowe chini ya Chama imara cha Chadema katikatika ya mapito magumu. Kwanamna alivyoweza kukiongoza chama kuhandle suala la Kamanda Lissu na kuokoa uhai wake, kwa hakika Taifa la Tanzania na Wanachadema wamebarikiwa kuwa na kiongozi imara mwenye hekima, busara na maarifa.

Nampa saluti kubwa sana ya Ukombozi Kamanda Mbowe, Mbowe anaijua siasa, Mbowe anahekima, anashaurika na anaheshimu taaluma na wataalamu. Mhimu zaidi vijana wa Taifa hili tujifunze, siasa sio kama ibada za kanisani au msikitini ambako mila na destuli huaminiwa na kufuatwa.Tunaposhiriki siasa za kisasa tunashiriki kwakutumia akili ya juu sana sio asili ya juu.

Wanachadema uchaguzi ni wetu, turuhusu dola iue chama au tusimame wima kumlinda Mbowe na taasisi yetu iwe salama?

Na Yericko Nyerere

Sauti ya Gaidi iliyopakwa asali; maneno ya mchana na wazi yanayopishana na matendo ya gizani.
Yeriko mwambie Mbowe kabla hajafungwa akupe
1. HABARI ZA KUIBA TRAVELLERS CHEQUE BOT
2. CLIP YA BOMU LILILIPULIWA KWENYE MKUTANO WA CHADEMA ARUSHA
3. CLIP YA MLIPUKO WA MABOMU KANISA KATOLIKI OLASITI (Mripuko kanisani Arusha wauwa watu - BBC News Swahili)
4. MAELEZO KWA NINI ALIMZUIA DREVA WA LISSU ASIHOJIWE NA POLISI
 
Natanguliza ufafanuzi kidogo wa mambo ya siasa na itikadi, Siasa ni mambo mtambuka, wengi husema siasa ni sayansi, Siasa ni itikadi inayofuatwa na kundi au jamii fulani ambayo ni msingi kuendesha uchumi, utamaduni na mwenendo mzima maisha ya jamii hiyo. Siasa maana yake ni njia azitumiazo mtu au kundi la watu kupata nguvu na madaraka, na ikitokea mtu akapata nguvu hizo huendelea na hatua ya pili ya njia hizo ili kuhahihisha anabaki na nguvu zake au na madaraka yake kwa lengo la kuendelea kufanya kile alichokikusudia. Kinachogomba hapo ni mamlaka/madaraka/nguvu azipatazo mwanasiasa anazitumia kwa maslahi ya nani?. Siasa ni mambo mengi lakini sio SAYANSI, Siasa ni medani ya mapambano ya kimadaraka (power struggle).

Kifalsafa Mwanasiasa ni adui wa uzalendo, simuumini wa uzalendo, huamini katika itikadi ya siasa yake. Uzalendo na siasa hukinzana lakini uzalendo huo huhanikizwa ama umo katika siasa. Lakini ili ifanyike siasa lazima pawepo na itikadi. Hivyo taasisi na idara za ujasusi wa kidola zina jukumu la kutafsiri itikadi pia inayoshirikiwa na watu katika jamii.

Itikadi ni mkusanyiko wa imani unaoshirikiwa na kundi la watu fulani. Kuna aina kuu mbili za itikadi: Itikadi za kisiasa, na itikadi za kiepistemolojia (sehemu ya falsafa ambayo inahusu utafiti wa jinsi tunavyojua mambo).

Itikadi ya kisiasa ni upangiliaji unaohusu mawazo ya kimaadili na namna ya kuendesha ama kuongoza nchi. Itikadi za kiepistemolojia ni upangiliaji unaohusu mawazo ya kifalsafa, ulimwengu, na jinsi gani watu wanapaswa kufanya maamuzi.

Baada ya ufafanuzi huo wa maana ya siasa na Itikadi, sasa naomba tumtazambe Mbowe kama kiongozi wa Kisiasa na mafanikio yake katika ardhi ya Tanzania na kwanini bado Siasa inamhitaji kwa udi na uvumba. Tukianzia hapa kwenye utawala huu, mtakubaliana nami kuwa Rais wa nchi aliapa kwa maneno yake kufuts upinzani nchini, Wengi walichukulia kama maneno raihisi tu ya majukwaani, lakini ile ilikuwa kauli ya kirais (decrees), na utekelezwaji wake ulianzia mbali na umefika pabaya sana,

Chama cha siasa kinakuwa hatari pale tu kinapokuwa kimekua kikubwa na kinauwezo wa kushika madaraka ya nchi, nje ya hapo hakiwi na hatari yoyote yaani kinakuwa kijiwe cha kisiasa na tumbo tu. Sasa ili uweze kuviua vyama vya siasa vyenye nguvu ambavyo vinatishia kushika madaraka, inatakiwa mambo makuu mawili tu, ambayo ni, kwanza uue uchumi wa viongozi wa vyama hivyo, hapa ndipo unamuona Lipumba, Mrema, Mbatia, Dovutwa, Zitto na wengine kwamba hawa sio threat kwa dola kwakuwa wanabei tena bei elekezi, yaani hawana utajiri wa pesa na hawana biashara yoyote zaidi ya biashara ya siasa tu.

Jambo la pili ili uviue vyama vya siasa vyenye nguvu ya kushika dola ni lazima kupandikiza mawakala wa ujasusi wa dola ambao watafanikiwa kumgombanisha Mwenyekiti na Katibu, chama chochote ambacho mwenyekiti na katibu wanaongea lugha moja huwa hakivunjiki haraka hata kama utafanikiwa hatua ya kwanza ya kufinya mirija yao ya uchumi binafsi.

Hatua za kujaribu kukiua chadema zilianza mbali na lilikuwa tangazo rasmi la kirais. Kwanza ilianza kwenye kupiga marufuku shughuli za kisiasa kwa vyama vya siasa ambazo ziko kikatiba na kisheria, hili lilikiwa pigo la kwanza kwa siasa na demokrasia nchini, Mbowe ni mmoja wao. Hatua ya pili ilikuwa ni wapinzani kusulubiwa kwa mkono wa mahakama, hili limeshuhudiwa uwingi wa wapinzani nchini katika mahakama za nchi nzima na kila aliyekosoa utawala wa Dikteta Magufuli ameonja mahabusu, Mbowe ni mmoja wao,

Hatua ya ratu ikawa ni kununua wapinzani huku utekaji wa kisiasa ukishamiri, wanasiasa wengi wa upinzani wakashindwa kuhimili, wakajisalimisha mikonini mwa dola na chama dola wakitafuta usalama wao kisiasa, wengi wakazawadiwa vyeo na madaraka, Lakini Mh Mbowe akakataa katakata kupiga magoti kwa watawala na kukiua Chadema sawa na ilivyouawa CUF nk.

Hatua ya nne ikawa kuwaondolea uchumi viongozi wa vyama vya upinzani na wote wenye mrengo tofauti na utawala, hapa Mbowe akiwa ndio mlengwa na ameathirika zaidi kuliko mtu yoyote, kwenye hatua hii ndio watu wetu wengi uzalendo kwa wananchi uliwashinda wakaamua kujisalimisha hata mgombea wetu urais ambae umma ulimpigia kura zaidi ya milioni sita, alishindwa kuhimili kibano hiki akakimbia kujisalimisha ccm. Mbowe akawagomea.

Kwa Mbowe walianza na kuharibu mashamba yake kule hai alikokuwa amewekeza zaidi ya 6 billions akiwa ni mfanyabiashara wa pili barani afrika kwakuuza mboga na matunda katika soko la ulaya, hapa akiwa nyuma ya Uhuru Family wanaoongoza kwa Afrika kuuza bidhaa hizo kwa soko la ulaya. Mradi huu uliharibiwa utoka kwenye bilioni 6 hadi kuwa sifuri kabisa kwa hoja za kijinga kwamba analima kwenye vyanzo vya maji, kumbuka mradi huo ulikuwepo tangu kabla ya Uhuru wa Tanganyika ambapo mzee Aikael Mbowe baba wa Freeman ndie mwasisi na watu wamazingira walikuwepo hawajawahi kutoa sababu hizo, mradi huu uliajiri zaidi ya watanzania 2,600, na mradi huo ulilipa kodi ya zaidi ya 3 billions kwa mwaka, watu wote hawa wakakosa kazi na serikali ikakosa kodi, Mbowe akagoma kuhama chama na kuuza chama.

Mbowe akaharibiwa biashara yake nyingine ambayo ni klabu ya starehe Bilicanas iliyokuwapo mtaa wa mkwepu posta jijini Dar es Salaam, kwa hoja za ajabuajabu klabu yenye mtaji wa karibu 8 billions iliyoajiri Watanzania zaidi ya 200 na inayolipa kodi zaidi 2 billions kwa mwaka, ikavunjwa, yaani sio kuvunjwa tu kwamaana ya kuifunga, bali ikavunjwa kabisa na jengo kanakwamba kuna ujenzi unaanza, lakini mwaka wa tano huu pamebaki mbuga ya kuoshea magari na kuegesha nagari tu. Mbowe huyuhuyu hakutikisika,

Baada ya hapo Mh Mbowe akiwa bado imara, akaamua kwenda kuanzisha mashamba huko Morogoro akawekeza zaidi ya 6 bullions, tena ni kilimo cha umwagiliaji, huwezi amini kufumba na kufumbua mashamba yake yote yakiwa na mazao, yalifyekwa yote na majanga juu, hoja zao nikwamba amelima kwenye vyanzi vya maji, Mbowe huyuhuyu hakutikisika, akagoma kupiga magoti akabaki na Chadema,

Wakaona haitoshi, akaunti zake zote zikafungwa, sio kufungwa tu bali zikachukuliwa pesa zote zaidi ya 8b katika akaunti zote akazipoteza, yaani wakataka abaki mchangani kabisa, Mbowe akasimama wima hakutikisika akagoma kuuza chama, Lengo lote ni kuhakikisha Chadema inaanguka, na ili kuiangusha inabidi umuangushe Mbowe kiuchumi na kimedani. Unaweza kuona dhamira na machaguo ya dola kwamba haijalishi unachangia pato la taifa kwa kiwango gani bali ni kuhakikisha upinzani unakufa Tanzania

Wakaja na mkakati wa kimahakama, wakacheza nae mahabusu weee kesi ya mauaji ya Akwilina aliyeua hajulikani na hawajamfikisha mahakamani, lakini mshitakiwa ni Chadema (Viongozi) kwakinachoitwa maandamano bila kibali huku mlengwa ni Mbowe, Mbowe akafungwa na wenzake na kulipa faini ya Milioni 350, kisha akakata rufaa mahakama Kuu akashinda.

Baada ya kuona kila mbinu inafeli, wakaamua kumuundia jaribio la kumuua kule Dodoma ambako pia waliwahi kujaribu kumuua Mh Tundu Lissu. Kwa Mbowe katika purukushani wakamvunja miguu yote miwili. Hali ikawa mbaya wakati tukielekea kwenye uchaguzi Mkuu, Katika kujihakikishia Usalama, Mbowe akaona atafute ulinzi binafsi wa watu wenye mafunzo imara, na chaguo likawa atafute wanajeshi wastaafu au walioacha kazi serikali, Akawapata makomandoo wanne, Dola baada ya kuona sasa Mbowe ana ulinzi wa Makomandoo wakamfuata Mbowe kwa mdomo wakimtuma Mkuu wa Polisi Kinondoni Ramadhani Kingai kwamba saaa tunakubambikia kesi ya Ugaidi hautachomoka.

Kama masihara kweli Walinzi wa Mbowe wakakamatwa wakiwa kazini na kubambikiwa kesi ya Ugaidi na kisha wakamuunganisha Mbowe kwamba alifadhili ugaidi huo kwa laki sita pale alipo kuwa akiwatumia pesa hiyo ya kununulia nguo (suti) ili wapendeze wakiwa wanamlinda. Kesi inaendelea Mbowe yuko mahabusu karibu mwezi wa nne huu, mashahidi nane washafika kutoa ushahidi ambapo wote hakuna aliyetoa ushahidi unaoendana na mashitaka ya ugaidi,

Huku Majaji watatu wakiikimbia kesi hii na aliyeshika sasa hivi Jaji Joachim Tiganga akionekana kuendesha kesi kwa maoni yake binafsi sio kwakufuata sheria, Hali inayotafsirika kuwa kesi hii ilishasikilizwa na ikulu na kuamuliwa na ikulu siku nyingi tangu rais Samia alipotokeza hadharani kupitia BBC na kumuhukumu moja kwa moja Mbowe kuwa ni gaidi na kwamba wenzake wanatumikia kifungo yeye alikimbia nchi, Jambo ambalo si kweli, hakuna aliyehukumiwa wala Mbowe hajawahi kukimbia nchi hii.

Kwa nadharia ya kawaida Mbowe ameweza kusimama imara dhidi ya Taasisi hii, jaribio lolote la kuiangusha taasisi hii ni ushindi kwa maadui, na hilo Mbowe amekataa kata kata. Mapito aliyopitishwa Mbowe ningekuwa na mamlaka ningempa cheo cha Rafidainian Order First Class, ROFC, Hiki ni cheo cha juu kwa jasusi mwenye taaluma zote na uzoefu wa mission ngumu ndani ya idara ya ujasusi duniani, yaani mpanga mikakati ya ushindi, na mtekeleza mikakati ikiwemo uwezo mkubwa wa wa diplomasia ya kijasusi wa kidola.

Nawiwa na furaha na kuona taifa jipya la Tanzania likizaliwa mikononi mwa Mbowe chini ya Chama imara cha Chadema katikatika ya mapito magumu. Kwanamna alivyoweza kukiongoza chama kuhandle suala la Kamanda Lissu na kuokoa uhai wake, kwa hakika Taifa la Tanzania na Wanachadema wamebarikiwa kuwa na kiongozi imara mwenye hekima, busara na maarifa.

Nampa saluti kubwa sana ya Ukombozi Kamanda Mbowe, Mbowe anaijua siasa, Mbowe anahekima, anashaurika na anaheshimu taaluma na wataalamu. Mhimu zaidi vijana wa Taifa hili tujifunze, siasa sio kama ibada za kanisani au msikitini ambako mila na destuli huaminiwa na kufuatwa.Tunaposhiriki siasa za kisasa tunashiriki kwakutumia akili ya juu sana sio asili ya juu.

Wanachadema uchaguzi ni wetu, turuhusu dola iue chama au tusimame wima kumlinda Mbowe na taasisi yetu iwe salama?

Na Yericko Nyerere

Yaan kati ya vyama hovyoo vyema watu wa hovyo kutokea tanzania..aisee chadema ni chama cha hovyoo chenye watu hovyo..
Uhovyoo huo ni upi?
1:kumtukana lowasa na kumkejel kwamba ni fisadi mwisho wa siku wakampokea kwa mikono 50!
2:kumuita kikwete ni rais dhaifu kisha kumpongeza kwa kuweza nchi kama anavyofanya huyuu kijana wa hovyo hapa!
 
Ataweza wapi? Huyu asipobadilika hafiki mbali hizo pesa anazokopa kopa hata ona hata zilipoishia.
Natanguliza ufafanuzi kidogo wa mambo ya siasa na itikadi, Siasa ni mambo mtambuka, wengi husema siasa ni sayansi, Siasa ni itikadi inayofuatwa na kundi au jamii fulani ambayo ni msingi kuendesha uchumi, utamaduni na mwenendo mzima maisha ya jamii hiyo. Siasa maana yake ni njia azitumiazo mtu au kundi la watu kupata nguvu na madaraka, na ikitokea mtu akapata nguvu hizo huendelea na hatua ya pili ya njia hizo ili kuhahihisha anabaki na nguvu zake au na madaraka yake kwa lengo la kuendelea kufanya kile alichokikusudia. Kinachogomba hapo ni mamlaka/madaraka/nguvu azipatazo mwanasiasa anazitumia kwa maslahi ya nani?. Siasa ni mambo mengi lakini sio SAYANSI, Siasa ni medani ya mapambano ya kimadaraka (power struggle).

Kifalsafa Mwanasiasa ni adui wa uzalendo, simuumini wa uzalendo, huamini katika itikadi ya siasa yake. Uzalendo na siasa hukinzana lakini uzalendo huo huhanikizwa ama umo katika siasa. Lakini ili ifanyike siasa lazima pawepo na itikadi. Hivyo taasisi na idara za ujasusi wa kidola zina jukumu la kutafsiri itikadi pia inayoshirikiwa na watu katika jamii.

Itikadi ni mkusanyiko wa imani unaoshirikiwa na kundi la watu fulani. Kuna aina kuu mbili za itikadi: Itikadi za kisiasa, na itikadi za kiepistemolojia (sehemu ya falsafa ambayo inahusu utafiti wa jinsi tunavyojua mambo).

Itikadi ya kisiasa ni upangiliaji unaohusu mawazo ya kimaadili na namna ya kuendesha ama kuongoza nchi. Itikadi za kiepistemolojia ni upangiliaji unaohusu mawazo ya kifalsafa, ulimwengu, na jinsi gani watu wanapaswa kufanya maamuzi.

Baada ya ufafanuzi huo wa maana ya siasa na Itikadi, sasa naomba tumtazambe Mbowe kama kiongozi wa Kisiasa na mafanikio yake katika ardhi ya Tanzania na kwanini bado Siasa inamhitaji kwa udi na uvumba. Tukianzia hapa kwenye utawala huu, mtakubaliana nami kuwa Rais wa nchi aliapa kwa maneno yake kufuts upinzani nchini, Wengi walichukulia kama maneno raihisi tu ya majukwaani, lakini ile ilikuwa kauli ya kirais (decrees), na utekelezwaji wake ulianzia mbali na umefika pabaya sana,

Chama cha siasa kinakuwa hatari pale tu kinapokuwa kimekua kikubwa na kinauwezo wa kushika madaraka ya nchi, nje ya hapo hakiwi na hatari yoyote yaani kinakuwa kijiwe cha kisiasa na tumbo tu. Sasa ili uweze kuviua vyama vya siasa vyenye nguvu ambavyo vinatishia kushika madaraka, inatakiwa mambo makuu mawili tu, ambayo ni, kwanza uue uchumi wa viongozi wa vyama hivyo, hapa ndipo unamuona Lipumba, Mrema, Mbatia, Dovutwa, Zitto na wengine kwamba hawa sio threat kwa dola kwakuwa wanabei tena bei elekezi, yaani hawana utajiri wa pesa na hawana biashara yoyote zaidi ya biashara ya siasa tu.

Jambo la pili ili uviue vyama vya siasa vyenye nguvu ya kushika dola ni lazima kupandikiza mawakala wa ujasusi wa dola ambao watafanikiwa kumgombanisha Mwenyekiti na Katibu, chama chochote ambacho mwenyekiti na katibu wanaongea lugha moja huwa hakivunjiki haraka hata kama utafanikiwa hatua ya kwanza ya kufinya mirija yao ya uchumi binafsi.

Hatua za kujaribu kukiua chadema zilianza mbali na lilikuwa tangazo rasmi la kirais. Kwanza ilianza kwenye kupiga marufuku shughuli za kisiasa kwa vyama vya siasa ambazo ziko kikatiba na kisheria, hili lilikiwa pigo la kwanza kwa siasa na demokrasia nchini, Mbowe ni mmoja wao. Hatua ya pili ilikuwa ni wapinzani kusulubiwa kwa mkono wa mahakama, hili limeshuhudiwa uwingi wa wapinzani nchini katika mahakama za nchi nzima na kila aliyekosoa utawala wa Dikteta Magufuli ameonja mahabusu, Mbowe ni mmoja wao,

Hatua ya ratu ikawa ni kununua wapinzani huku utekaji wa kisiasa ukishamiri, wanasiasa wengi wa upinzani wakashindwa kuhimili, wakajisalimisha mikonini mwa dola na chama dola wakitafuta usalama wao kisiasa, wengi wakazawadiwa vyeo na madaraka, Lakini Mh Mbowe akakataa katakata kupiga magoti kwa watawala na kukiua Chadema sawa na ilivyouawa CUF nk.

Hatua ya nne ikawa kuwaondolea uchumi viongozi wa vyama vya upinzani na wote wenye mrengo tofauti na utawala, hapa Mbowe akiwa ndio mlengwa na ameathirika zaidi kuliko mtu yoyote, kwenye hatua hii ndio watu wetu wengi uzalendo kwa wananchi uliwashinda wakaamua kujisalimisha hata mgombea wetu urais ambae umma ulimpigia kura zaidi ya milioni sita, alishindwa kuhimili kibano hiki akakimbia kujisalimisha ccm. Mbowe akawagomea.

Kwa Mbowe walianza na kuharibu mashamba yake kule hai alikokuwa amewekeza zaidi ya 6 billions akiwa ni mfanyabiashara wa pili barani afrika kwakuuza mboga na matunda katika soko la ulaya, hapa akiwa nyuma ya Uhuru Family wanaoongoza kwa Afrika kuuza bidhaa hizo kwa soko la ulaya. Mradi huu uliharibiwa utoka kwenye bilioni 6 hadi kuwa sifuri kabisa kwa hoja za kijinga kwamba analima kwenye vyanzo vya maji, kumbuka mradi huo ulikuwepo tangu kabla ya Uhuru wa Tanganyika ambapo mzee Aikael Mbowe baba wa Freeman ndie mwasisi na watu wamazingira walikuwepo hawajawahi kutoa sababu hizo, mradi huu uliajiri zaidi ya watanzania 2,600, na mradi huo ulilipa kodi ya zaidi ya 3 billions kwa mwaka, watu wote hawa wakakosa kazi na serikali ikakosa kodi, Mbowe akagoma kuhama chama na kuuza chama.

Mbowe akaharibiwa biashara yake nyingine ambayo ni klabu ya starehe Bilicanas iliyokuwapo mtaa wa mkwepu posta jijini Dar es Salaam, kwa hoja za ajabuajabu klabu yenye mtaji wa karibu 8 billions iliyoajiri Watanzania zaidi ya 200 na inayolipa kodi zaidi 2 billions kwa mwaka, ikavunjwa, yaani sio kuvunjwa tu kwamaana ya kuifunga, bali ikavunjwa kabisa na jengo kanakwamba kuna ujenzi unaanza, lakini mwaka wa tano huu pamebaki mbuga ya kuoshea magari na kuegesha nagari tu. Mbowe huyuhuyu hakutikisika,

Baada ya hapo Mh Mbowe akiwa bado imara, akaamua kwenda kuanzisha mashamba huko Morogoro akawekeza zaidi ya 6 bullions, tena ni kilimo cha umwagiliaji, huwezi amini kufumba na kufumbua mashamba yake yote yakiwa na mazao, yalifyekwa yote na majanga juu, hoja zao nikwamba amelima kwenye vyanzi vya maji, Mbowe huyuhuyu hakutikisika, akagoma kupiga magoti akabaki na Chadema,

Wakaona haitoshi, akaunti zake zote zikafungwa, sio kufungwa tu bali zikachukuliwa pesa zote zaidi ya 8b katika akaunti zote akazipoteza, yaani wakataka abaki mchangani kabisa, Mbowe akasimama wima hakutikisika akagoma kuuza chama, Lengo lote ni kuhakikisha Chadema inaanguka, na ili kuiangusha inabidi umuangushe Mbowe kiuchumi na kimedani. Unaweza kuona dhamira na machaguo ya dola kwamba haijalishi unachangia pato la taifa kwa kiwango gani bali ni kuhakikisha upinzani unakufa Tanzania

Wakaja na mkakati wa kimahakama, wakacheza nae mahabusu weee kesi ya mauaji ya Akwilina aliyeua hajulikani na hawajamfikisha mahakamani, lakini mshitakiwa ni Chadema (Viongozi) kwakinachoitwa maandamano bila kibali huku mlengwa ni Mbowe, Mbowe akafungwa na wenzake na kulipa faini ya Milioni 350, kisha akakata rufaa mahakama Kuu akashinda.

Baada ya kuona kila mbinu inafeli, wakaamua kumuundia jaribio la kumuua kule Dodoma ambako pia waliwahi kujaribu kumuua Mh Tundu Lissu. Kwa Mbowe katika purukushani wakamvunja miguu yote miwili. Hali ikawa mbaya wakati tukielekea kwenye uchaguzi Mkuu, Katika kujihakikishia Usalama, Mbowe akaona atafute ulinzi binafsi wa watu wenye mafunzo imara, na chaguo likawa atafute wanajeshi wastaafu au walioacha kazi serikali, Akawapata makomandoo wanne, Dola baada ya kuona sasa Mbowe ana ulinzi wa Makomandoo wakamfuata Mbowe kwa mdomo wakimtuma Mkuu wa Polisi Kinondoni Ramadhani Kingai kwamba saaa tunakubambikia kesi ya Ugaidi hautachomoka.

Kama masihara kweli Walinzi wa Mbowe wakakamatwa wakiwa kazini na kubambikiwa kesi ya Ugaidi na kisha wakamuunganisha Mbowe kwamba alifadhili ugaidi huo kwa laki sita pale alipo kuwa akiwatumia pesa hiyo ya kununulia nguo (suti) ili wapendeze wakiwa wanamlinda. Kesi inaendelea Mbowe yuko mahabusu karibu mwezi wa nne huu, mashahidi nane washafika kutoa ushahidi ambapo wote hakuna aliyetoa ushahidi unaoendana na mashitaka ya ugaidi,

Huku Majaji watatu wakiikimbia kesi hii na aliyeshika sasa hivi Jaji Joachim Tiganga akionekana kuendesha kesi kwa maoni yake binafsi sio kwakufuata sheria, Hali inayotafsirika kuwa kesi hii ilishasikilizwa na ikulu na kuamuliwa na ikulu siku nyingi tangu rais Samia alipotokeza hadharani kupitia BBC na kumuhukumu moja kwa moja Mbowe kuwa ni gaidi na kwamba wenzake wanatumikia kifungo yeye alikimbia nchi, Jambo ambalo si kweli, hakuna aliyehukumiwa wala Mbowe hajawahi kukimbia nchi hii.

Kwa nadharia ya kawaida Mbowe ameweza kusimama imara dhidi ya Taasisi hii, jaribio lolote la kuiangusha taasisi hii ni ushindi kwa maadui, na hilo Mbowe amekataa kata kata. Mapito aliyopitishwa Mbowe ningekuwa na mamlaka ningempa cheo cha Rafidainian Order First Class, ROFC, Hiki ni cheo cha juu kwa jasusi mwenye taaluma zote na uzoefu wa mission ngumu ndani ya idara ya ujasusi duniani, yaani mpanga mikakati ya ushindi, na mtekeleza mikakati ikiwemo uwezo mkubwa wa wa diplomasia ya kijasusi wa kidola.

Nawiwa na furaha na kuona taifa jipya la Tanzania likizaliwa mikononi mwa Mbowe chini ya Chama imara cha Chadema katikatika ya mapito magumu. Kwanamna alivyoweza kukiongoza chama kuhandle suala la Kamanda Lissu na kuokoa uhai wake, kwa hakika Taifa la Tanzania na Wanachadema wamebarikiwa kuwa na kiongozi imara mwenye hekima, busara na maarifa.

Nampa saluti kubwa sana ya Ukombozi Kamanda Mbowe, Mbowe anaijua siasa, Mbowe anahekima, anashaurika na anaheshimu taaluma na wataalamu. Mhimu zaidi vijana wa Taifa hili tujifunze, siasa sio kama ibada za kanisani au msikitini ambako mila na destuli huaminiwa na kufuatwa.Tunaposhiriki siasa za kisasa tunashiriki kwakutumia akili ya juu sana sio asili ya juu.

Wanachadema uchaguzi ni wetu, turuhusu dola iue chama au tusimame wima kumlinda Mbowe na taasisi yetu iwe salama?

Na Yericko Nyerere

 
Natanguliza ufafanuzi kidogo wa mambo ya siasa na itikadi, Siasa ni mambo mtambuka, wengi husema siasa ni sayansi, Siasa ni itikadi inayofuatwa na kundi au jamii fulani ambayo ni msingi kuendesha uchumi, utamaduni na mwenendo mzima maisha ya jamii hiyo. Siasa maana yake ni njia azitumiazo mtu au kundi la watu kupata nguvu na madaraka, na ikitokea mtu akapata nguvu hizo huendelea na hatua ya pili ya njia hizo ili kuhahihisha anabaki na nguvu zake au na madaraka yake kwa lengo la kuendelea kufanya kile alichokikusudia. Kinachogomba hapo ni mamlaka/madaraka/nguvu azipatazo mwanasiasa anazitumia kwa maslahi ya nani?. Siasa ni mambo mengi lakini sio SAYANSI, Siasa ni medani ya mapambano ya kimadaraka (power struggle).

Kifalsafa Mwanasiasa ni adui wa uzalendo, simuumini wa uzalendo, huamini katika itikadi ya siasa yake. Uzalendo na siasa hukinzana lakini uzalendo huo huhanikizwa ama umo katika siasa. Lakini ili ifanyike siasa lazima pawepo na itikadi. Hivyo taasisi na idara za ujasusi wa kidola zina jukumu la kutafsiri itikadi pia inayoshirikiwa na watu katika jamii.

Itikadi ni mkusanyiko wa imani unaoshirikiwa na kundi la watu fulani. Kuna aina kuu mbili za itikadi: Itikadi za kisiasa, na itikadi za kiepistemolojia (sehemu ya falsafa ambayo inahusu utafiti wa jinsi tunavyojua mambo).

Itikadi ya kisiasa ni upangiliaji unaohusu mawazo ya kimaadili na namna ya kuendesha ama kuongoza nchi. Itikadi za kiepistemolojia ni upangiliaji unaohusu mawazo ya kifalsafa, ulimwengu, na jinsi gani watu wanapaswa kufanya maamuzi.

Baada ya ufafanuzi huo wa maana ya siasa na Itikadi, sasa naomba tumtazambe Mbowe kama kiongozi wa Kisiasa na mafanikio yake katika ardhi ya Tanzania na kwanini bado Siasa inamhitaji kwa udi na uvumba. Tukianzia hapa kwenye utawala huu, mtakubaliana nami kuwa Rais wa nchi aliapa kwa maneno yake kufuts upinzani nchini, Wengi walichukulia kama maneno raihisi tu ya majukwaani, lakini ile ilikuwa kauli ya kirais (decrees), na utekelezwaji wake ulianzia mbali na umefika pabaya sana,

Chama cha siasa kinakuwa hatari pale tu kinapokuwa kimekua kikubwa na kinauwezo wa kushika madaraka ya nchi, nje ya hapo hakiwi na hatari yoyote yaani kinakuwa kijiwe cha kisiasa na tumbo tu. Sasa ili uweze kuviua vyama vya siasa vyenye nguvu ambavyo vinatishia kushika madaraka, inatakiwa mambo makuu mawili tu, ambayo ni, kwanza uue uchumi wa viongozi wa vyama hivyo, hapa ndipo unamuona Lipumba, Mrema, Mbatia, Dovutwa, Zitto na wengine kwamba hawa sio threat kwa dola kwakuwa wanabei tena bei elekezi, yaani hawana utajiri wa pesa na hawana biashara yoyote zaidi ya biashara ya siasa tu.

Jambo la pili ili uviue vyama vya siasa vyenye nguvu ya kushika dola ni lazima kupandikiza mawakala wa ujasusi wa dola ambao watafanikiwa kumgombanisha Mwenyekiti na Katibu, chama chochote ambacho mwenyekiti na katibu wanaongea lugha moja huwa hakivunjiki haraka hata kama utafanikiwa hatua ya kwanza ya kufinya mirija yao ya uchumi binafsi.

Hatua za kujaribu kukiua chadema zilianza mbali na lilikuwa tangazo rasmi la kirais. Kwanza ilianza kwenye kupiga marufuku shughuli za kisiasa kwa vyama vya siasa ambazo ziko kikatiba na kisheria, hili lilikiwa pigo la kwanza kwa siasa na demokrasia nchini, Mbowe ni mmoja wao. Hatua ya pili ilikuwa ni wapinzani kusulubiwa kwa mkono wa mahakama, hili limeshuhudiwa uwingi wa wapinzani nchini katika mahakama za nchi nzima na kila aliyekosoa utawala wa Dikteta Magufuli ameonja mahabusu, Mbowe ni mmoja wao,

Hatua ya ratu ikawa ni kununua wapinzani huku utekaji wa kisiasa ukishamiri, wanasiasa wengi wa upinzani wakashindwa kuhimili, wakajisalimisha mikonini mwa dola na chama dola wakitafuta usalama wao kisiasa, wengi wakazawadiwa vyeo na madaraka, Lakini Mh Mbowe akakataa katakata kupiga magoti kwa watawala na kukiua Chadema sawa na ilivyouawa CUF nk.

Hatua ya nne ikawa kuwaondolea uchumi viongozi wa vyama vya upinzani na wote wenye mrengo tofauti na utawala, hapa Mbowe akiwa ndio mlengwa na ameathirika zaidi kuliko mtu yoyote, kwenye hatua hii ndio watu wetu wengi uzalendo kwa wananchi uliwashinda wakaamua kujisalimisha hata mgombea wetu urais ambae umma ulimpigia kura zaidi ya milioni sita, alishindwa kuhimili kibano hiki akakimbia kujisalimisha ccm. Mbowe akawagomea.

Kwa Mbowe walianza na kuharibu mashamba yake kule hai alikokuwa amewekeza zaidi ya 6 billions akiwa ni mfanyabiashara wa pili barani afrika kwakuuza mboga na matunda katika soko la ulaya, hapa akiwa nyuma ya Uhuru Family wanaoongoza kwa Afrika kuuza bidhaa hizo kwa soko la ulaya. Mradi huu uliharibiwa utoka kwenye bilioni 6 hadi kuwa sifuri kabisa kwa hoja za kijinga kwamba analima kwenye vyanzo vya maji, kumbuka mradi huo ulikuwepo tangu kabla ya Uhuru wa Tanganyika ambapo mzee Aikael Mbowe baba wa Freeman ndie mwasisi na watu wamazingira walikuwepo hawajawahi kutoa sababu hizo, mradi huu uliajiri zaidi ya watanzania 2,600, na mradi huo ulilipa kodi ya zaidi ya 3 billions kwa mwaka, watu wote hawa wakakosa kazi na serikali ikakosa kodi, Mbowe akagoma kuhama chama na kuuza chama.

Mbowe akaharibiwa biashara yake nyingine ambayo ni klabu ya starehe Bilicanas iliyokuwapo mtaa wa mkwepu posta jijini Dar es Salaam, kwa hoja za ajabuajabu klabu yenye mtaji wa karibu 8 billions iliyoajiri Watanzania zaidi ya 200 na inayolipa kodi zaidi 2 billions kwa mwaka, ikavunjwa, yaani sio kuvunjwa tu kwamaana ya kuifunga, bali ikavunjwa kabisa na jengo kanakwamba kuna ujenzi unaanza, lakini mwaka wa tano huu pamebaki mbuga ya kuoshea magari na kuegesha nagari tu. Mbowe huyuhuyu hakutikisika,

Baada ya hapo Mh Mbowe akiwa bado imara, akaamua kwenda kuanzisha mashamba huko Morogoro akawekeza zaidi ya 6 bullions, tena ni kilimo cha umwagiliaji, huwezi amini kufumba na kufumbua mashamba yake yote yakiwa na mazao, yalifyekwa yote na majanga juu, hoja zao nikwamba amelima kwenye vyanzi vya maji, Mbowe huyuhuyu hakutikisika, akagoma kupiga magoti akabaki na Chadema,

Wakaona haitoshi, akaunti zake zote zikafungwa, sio kufungwa tu bali zikachukuliwa pesa zote zaidi ya 8b katika akaunti zote akazipoteza, yaani wakataka abaki mchangani kabisa, Mbowe akasimama wima hakutikisika akagoma kuuza chama, Lengo lote ni kuhakikisha Chadema inaanguka, na ili kuiangusha inabidi umuangushe Mbowe kiuchumi na kimedani. Unaweza kuona dhamira na machaguo ya dola kwamba haijalishi unachangia pato la taifa kwa kiwango gani bali ni kuhakikisha upinzani unakufa Tanzania

Wakaja na mkakati wa kimahakama, wakacheza nae mahabusu weee kesi ya mauaji ya Akwilina aliyeua hajulikani na hawajamfikisha mahakamani, lakini mshitakiwa ni Chadema (Viongozi) kwakinachoitwa maandamano bila kibali huku mlengwa ni Mbowe, Mbowe akafungwa na wenzake na kulipa faini ya Milioni 350, kisha akakata rufaa mahakama Kuu akashinda.

Baada ya kuona kila mbinu inafeli, wakaamua kumuundia jaribio la kumuua kule Dodoma ambako pia waliwahi kujaribu kumuua Mh Tundu Lissu. Kwa Mbowe katika purukushani wakamvunja miguu yote miwili. Hali ikawa mbaya wakati tukielekea kwenye uchaguzi Mkuu, Katika kujihakikishia Usalama, Mbowe akaona atafute ulinzi binafsi wa watu wenye mafunzo imara, na chaguo likawa atafute wanajeshi wastaafu au walioacha kazi serikali, Akawapata makomandoo wanne, Dola baada ya kuona sasa Mbowe ana ulinzi wa Makomandoo wakamfuata Mbowe kwa mdomo wakimtuma Mkuu wa Polisi Kinondoni Ramadhani Kingai kwamba saaa tunakubambikia kesi ya Ugaidi hautachomoka.

Kama masihara kweli Walinzi wa Mbowe wakakamatwa wakiwa kazini na kubambikiwa kesi ya Ugaidi na kisha wakamuunganisha Mbowe kwamba alifadhili ugaidi huo kwa laki sita pale alipo kuwa akiwatumia pesa hiyo ya kununulia nguo (suti) ili wapendeze wakiwa wanamlinda. Kesi inaendelea Mbowe yuko mahabusu karibu mwezi wa nne huu, mashahidi nane washafika kutoa ushahidi ambapo wote hakuna aliyetoa ushahidi unaoendana na mashitaka ya ugaidi,

Huku Majaji watatu wakiikimbia kesi hii na aliyeshika sasa hivi Jaji Joachim Tiganga akionekana kuendesha kesi kwa maoni yake binafsi sio kwakufuata sheria, Hali inayotafsirika kuwa kesi hii ilishasikilizwa na ikulu na kuamuliwa na ikulu siku nyingi tangu rais Samia alipotokeza hadharani kupitia BBC na kumuhukumu moja kwa moja Mbowe kuwa ni gaidi na kwamba wenzake wanatumikia kifungo yeye alikimbia nchi, Jambo ambalo si kweli, hakuna aliyehukumiwa wala Mbowe hajawahi kukimbia nchi hii.

Kwa nadharia ya kawaida Mbowe ameweza kusimama imara dhidi ya Taasisi hii, jaribio lolote la kuiangusha taasisi hii ni ushindi kwa maadui, na hilo Mbowe amekataa kata kata. Mapito aliyopitishwa Mbowe ningekuwa na mamlaka ningempa cheo cha Rafidainian Order First Class, ROFC, Hiki ni cheo cha juu kwa jasusi mwenye taaluma zote na uzoefu wa mission ngumu ndani ya idara ya ujasusi duniani, yaani mpanga mikakati ya ushindi, na mtekeleza mikakati ikiwemo uwezo mkubwa wa wa diplomasia ya kijasusi wa kidola.

Nawiwa na furaha na kuona taifa jipya la Tanzania likizaliwa mikononi mwa Mbowe chini ya Chama imara cha Chadema katikatika ya mapito magumu. Kwanamna alivyoweza kukiongoza chama kuhandle suala la Kamanda Lissu na kuokoa uhai wake, kwa hakika Taifa la Tanzania na Wanachadema wamebarikiwa kuwa na kiongozi imara mwenye hekima, busara na maarifa.

Nampa saluti kubwa sana ya Ukombozi Kamanda Mbowe, Mbowe anaijua siasa, Mbowe anahekima, anashaurika na anaheshimu taaluma na wataalamu. Mhimu zaidi vijana wa Taifa hili tujifunze, siasa sio kama ibada za kanisani au msikitini ambako mila na destuli huaminiwa na kufuatwa.Tunaposhiriki siasa za kisasa tunashiriki kwakutumia akili ya juu sana sio asili ya juu.

Wanachadema uchaguzi ni wetu, turuhusu dola iue chama au tusimame wima kumlinda Mbowe na taasisi yetu iwe salama?

Na Yericko Nyerere

Unaandikaga ndaro tu wala sisomi. Kazi kuzungusha maneno halafu unajidai mwandishi😂😂
 
Back
Top Bottom