my PM umeongea ukweli ILA UMEKUWA MNAFIKI MNO,wewe kama hili umeliona umechukua hatua gani au kama mwenye njaa yeyote ni kukimbilia kwenye press na kujifanya shujaa,ngoja tujikumbushe umeacha legancy gani nyuma yako baada ya kuitumikia nchi hii kama PM?NA UTEUZI WAKO WA UJAJI ulikuwa within kisheria ?je mapendekezo yake ya katiba mpya yaliishia wapi?