Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 58,994
- 103,376
Ndo shida ya kufanikiwa maishani kwa kubebwa logic hamna kabisa, Tundu Lisu ni Mwanasheria mkuu wa chadema, mbona chadema inavunja Katiba yake yenyewe kila siku?
Hakuna watu wanategemea kubebwa kama wanaccm, rejea wazee wa mbeleko walivyojiaibisha, Nape, January na Ngeleja.