beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,877
- 6,326
Mkuu wa Chuo Kikuu cha Sokoine (SUA) Jaji Mstaafu Joseph Warioba amesema tangu Uhuru, Tanzania imepiga hatua kubwa mpaka kuingia Uchumi wa Kati lakini bado yapo matatizo hasa katika eneo la umasikini.
Akizungumza katika Mdahalo wa Kumbukizi ya Kitaifa ya Hayati Edward Sokoine uliofanyika Viwanja vya SUA Morogoro, Jaji Warioba amesema Watanzania walio wengi bado ni masikini.
Aidha, amesema Rais Samia Suluhu Hassan na Makamu wa Rais, Dkt. Philip Mpango wamefanya Watanzania waamini Taifa lipo salama
Akizungumza katika Mdahalo wa Kumbukizi ya Kitaifa ya Hayati Edward Sokoine uliofanyika Viwanja vya SUA Morogoro, Jaji Warioba amesema Watanzania walio wengi bado ni masikini.
Aidha, amesema Rais Samia Suluhu Hassan na Makamu wa Rais, Dkt. Philip Mpango wamefanya Watanzania waamini Taifa lipo salama