Jakaya 2011 hiyo: Zile ahadi vipi?

Julius Kaisari

JF-Expert Member
Oct 12, 2010
1,176
675
Aisee chalii, kumbuka yale maahadi uloyatoa wakati unaomba kula, ndugu kufumba na kufumbua 2012 hiyo,..au utimilize sifa yako ya sanaa,pale tbc1 uwambie watanganyika ulikuwa unawazuga,maana hawatakufanya chochote.. Ndiyo..siulipiga mafix mchana kweupe?, ndiyo siunakumbuka wanaccm walikusifu umbumbu ule,eti Handsome rais kijana,ukafikiri utautumia huo kwenye uchumi? Ndiyo,siulifikiri wazungu ukipiga hodi na kuchekacheka watakupa mafweza? Ona sasa budget yenyewe hiyo,imekubumia! Mwaka huu unalo..hadi tukung'oe, peoplesssssssss powerrrrrrr!..
 
Ahadi zenyewe za Dr. Jakaya Mrisho Kikwete hizi hapa: Tukumbushane kwa ajili ya kuwajibishana mwishoni mwa safari:

1. Kujenga reli mpya kutoka Dar es Salaam mpaka mikoa ya Kanda ya ziwa - Nzega, Tabora

2. Mkoa wa Tanga kuwa Jiji la Viwanda- Tanga mjini

3. Tabora kutumia maji ya Ziwa Victoria-Igunga

4. Kulipa madeni ya chama cha Ushirika mkoa wa Shinyanga (SHIRECU)- Shinyanga

5. Kumaliza migogoro ya Ardhi nchini- Dodoma

6. Wakulima kuacha kutumia jembe la mkono-Dodoma mjini

7. Kuwapatia trekta wakulima -Kata ya Mrijo, Dodoma

8. Wananchi kutoondolewa kwenye Ranchi ya Misenyi-Kagera

9. Kujenga Uwanja wa Ndege Misenyi-Kagera

10. Kupanua Uwanja wa Ndege Bukoba-Bukoba Mjini

11. Kujenga uwanja wa ndege mkubwa Kigoma - Kigoma Mjini

12. Mtukula kupatiwa umeme kutoka Uganda- Kagera

13. Mikoa ya Kagera, Kigoma, Lindi, Rukwa na Ruvuma kuunganishwa katika gridi ya taifa ya umeme- Kagera

14. Kuimarisha Takukuru kwa miaka mitatu-Kagera

15. Hukumu kwa waliopatikana na hati ya kuua albino - Mbeya

16. Kununua meli kubwa kuliko MV Bukoba-Kagera

17. Kuanzisha benki ndogondogo kwa ajili ya wajasiriamali

18. Serikali kuvisaidia vyama vya ushirika-Mwanza

19. Kuimarisha usalama Ziwa Victoria na Ziwa Tanganyika kwa kupeleka kikosi maalum chenye
20. vifaa kupambana na wahalifu-Mwanza

21. Wilaya ya Geita kuwa hadhi ya mkoa Januari mwakani- Geita

22. Kulinda muungano kwa nguvu zote-Pemba

23. Kuwajengea nyumba waathirika wa mafuriko Kilosa-Morogoro

24. Kununua meli mpya kubwa Ziwa Nyasa-Mbeya mjini

25. Kujenga bandari Kasanga –Rukwa

26. Kumaliza tatizo la walimu miaka mitano ijayo - Songea

27. Kufufua mgodi wa makaa ya mawe Kiwira -Mbeya

28. Kuzuia hatari ya kisiwa cha Pangani kuzama- Tanga

29. Kununua bajaji 400 kwa ajili ya kubeba wajawazito hasa vijijini - Iringa

30. Kujenga barabara yenye kiwango cha lami kutoka Same mpaka Kisiwani –Kihurio na

31. kuiunganisha na barabara kuu ya Moshi - Dar es salaam - Same mkoani Kilimanjaro

32. Kumaliza tatizo la maji katika wilaya ya Same - Same Mjini

33. Kuboresha barabara za Igunga -Tabora

34. Kusambaza walimu 16,000 katika shule za sekondari zenye upungufu makubwa wa walimu- Kisesa Magu

35. Kununua vyandarua viwili kwa kila kaya - Mbeya Mjini

36. Kuzipandisha hadhi hospitali maalumu saba nchini kuwa za rufaa ili kuipunguzia mzigo

37. Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MHN)-Hydom Manyara

38. Kulinda amani nchini kwa kuzuia chokochoko za kidini, kikabila na kisiasa - Musoma

39. Kulinda haki za walemavu- Makete

40. Kujenga baabara ya Njombe- Makete kwa kiwango cha lami,urefu wa kilomita 109- Iringa mjini

41. Kujenga barabara Musoma – Mto wa Mbu Arusha -Arusha

42. Kutengemeza Barabara za Juu (Ubungo, Magomeni, Tazara, Chang'ombe/Nyerere Rd) - Dar es Salaam

43. Kuanzisha jimbo la Ulyankulu - Shinyanga Mjini

44. Kujenga barabara ya lami Manyoni-Kigoma– Kaliua,Tabora

45. Kukarabati barabara ya Arusha Moshi-Arusha Mjini

46. Kuboresha barabara ya Handeni, Kondoa,mpaka Singida - Dodoma

47. Kuwafidia wanakijiji ng’ombe waliopotea wakati wa ukame mwaka 2009- Longido 45.Vijiji vyote vilivyoko kilomita 15 kutoka kwenye bomba kuu la mradi mkuu wa maji wa Ziwa Victoria-Shinyanga-

48. Kahama kuunganishiwa maji - Shinyanga

49. Tatizo la umeme kufikia kikomo Novemba mwaka huu mkoani Arusha –Arusha mjini

50. Kukopesha wavuvi zana za kilimo-Busekera, Wilaya ya Musoma, .

51. Kuwapatia maji wakazi wa Wilaya ya Longido- Longido

52. Kujenga barabara ya lami kupitia pembezoni mwa Hifadhi ya Taifa ya Seregenti – Ngorongoro

53. Utekelezaji wa mpango wa maendeleo ya kilimo kuwasaidia wafugaji kuweza kupata na
54. kutunza mifugo yao vizuri- Mbulu mkoani Manyara

55. Kusambaza maji nchi nzima-Babati vijijini

56. Kusambaza umeme, utoaji wa huduma za afya, na uboreshaji wa kilimo cha umwagiliaji na utoaji ruzuku kwa wakulima. mwaka 2010-2015-Babati vijijini

57. Kuongeza mara tatu idadi ya wananchi wanaonufaika na ruzuku ya pembejeo za kilimo kwa mfumo wa vocha.-Iringa

58. Kuhakikisha Isimani inapata maji ya uhakika- Iringa

59. Kuiwekea lami barabara inayokwenda katika Hifadhi ya Taifa ya Ruaha, ambayo ndiyo
60. hifadhi kubwa kuliko zote Tanzania-Iringa

61. Kulinda usalama wa wananchi kwa ujumla ili kudumisha amani na sifa ya nchi-Ifunda

62. Kutokomeza malaria 2015 - Bunda, mkoa wa Mara

63. Kujenga Majengo ya Wamachinga (Machinga Complex) Matano (5) - Dar es Salaam

64. kuwapa wanawake nafasi zaidi-Kilolo, Iringa

65. Kuisadia Zanzibar kuendeleza miradi mbalimbali ya kijamii-Kibandamaiti Mjini Zanzibar

66. Kuipandisha hadhi hospitali ya Mnazi Mmoja Zanzibar kuwa ya rufaa-Kabandamaiti mjini Zanzibar

67. Kuisaidia Zanzibar kila panapohitajika msaada-Kibandamaiti

68. Serikali kujenga upya bandari ya Mbambabay-Ruvuma

69. Ununuzi wa Meli mpya yenye uwezo wa kubeba tani 400-Mbambabay Ruvuma

70. Kufufua chama kikuu cha ushirika cha wakulima wa Mbinga(MBICU) –Ruvuma

71. Rais wa Marekani Barack Obama kuimwagia misaada Tanzania – Ruvuma

72. Hakutakuwa na umwagaji wa damu baada ya uchaguzi - Dar es Salaam

73. Mtwara kuwa mji wa Viwanda –Mtwara

74. Ujenzi wa kiwanda cha dawa ya kuua viluilui vya Mbu - Kibaha

75. Hospitali ya Tumbi kuwa ya Mkoa - Kibaha

76. Halmashauri ya Manispaa ya Kibaha kutenga eneo maalumu la Viwanda - Kibaha
 
Ahadi zenyewe za Dr. Jakaya Mrisho Kikwete hizi hapa: Tukumbushane kwa ajili ya kuwajibishana mwishoni mwa safari:

1. Kujenga reli mpya kutoka Dar es Salaam mpaka mikoa ya Kanda ya ziwa - Nzega, Tabora

2. Mkoa wa Tanga kuwa Jiji la Viwanda- Tanga mjini

3. Tabora kutumia maji ya Ziwa Victoria-Igunga

4. Kulipa madeni ya chama cha Ushirika mkoa wa Shinyanga (SHIRECU)- Shinyanga

5. Kumaliza migogoro ya Ardhi nchini- Dodoma

6. Wakulima kuacha kutumia jembe la mkono-Dodoma mjini

7. Kuwapatia trekta wakulima -Kata ya Mrijo, Dodoma

8. Wananchi kutoondolewa kwenye Ranchi ya Misenyi-Kagera

9. Kujenga Uwanja wa Ndege Misenyi-Kagera

10. Kupanua Uwanja wa Ndege Bukoba-Bukoba Mjini

11. Kujenga uwanja wa ndege mkubwa Kigoma - Kigoma Mjini

12. Mtukula kupatiwa umeme kutoka Uganda- Kagera

13. Mikoa ya Kagera, Kigoma, Lindi, Rukwa na Ruvuma kuunganishwa katika gridi ya taifa ya umeme- Kagera

14. Kuimarisha Takukuru kwa miaka mitatu-Kagera

15. Hukumu kwa waliopatikana na hati ya kuua albino - Mbeya

16. Kununua meli kubwa kuliko MV Bukoba-Kagera

17. Kuanzisha benki ndogondogo kwa ajili ya wajasiriamali

18. Serikali kuvisaidia vyama vya ushirika-Mwanza

19. Kuimarisha usalama Ziwa Victoria na Ziwa Tanganyika kwa kupeleka kikosi maalum chenye
20. vifaa kupambana na wahalifu-Mwanza

21. Wilaya ya Geita kuwa hadhi ya mkoa Januari mwakani- Geita

22. Kulinda muungano kwa nguvu zote-Pemba

23. Kuwajengea nyumba waathirika wa mafuriko Kilosa-Morogoro

24. Kununua meli mpya kubwa Ziwa Nyasa-Mbeya mjini

25. Kujenga bandari Kasanga –Rukwa

26. Kumaliza tatizo la walimu miaka mitano ijayo - Songea

27. Kufufua mgodi wa makaa ya mawe Kiwira -Mbeya

28. Kuzuia hatari ya kisiwa cha Pangani kuzama- Tanga

29. Kununua bajaji 400 kwa ajili ya kubeba wajawazito hasa vijijini - Iringa

30. Kujenga barabara yenye kiwango cha lami kutoka Same mpaka Kisiwani –Kihurio na

31. kuiunganisha na barabara kuu ya Moshi - Dar es salaam - Same mkoani Kilimanjaro

32. Kumaliza tatizo la maji katika wilaya ya Same - Same Mjini

33. Kuboresha barabara za Igunga -Tabora

34. Kusambaza walimu 16,000 katika shule za sekondari zenye upungufu makubwa wa walimu- Kisesa Magu

35. Kununua vyandarua viwili kwa kila kaya - Mbeya Mjini

36. Kuzipandisha hadhi hospitali maalumu saba nchini kuwa za rufaa ili kuipunguzia mzigo

37. Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MHN)-Hydom Manyara

38. Kulinda amani nchini kwa kuzuia chokochoko za kidini, kikabila na kisiasa - Musoma

39. Kulinda haki za walemavu- Makete

40. Kujenga baabara ya Njombe- Makete kwa kiwango cha lami,urefu wa kilomita 109- Iringa mjini

41. Kujenga barabara Musoma – Mto wa Mbu Arusha -Arusha

42. Kutengemeza Barabara za Juu (Ubungo, Magomeni, Tazara, Chang'ombe/Nyerere Rd) - Dar es Salaam

43. Kuanzisha jimbo la Ulyankulu - Shinyanga Mjini

44. Kujenga barabara ya lami Manyoni-Kigoma– Kaliua,Tabora

45. Kukarabati barabara ya Arusha Moshi-Arusha Mjini

46. Kuboresha barabara ya Handeni, Kondoa,mpaka Singida - Dodoma

47. Kuwafidia wanakijiji ng'ombe waliopotea wakati wa ukame mwaka 2009- Longido 45.Vijiji vyote vilivyoko kilomita 15 kutoka kwenye bomba kuu la mradi mkuu wa maji wa Ziwa Victoria-Shinyanga-

48. Kahama kuunganishiwa maji - Shinyanga

49. Tatizo la umeme kufikia kikomo Novemba mwaka huu mkoani Arusha –Arusha mjini

50. Kukopesha wavuvi zana za kilimo-Busekera, Wilaya ya Musoma, .

51. Kuwapatia maji wakazi wa Wilaya ya Longido- Longido

52. Kujenga barabara ya lami kupitia pembezoni mwa Hifadhi ya Taifa ya Seregenti – Ngorongoro

53. Utekelezaji wa mpango wa maendeleo ya kilimo kuwasaidia wafugaji kuweza kupata na
54. kutunza mifugo yao vizuri- Mbulu mkoani Manyara

55. Kusambaza maji nchi nzima-Babati vijijini

56. Kusambaza umeme, utoaji wa huduma za afya, na uboreshaji wa kilimo cha umwagiliaji na utoaji ruzuku kwa wakulima. mwaka 2010-2015-Babati vijijini

57. Kuongeza mara tatu idadi ya wananchi wanaonufaika na ruzuku ya pembejeo za kilimo kwa mfumo wa vocha.-Iringa

58. Kuhakikisha Isimani inapata maji ya uhakika- Iringa

59. Kuiwekea lami barabara inayokwenda katika Hifadhi ya Taifa ya Ruaha, ambayo ndiyo
60. hifadhi kubwa kuliko zote Tanzania-Iringa

61. Kulinda usalama wa wananchi kwa ujumla ili kudumisha amani na sifa ya nchi-Ifunda

62. Kutokomeza malaria 2015 - Bunda, mkoa wa Mara

63. Kujenga Majengo ya Wamachinga (Machinga Complex) Matano (5) - Dar es Salaam

64. kuwapa wanawake nafasi zaidi-Kilolo, Iringa

65. Kuisadia Zanzibar kuendeleza miradi mbalimbali ya kijamii-Kibandamaiti Mjini Zanzibar

66. Kuipandisha hadhi hospitali ya Mnazi Mmoja Zanzibar kuwa ya rufaa-Kabandamaiti mjini Zanzibar

67. Kuisaidia Zanzibar kila panapohitajika msaada-Kibandamaiti

68. Serikali kujenga upya bandari ya Mbambabay-Ruvuma

69. Ununuzi wa Meli mpya yenye uwezo wa kubeba tani 400-Mbambabay Ruvuma

70. Kufufua chama kikuu cha ushirika cha wakulima wa Mbinga(MBICU) –Ruvuma

71. Rais wa Marekani Barack Obama kuimwagia misaada Tanzania – Ruvuma

72. Hakutakuwa na umwagaji wa damu baada ya uchaguzi - Dar es Salaam

73. Mtwara kuwa mji wa Viwanda –Mtwara

74. Ujenzi wa kiwanda cha dawa ya kuua viluilui vya Mbu - Kibaha

75. Hospitali ya Tumbi kuwa ya Mkoa - Kibaha

76. Halmashauri ya Manispaa ya Kibaha kutenga eneo maalumu la Viwanda - Kibaha

hatatekeleza ahadi 10 tu kati ya hizo zote 76
 
kuna owongo unaozungumza,ila huu unapayuka, sijui kwa nini watu hawakuelewa.
 
Mi nikiangalia mlolongo huo na hali ilivyo,naishia kucheka..Jakaya hana hata mshipa wa aibu..au ndo usanii wenyewe..ninawasiwasi kama kitafanyika kitu. Ujue kwa nadharia za uchumi, kwakuwa budget ya 2010/11 inaoneka kufail utekelezaji,ni wazi vipaumbele vyake vitasogezwa budget ya 2011/12,na ukumbuke kati ya hizo projects,au zote zahitaji trilions,je kiuhalisia,zipo??kujenga International Airport Bagamoyo! Teh teh teh.. Amakweli wonders never cease!
 
Msanii ni msanii tu, after all kwani atarudi tena kuja kuwapigia magoti kuwaomba kura, ishakula kwa wabongo kwa kuamini mafix yele!!!:heh:
 
inabidi tuwe tunatick kila ahadi inayotimizwa ili next election tuwe na sababbu zingine za kuishangaza ccm
 
Back
Top Bottom