mchukiaufisadi
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 546
- 193
AG akiwa anatoa majumuisho ya miswada, mawaziri walikuwa wanaongea kwa sauti kubwa na kusababisha kelele. Akaacha kuongea na kusema "kelele za wabunge zinanikwaza" akaongeza kwa kusema "hasa upande wa serikali" huku akiwageukia na akionyesha kuchukizwa. Mwenyekiti akaonya na AG anaendelea