Lakink hakuteka na kuua watu na amemaliza vipindi vyake viwili. Mkweli amekanyaga katiba 2020 hata miezi mitatu hakumaliza na sasa yuko kuzimu anatumikia kifungo cha milele.Kikwete ni mswahili anapenda drama na maneno mengi ya ulaghai.
Lakink hakuteka na kuua watu na amemaliza vipindi vyake viwili. Mkweli amekanyaga katiba 2020 hata miezi mitatu hakumaliza na sasa yuko kuzimu anatumikia kifungo cha milele.Kikwete ni mswahili anapenda drama na maneno mengi ya ulaghai.
Mkuu basi andika wewe.Unaandikaga ndaro tu wala sisomi. Kazi kuzungusha maneno halafu unajidai mwandishi😂😂
Sasa hivi yuko anakula adhabu ya milele. Kupenda sifa kumemponza.😅Amefanikiwa kumtia mtu ulemavu wa maisha.
Tunachotaka sisi tunakijua labda wewe ndio hujui.Yericko Nyerere unauhakika na unachoandika?
Kwa wanasiasa ambao waliitwa dhaifu na goigoi kumbe ndio aliweza?
Ninacho jua mimi siasa za Tanzania hazijawahi fanikiwa Kiufupi hatujui tunataka nini kwenye Siasa.
Bahati mbaya sana upinzani uchwara umebaki yeye ndio kadanja na genge lake akina kijozi, mfugari na akina...fidodidoMagufuli amefanikiwa kuua upinzani uchwara, ni haki mnamchukia!
Lumumba fc lini akaipenda chadema?Binafsi hua naamini chadema ni kundi la wahuni, yamkini wakawa na jambo linalofaa lakini mimi simfurahii sana mwanasiasa anaye ponda kila kitu hata mazuri wao hua wanatukana tu, ndiyo maana hua nawaona ni wahuni tu.
Ameshalipa na anaendelea na malipo we husikii vyombo vya habari?Ila magufuli alikuwa dikteta mbaya sana. Mateso aliyompa Bwana Mbowe ni wachache sana wangeweza kuvumilia bila kuachana na siasa.
Just imagine mtu anafikia hatua ya kubomoa jengo la umma ili kumkomoa Mbowe. Kwani baada ya Mbowe kuwa evicted wenye jengo NHC si wangeweza kumpangisha mtu mwingine ambaye angeweza kufanya biashara ile ile au nyingine na kuendelea kuliingizia kodi shirika na kodi serikalin.
Mwenyezi amlipe kwa kadiri alivyotenda ndugu magufuli.
Hahahaa... Mwangosi na Dr Ulimboka walifanywa nini?Lakink hakuteka na kuua watu na amemaliza vipindi vyake viwili. Mkweli amekanyaga katiba 2020 hata miezi mitatu hakumaliza na sasa yuko kuzimu anatumikia kifungo cha milele.
Rafiki acha kuwa delusional. Hakuna adhabu ya milele.Sasa hivi yuko anakula adhabu ya milele. Kupenda sifa kumemponza.
Wa kuzimu kama walitemda maovu wanatumikia adhabu ya kabri. Tenda wema na wewe tusije tukakunanga kama wenzako.Rafiki acha kuwa delusional. Hakuna adhabu ya milele.
Huyo yupo dunia nyingine kabisa kwa sasa akiendelea na mambo mengine.
Wewe pambana upate ugali unye. Ya kuzimu waachie walio huko.
Hii ni kawaida kwa marais wote wa Ki-Zanzibari wakipewa urais huku Taanganyika, sio kwao ulitaka wafanyeje, hakuna jinsi ni remote ya kundi flan lililotamalak huku bara, kwa sasa kwa upande ule wa usalama bado kundi magu linatamalakWasasa anapenda kusimuliwa na kisha kupokea mapendekezo ya wasimuliaji