Mzee Mukaruka
JF-Expert Member
- Jun 18, 2012
- 712
- 390
Tena RC Makonda kafanya nini jamani!? Kama kuna jinai kafanya semeni. Kusema ni bora kuliko kukaa nayo moyoni na kunun'gunika, utaishia kupata magonjwa yasiyo kuwa na tiba!Kama Makonda yeye hiyo taasisi ya PCCCB ni toothless bulldog.
Haimuhusu wala haiko kwenye hadhi yake kabisa. Maana anayofanya waziwazi ingekuwa mwingine tumeshamsahau kabisa.
Ila kwa vile yeye ni mtoto mpendwa labda asubiri mfalme atakapo achia ufalme kwa hiari au kwa nguvu ndio atakapo shukiwa kama mwewe.
JINAI HAINA EXPIRED DATE