Julius Kaisari
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 1,176
- 675
Aisee chalii, kumbuka yale maahadi uloyatoa wakati unaomba kula, ndugu kufumba na kufumbua 2012 hiyo,..au utimilize sifa yako ya sanaa,pale tbc1 uwambie watanganyika ulikuwa unawazuga,maana hawatakufanya chochote.. Ndiyo..siulipiga mafix mchana kweupe?, ndiyo siunakumbuka wanaccm walikusifu umbumbu ule,eti Handsome rais kijana,ukafikiri utautumia huo kwenye uchumi? Ndiyo,siulifikiri wazungu ukipiga hodi na kuchekacheka watakupa mafweza? Ona sasa budget yenyewe hiyo,imekubumia! Mwaka huu unalo..hadi tukung'oe, peoplesssssssss powerrrrrrr!..