Nikupateje
JF-Expert Member
- Dec 22, 2009
- 1,334
- 988
Tundu Lissu alikuwa sahihi alipoomba kutoa hoja ya kujadili kuhusu meli iliyozama. Kanuni iko wazi:
*************
47.-(1) Baada ya Muda wa Maswali kwisha, Mbunge yeyote anaweza kutoa hoja kuwa Shughuli za Bunge kama zilivyooneshwa kwenye Orodha ya Shughuli ziahirishwe ili Bunge lijadili jambo halisi la dharura na muhimu kwa umma.
(2) Hoja ya namna hiyo itakuwa ni maalumu na inaweza kutolewa wakati wowote hata kama majadiliano yatakuwa yanaendelea.
(3) Hoja itatolewa na Mbunge kwa kusimama mahali pake na kuomba idhini ya Spika kutoa hoja ya kuahirisha Shughuli za Bunge kwa madhumuni ya kujadili jambo halisi la dharura na muhimu kwa umma.
*************
Ukisoma hapo kwenye RED ni kwamba Tundu Lissu aliwazidi kete wabunge wote kwani inaelekea hawakuwahi kukitumia kipengele hiki cha kusimama na kuomba hoja kama alivyofanya Tundu Lissu.
Hakika hapa Jaji Werema na Job Ndugai ndio aliyefikiri kwa kutumia nywele. Semeni wenyewe.
*************
47.-(1) Baada ya Muda wa Maswali kwisha, Mbunge yeyote anaweza kutoa hoja kuwa Shughuli za Bunge kama zilivyooneshwa kwenye Orodha ya Shughuli ziahirishwe ili Bunge lijadili jambo halisi la dharura na muhimu kwa umma.
(2) Hoja ya namna hiyo itakuwa ni maalumu na inaweza kutolewa wakati wowote hata kama majadiliano yatakuwa yanaendelea.
(3) Hoja itatolewa na Mbunge kwa kusimama mahali pake na kuomba idhini ya Spika kutoa hoja ya kuahirisha Shughuli za Bunge kwa madhumuni ya kujadili jambo halisi la dharura na muhimu kwa umma.
*************
Ukisoma hapo kwenye RED ni kwamba Tundu Lissu aliwazidi kete wabunge wote kwani inaelekea hawakuwahi kukitumia kipengele hiki cha kusimama na kuomba hoja kama alivyofanya Tundu Lissu.
Hakika hapa Jaji Werema na Job Ndugai ndio aliyefikiri kwa kutumia nywele. Semeni wenyewe.