Jaji Warioba: Viongozi wa Serikali msiingilie majukumu na kazi za vyombo vya Dola

Chachu Ombara

JF-Expert Member
Dec 11, 2012
6,051
10,853
Akizungumza na waandishi wa habari leo Ijumaa Oktoba, Jaji Joseph Warioba amewataka viongozi wa serikali wa nafasi mbalimbali kuacha kuingilia majukumu na kazi za vyombo vya ulinzi na usalama badala yake waviache vyombo hivyo vitumize wajibu wake kwa mujibu wa Katiba, sheria na miongozo stahiki

Sambamba na hilo Jaji Warioba pia ametoa rai kwa Wakuu wa Mikoa na wilaya ambao kimsingi ni Wenyeviti wa Kamati za Ulinzi na Usalama kwenye mikoa na wilaya zao kuacha kuandamana na maafisa/askari wa vyombo vya ulinzi na usalama pindi wanapofanya ziara za kukutana na wananchi.

Credit: Jambo
 
Akizungumza na waandishi wa habari leo Ijumaa Oktoba, Jaji Joseph Warioba amewataka viongozi wa serikali wa nafasi mbalimbali kuacha kuingilia majukumu na kazi za vyombo vya ulinzi na usalama badala yake waviache vyombo hivyo vitumize wajibu wake kwa mujibu wa Katiba, sheria na miongozo stahiki

Sambamba na hilo Jaji Warioba pia ametoa rai kwa Wakuu wa Mikoa na wilaya ambao kimsingi ni Wenyeviti wa Kamati za Ulinzi na Usalama kwenye mikoa na wilaya zao kuacha kuandamana na maafisa/askari wa vyombo vya ulinzi na usalama pindi wanapofanya ziara za kukutana na wananchi.

Credit: Jambo
Mzee warioba bana dah! Yeye mpaka kesho analindwa..

Yaan mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama wa wilaya au mkoa asiambatane na askari ?🤣

Chairman wa Chadema tu ana walinzi Kibao na yupo kwenye mikutano wa hadhara tu...

sasa atakua mwenyekiti gani huyo wa ulinzi na usalama wa wilaya au mkoa kama haambatani na askari wa ulinzi?🐒
 
Akizungumza na waandishi wa habari leo Ijumaa Oktoba, Jaji Joseph Warioba amewataka viongozi wa serikali wa nafasi mbalimbali kuacha kuingilia majukumu na kazi za vyombo vya ulinzi na usalama badala yake waviache vyombo hivyo vitumize wajibu wake kwa mujibu wa Katiba, sheria na miongozo stahiki

Sambamba na hilo Jaji Warioba pia ametoa rai kwa Wakuu wa Mikoa na wilaya ambao kimsingi ni Wenyeviti wa Kamati za Ulinzi na Usalama kwenye mikoa na wilaya zao kuacha kuandamana na maafisa/askari wa vyombo vya ulinzi na usalama pindi wanapofanya ziara za kukutana na wananchi.

Credit: Jambo
Warioba ni mwingoni mwa wazee, wenye uchungu sana na inchi hii ,Mungu ampe maisha marefu.
 
Akizungumza na waandishi wa habari leo Ijumaa Oktoba, Jaji Joseph Warioba amewataka viongozi wa serikali wa nafasi mbalimbali kuacha kuingilia majukumu na kazi za vyombo vya ulinzi na usalama badala yake waviache vyombo hivyo vitumize wajibu wake kwa mujibu wa Katiba, sheria na miongozo stahiki

Sambamba na hilo Jaji Warioba pia ametoa rai kwa Wakuu wa Mikoa na wilaya ambao kimsingi ni Wenyeviti wa Kamati za Ulinzi na Usalama kwenye mikoa na wilaya zao kuacha kuandamana na maafisa/askari wa vyombo vya ulinzi na usalama pindi wanapofanya ziara za kukutana na wananchi.

Credit: Jambo
Aache unafiki.
 
Akizungumza na waandishi wa habari leo Ijumaa Oktoba, Jaji Joseph Warioba amewataka viongozi wa serikali wa nafasi mbalimbali kuacha kuingilia majukumu na kazi za vyombo vya ulinzi na usalama badala yake waviache vyombo hivyo vitumize wajibu wake kwa mujibu wa Katiba, sheria na miongozo stahiki

Sambamba na hilo Jaji Warioba pia ametoa rai kwa Wakuu wa Mikoa na wilaya ambao kimsingi ni Wenyeviti wa Kamati za Ulinzi na Usalama kwenye mikoa na wilaya zao kuacha kuandamana na maafisa/askari wa vyombo vya ulinzi na usalama pindi wanapofanya ziara za kukutana na wananchi.

Credit: Jambo
Tunaunga mkono, Maana Geshi la Polisi na Mahakama zimekuwa kama chombo cha sir wanasiasa Mahakama zilikuwa kama tawi la "wahuni"
 
Ahsante warioba Kwa kuwakumbusha watawala.kwa Sasa imekuwa kawaida rais kumwagiza polisi ateke na kuua mpinzani ili akose wa kumkosoa.wanataka waongoze mazezeta ambao hawahoji
 
Duh wewe na huyo Magu! kwani hiyo tabia aliiweka kwenye katiba kiasi kwamba hata ambapo yeye hayupo ila lazima iendelee?
Alipandikiza kinga ya viongozi kutawala wanavyoona bila kuhojiwa. Ni kiongozi gani anapenda kutawala kwa kuhojiwa hasa hawa wanaoingia madarakani kwa chaguzi za kihuni?
 
Alipandikiza kinga ya viongozi kutawala wanavyoona bila kuhojiwa. Ni kiongozi gani anapenda kutawala kwa kuhojiwa hasa hawa wanaoingia madarakani kwa chaguzi za kihuni?
Kuna wakati huwa mnafanya nijiulize hivi hii Tanzania ilikuaje kabla ya Magufuli maana inaonekana alivyoingia yeye madarakani ndio kabadili kila kitu, ina maana kumbe Tanzania ilikuwa tunaweza kuwahoji watawala wetu ila Magu ndio alikuja kubadili hiyo hali?
 
Kuna wakati huwa mnafanya nijiulize hivi hii Tanzania ilikuaje kabla ya Magufuli maana inaonekana alivyoingia yeye madarakani ndio kabadili kila kitu, ina maana kumbe Tanzania ilikuwa tunaweza kuwahoji watawala wetu ila Magu ndio alikuja kubadili hiyo hali?
Ni kwamba hatujui tofauti ya wakati wa ulevi wake wa madaraka na wengineo?
 
Akizungumza na waandishi wa habari leo Ijumaa Oktoba, Jaji Joseph Warioba amewataka viongozi wa serikali wa nafasi mbalimbali kuacha kuingilia majukumu na kazi za vyombo vya ulinzi na usalama badala yake waviache vyombo hivyo vitumize wajibu wake kwa mujibu wa Katiba, sheria na miongozo stahiki

Sambamba na hilo Jaji Warioba pia ametoa rai kwa Wakuu wa Mikoa na wilaya ambao kimsingi ni Wenyeviti wa Kamati za Ulinzi na Usalama kwenye mikoa na wilaya zao kuacha kuandamana na maafisa/askari wa vyombo vya ulinzi na usalama pindi wanapofanya ziara za kukutana na wananchi.

Credit: Jambo
Huyu jaji nini kimempata! Inamaana haoni uovu uliojitokeza unaofanywa na vyombo vya dola ikiwemo uvunjwaji wa makusudi wa katiba na haki ya kuishi!
 
Back
Top Bottom