Elections 2010 Jaji Werema jiuzulu, umevunja katiba

Mwanamayu

JF-Expert Member
May 7, 2010
11,342
6,468
“I think the law is clear about complaints related to election issues, everything should be challenged in court. I think and believe that it is nonsensical not to recognise the elected Head of State,” said Judge Werema in a telephone interview with The Citizen We don

Kwanza Jaji Werema hazijui vizuri sheria za nchi halafu eti ndio mwanasheria mkuu wa serikali. sentenso hii 'I think' ina maanisha mtu hana uhakika; hivyo Werema hana uhakika na anachokisema: kama mwanasheria alitakiwa kusema 'it is stated that .... in the contstitution, election law 2010' na kutoa ufafanuzi kuhusu kukinzana kwake na kama kuna ukinzano ipi inashika hatamu (which one prevails?)

Kwa kuwataka Chadema waende mahakamani ni kutoa ushauri wa kuvunja katiba yaani Werema hakifahamu kifungu cha katiba 41(7). Na majuzi ameapa kuilinda, kuifuata na kuitete katiba, sasa inakuwaje leo hailindi, haitetei na haifuati?

Pia kuwatukana viongozi wa Chadema On the Chadema’s stand over President Kikwete’s win, Judge Werema said Chadema’s decision was ‘nonsense’. (Ni mawazo na msimamo wa kijinga na kipumbavu kutomkubali Rais) Daily Nation: - Africa |Party rejects Kikwete poll win

Werema badala ya kujibu hoja anatoa matusi; alitakiwa kuongelea kupingwa kwa matokeo na sio kutomtambua Rais, bosi wake, aliyemteua na kumwapisha mara baada ya yeye, JK, kuapishwa . Hii inaonesha namna gani anaendeshwa au ni lapdog au ndio mwendelezo wa watendaji wabovu wa JK. Na matusi ya aina hii yatajaa magunia na mapipa ifikapo 2015!

Cha kushangaza baada ya Werema kustaafu na kwa muda utamsikia katiba mbovu kama walivyosema akina Warioba!!!!!!
 
First of all, Attorney General Werema whom I studied with at university was not smart at all. I could not fathom how he got there, but any where there is lucky which goes to unqualified ones. He as Attorney general couldn't go in public and clashes press by saying that press complicated the polls by giving high anticipation of winning to Dr. slaa. It is preposterous, he as Attorney General should be neutral and let people air their views. I cannot disagree more with him, but in reality what I recall is that he graduated with pass grade , which is the lowest grade at UDSM
 
if anything,his recent remarks have done more harm to his reputation as AG than kujikomba he wanted to do kwa aliyemchagua. amedhalilisha taaluma yake na amejidhalilisha yeye mwenyewe na familia yake. Wakati mwingine inakuwa vizuri kunyamaza. naamini alitoa comments zake kama mwanachama wa CCM na si kama mwanasheria mkuu! Ndiyo matatizo ya unazi kwa watendaji wetu wa serikali.
 
Muendelezo wa madudu ya viongozi wa juu wa serikali ya bwana JK.
Wanajiandalia kufungasha mizigo yao 2015
 
Mi ningetoa comment zangu hapa lakini naogopa zitakuja kutafsirifa kama matusi..lakini kwa kweli huyu mzee ameniacha mdomo wazi kabisa kwa comment zake
 
First of all, Attorney General Werema whom I studied with at university was not smart at all. I could not fathom how he got there, but any where there is lucky which goes to unqualified ones. He as Attorney general couldn't go in public and clashes press by saying that press complicated the polls by giving high anticipation of winning to Dr. slaa. It is preposterous, he as Attorney General should be neutral and let people air their views. I cannot disagree more with him, but in reality what I recall is that he graduated with pass grade , which is the lowest grade at UDSM

Pass???!!! I wish we can follow the intelligence of all Kikwete appointees...
 
kujiuzulu si utamaduni wa watanzania labda washinikizwe kwa zomeazomea kama kashfa ya richmond.
 
:A S angry::A S angry::smile-big::smile-big:Mimi sioni tofauti ya Welema na akina Makamba, Chiligati na wengine kama hao ambao wakisikia jambo wanaropoka tu mara huyo mhuni, mzushi nk. Jk anabahati mbaya sana kwani angekuwa makini asingefanyiwa upuuzi huu. Miaka 5 iliyobaki inaonekana akina 'welema' watakuwa wengi zaidi kwani CCM wameshadataaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa:doh::doh::doh::doh::doh::doh:
 
if anything,his recent remarks have done more harm to his reputation as AG than kujikomba he wanted to do kwa aliyemchagua. amedhalilisha taaluma yake na amejidhalilisha yeye mwenyewe na familia yake. Wakati mwingine inakuwa vizuri kunyamaza. naamini alitoa comments zake kama mwanachama wa CCM na si kama mwanasheria mkuu! Ndiyo matatizo ya unazi kwa watendaji wetu wa serikali.

The truth is..birds with same feathers fly together..we ulitarajia Kikwete atafanya appointment ya mtu smart wakati yeye mwenyewe hayuko smart?? that is absolutely impossible na ndio maana hata appointment zake za watu smart huwaweka maeneo ambayo hawawezi kuonesha uwezo wao wa kusimamia mambo ili wasim-outsmart na kujijengea jina zaidi yake...
 
"I think the law is clear about complaints related to election issues, everything should be challenged in court. I think and believe that it is nonsensical not to recognise the elected Head of State," said Judge Werema in a telephone interview with The Citizen We don

Kwanza Jaji Werema hazijui vizuri sheria za nchi halafu eti ndio mwanasheria mkuu wa serikali. sentenso hii 'I think' ina maanisha mtu hana uhakika; hivyo Werema hana uhakika na anachokisema: kama mwanasheria alitakiwa kusema 'it is stated that .... in the contstitution, election law 2010' na kutoa ufafanuzi kuhusu kukinzana kwake na kama kuna ukinzano ipi inashika hatamu (which one prevails?)

Kwa kuwataka Chadema waende mahakamani ni kutoa ushauri wa kuvunja katiba yaani Werema hakifahamu kifungu cha katiba 41(7). Na majuzi ameapa kuilinda, kuifuata na kuitete katiba, sasa inakuwaje leo hailindi, haitetei na haifuati?

Pia kuwatukana viongozi wa Chadema On the Chadema's stand over President Kikwete's win, Judge Werema said Chadema's decision was ‘nonsense'. (Ni mawazo na msimamo wa kijinga na kipumbavu kutomkubali Rais) Daily Nation: - Africa |Party rejects Kikwete poll win

Werema badala ya kujibu hoja anatoa matusi; alitakiwa kuongelea kupingwa kwa matokeo na sio kutomtambua Rais, bosi wake, aliyemteua na kumwapisha mara baada ya yeye, JK, kuapishwa . Hii inaonesha namna gani anaendeshwa au ni lapdog au ndio mwendelezo wa watendaji wabovu wa JK. Na matusi ya aina hii yatajaa magunia na mapipa ifikapo 2015!

Cha kushangaza baada ya Werema kustaafu na kwa muda utamsikia katiba mbovu kama walivyosema akina Warioba!!!!!!

Nimeipenda hiyo LapDog!:first:
Kuna LapHyena! Lowassa
LapPig! Chenge
na LapVuvuzela huyu ni Mzee makmba.
 
First of all, Attorney General Werema whom I studied with at university was not smart at all. I could not fathom how he got there, but any where there is lucky which goes to unqualified ones. He as Attorney general couldn't go in public and clashes press by saying that press complicated the polls by giving high anticipation of winning to Dr. slaa. It is preposterous, he as Attorney General should be neutral and let people air their views. I cannot disagree more with him, but in reality what I recall is that he graduated with pass grade , which is the lowest grade at UDSM

Yaani ni Kilaza darasani .Ni Pweza la miguu Nane.
 
JAJI mstaafu Werema.
hii ni picha halisi ya majaji wetu hasa kwenye majukumu yao. najiuliza kama WEREMa ambaye ni mstaafu (ichukuliwe ana uzoefu mkubwa ktk tasnia ya sheria) anawakilisha ujumbe gani kwetu kuhusu maamuzi yake na majaji wengine hasa kwenye ishu zinazohusu uhai wa watu na taifa???

Sijawahi kusoma precedent yake bado. naitafuta kama kuna mwenye access nayo atumwagie hapa tumsome huyu kilaza wa heshima
 
if anything,his recent remarks have done more to his reputation as AG than kujikomba he wanted to do kwa aliyemchagua. amedhalilisha taaluma yake na amejidhalilisha yeye mwenyewe na familia yake. Wakati mwingine inakuwa vizuri kunyamaza. naamini alitoa comments zake kama mwanachama wa CCM na si kama mwanasheria mkuu! Ndiyo matatizo ya unazi kwa watendaji wetu wa serikali.
 
First of all, Attorney General Werema whom I studied with at university was not smart at all. I could not fathom how he got there, but any where there is lucky which goes to unqualified ones. He as Attorney general couldn't go in public and clashes press by saying that press complicated the polls by giving high anticipation of winning to Dr. slaa. It is preposterous, he as Attorney General should be neutral and let people air their views. I cannot disagree more with him, but in reality what I recall is that he graduated with pass grade , which is the lowest grade at UDSM

Hapa unachanganya mambo. Kama kweli ni mtu uliyesoma na jaji Wererema basi utakuwa umefanya kazi muda wa kutosha. Hivyo utakubaliana na mimi kuwa wapo watu ambao ufanisi wao wanapokuwa kazini hutofautiana sana na jinsi alivyokuwa shuleni.

Sina nia ya kuchambua uwezo wa AG wetu ila nnachotaka kusema tujiepushe na mawazo kuwa vipanga wote huja kuwa watendaji wazuri au kinyume chake.

Ni hayo tu mkuu
 
I think and believe that it is nonsensical not to recognise the elected Head of State,” said Judge Werema in a telephone interview with The Citizen
I dont want to imagine that the Hon Attorney General could not find a better and beffiting word than the word nonsensical. I dont want to believe that a judge of the High Court can utter such nasty words while talking to the press for digestion of the ordinary wauza maandazi. Lawyers are very much known for their humble, modest, inviting, welcoming and friendly english.
 
Back
Top Bottom