sio insane. ndo kuunganisha matukio huko. warioba ameongelea kuwa hawakulenga kuiba kitu. so? walitaka kumpa adhabu. kibanda alikuwa mfanyakaz wa bosi wa cdm. wangwe alifariki katka mazngira ya kutatanisha. wangwe alikuwa cdm. kuna habar nying za ajab za zit
Mimi naamini watanzania wamtaani wanawafahamu waovu na waalifu wengi sana nchini kwani ndo tunaishi nao mtaani.
nivema na wakati sasa kusaidiana na POLICE.
Mbowe na Tanzania Daima wanayo siri ya Kutekwa na Kujeruhiwa kwa Kibanda
Salaam Wakuu,
Tasnia ya Habari kwa sasa imejawa na simanzi kutokana na kitendo cha kuvamiwa na kuumizwa na watu ambao hawajabainika walikuwa na lengo gani. Mimi kwa ujumla nimesikitishwa sana kutokana na tukio hilo na nawalaani wote waliohusika. Aidha, natumia fursa hii kumuombea ndugu yetu Kibanda apone kwa haraka ili arejee nyumbani salama kuungana na familia yake na hatimaye kuendelea na majukumu yake.
Baada maelezo hayo, naomba kwa pamoja tutafakari mambo yafuatayo;
- Juzi Jumanne tarehe 05/03/2013 kulikuwa na kikao cha wadau wa demokrasia nchini kilichoandaliwa na Kituo cha Demokrasia nchini (Tanzania Centre for Democracy TCD). Wenyeviti wa vyama vyote vya siasa ni wajumbe na walipata barua za mwaliko kuhudhuria kikao hicho. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo ( CHADEMA), FREEMAN MBOWE, ni miongoni mwa wajumbe walioalikwa. Hata hivyo, Mbowe alitoa udhuru ya kutohudhuria kikao hicho kwa madai kuwa atakuwa jimboni kwake, Hai kuhudhuria kikao cha Baraza la Madiwani la Halmashauri wilaya ya Hai (Full Council). Hizi zote ni facts na mimi nikiwa miongoni mwa wajumbe wa kikao hicho, nilimsikia ANTHONY KOMU, Mkurugenzi wa Utawala wa CHADEMA ambaye ndiye alimwakilisha Mbowe akitoa maelezo hayo.
- Hata hivyo, katika tukio la kuvamiwa na kuumizwa vibaya kwaAbsalom Kibanda, Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri na Mhariri wa New Habari Corporation (2006), Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe ameonekana Hospitali ya Taifa ya Mhimbili akimjulia hali ndugun yetu Kibanda.
- Pia hakuna uthibitisho kuwa Mbowe alienda jimboni kwake kama alivyodai wakati akitoa udhuru wa kutohudhuria kikao cha TCD.
- Kwa vile kwa zaidi ya miezi kadhaa sasa, KIBANDA amekuwa na mgogoro na Tanzania Daima gazeti ambalo linamilikiwa na FREEMAN MBOWE, na kwa vile KIBANDA ana siri nyingi sana za CHADEMA na kwa hali hiyo viongozi wa Chama hicho wanamuona kama ni adui, na kwa kuwa kitendo cha Mbowe kutohudhuria kikao cha TCD kilitumika tu kama ushahidi wa yeye kutokuwepo Dar es Salaam wakati wa tukio hilo na hivyo asiwe mshukiwa nambari moja, kitendo cha yeye kuonekana Hospitali ya Mhimbili akimsalimia KIBANDA, kilinishtua na kuniachia maswali mengi.
sio insane. ndo kuunganisha matukio huko. warioba ameongelea kuwa hawakulenga kuiba kitu. so? walitaka kumpa adhabu. kibanda alikuwa mfanyakaz wa bosi wa cdm. wangwe alifariki katka mazngira ya kutatanisha. wangwe alikuwa cdm. kuna habar nying za ajab za zit
Akili zako zinakaribia kuingia kwenye hatua ya comma. Mkapa alihusishwa na mauaji ya watu 27 kule Pemba (2005).Kikwete, Shein, Karume wamehusishwa na uchomaji wa makanisa na mauaji ya Padri Mushi na mchungaji huko Geita. Kwa nini tusianzie hao? Pinda na Kikwete wamehusishwa na jaribio la kumwua Ulimboka kwa nini tusianze nao hao? Ushahidi uko wazi kabisa. Kamhanda kahusika mojakwa moja na mauaji ya Mwangosi, ushahidi uko wazi. Kwa nini tusianze naye huyo?Mkuu mimi nashangaa sana POLISI sijui wanawaogopa hawa CDM, mazingira yanaonesha wazi kabisa kuhusika na hili tukio bado wana delay na ndiyo maana Serikali inalaumiwa kuwa haichukui hatua.
Nasi tumezidi kuilaumu serikali na hivyo maadui zetu kutumia mianya hiyo kutudhuru huku wakijua lawama zitawaendelea viongozi wa serikali[/QUOTE hawawezi kulikwepa hilo mji wa Dsm ukiwa mdogo saaana, ulikuwa na vituo vya polisi vikubwa vyenye hadhi. mf CENTRAL POLICE, OYESTERBAY POLICE, KILWA ROAD POLICE, MAGOMENI POLICE, CHANG'OMBE POLICE hivi vilihudumia mji mzima kwa ufanisi wakiwa na magari ya kutosha, sasa si mji tena ni jiji wewe mwenyewe shahidi ukuaji wa jiji umeendana na ujengwaji wa vituo bora vya kisasa kwa ajili ya polisi mpaka leo bado vituo hivyo hivyo ndo vinahudumia jiji, magari ndo yametoweka kabisa lawama apelekewe nani? ULINZI NI GHARAMA kama ilivyo kuendesha siasa na kuhudumia viongozi wakubwa wa taifa NYERERE alisema KUPANGA NI KUCHAGUA . kazi kwetu tunapanga nini? na tunachagua nini? ufahari wa magari mazuri ya kutembelea kama watawala na kuishia kwenye mageti yetu kisha kushambuliwa, au kuimarisha ulinzi kwa ujenzi wa vituo bora kuendana na upanukaji wa jiji na kuwawezesha vifaa bora na magari ya doria, walau utendaji ufanane na ule wa makampuni ya ulinzi yale makubwa kama ULTIMATE. binafsi naipenda saaaaaaana serikali yangu, lkn ktk kupanga na kuchagua nawakataaaaaaaaaaaaaaaaa.
Wakati Mtulia
Deus Amani na Ben wa saa nane .tunaomba msaada la hili la KIBANDA kwan Deus ulitumika kwa CHACHA WANGWE UKAFANIKIA na Ben ULITUMIKA KWA ZITTO KABWE HUKUFANIKIWA»» CHADEMA KWA UTAALAMU HUU INAHUSIKA KIFO HIKI»» CDM NI ZAID UJUAVYO
Kova alishasema ule si uhalifu kwani hapakuwa na wizi wowote. Lile ni tukio la kisasi tu
haipingiki, huo uliotendeka ni uhalifu, unaoweza kufanywa na mtu mmoja akiwa amekodisha wahalifu watende jambo hilo kwa manufaa yake, kikundi cha watu kwa malengo yao au serikali kwa mtizamo wao au kukosea mlengwa, yote kwa yote KIBANDA amedhurika , yuko kitandani anaweza kuhisi sahihi au anajua kwa uhakika kwanini? amefanyiwa hivyo au asijue kabisaaaa. sisi sote tumebaki kuhisi, kuteteana kama vile ni watabiri au waganga wa kienyeji . neno afande; hili neno kinywa chochote cha mwanadamu kinaweza kulitamka si polisi, tpdf.magereza au makampuni ya ulinzi na wasanii . kama mtu unataarifa hata za kuhisi peleka ktk vyombo husika,UHASAMA wa taifa (TISS) ni dhahiri mpo kazini mkijitahidi kupotosha ukweli ; Ni vyema mtafakari maswali haya ya msingi na siyo kukurupuka kama kawaida yenu;
- Je kuna uhusiano gani kati ya kampuni ya Freemedia inayomilikwa na Mbowe na CHADEMA?
- Je Tanzania Daima ni gazeti la CHADEMA?
- Je mhariri wa Tanzania Daima ndo mtunza siri za CHADEMA?
- Absalom Kibanda mwenyewe keshaweka wazi ameondoka Freemedia kwa kheri, nyie mnadai ameondoka kwa shari, je tumwamini nani?
- Absalom Kibanda amethibitisha yeye mwenyewe kwa kinywa chake ya kuwa alisikia sauti kutoka miongoni mwa watekaji na watesaji wake ikisema "afande m-shoot huyo" kwa hiyo UHASAMA wa taifa mnataka kutuaminisha ya kuwa Mbowe anamiliki jeshi la polisi?
Kwa kifupi hatudanganyiki.
tuelekeze wapi? tupeleke lawama zetu.Nasi tumezidi kuilaumu serikali na hivyo maadui zetu kutumia mianya hiyo kutudhuru huku wakijua lawama zitawaendelea viongozi wa serikali
UHASAMA wa taifa (TISS) ni dhahiri mpo kazini mkijitahidi kupotosha ukweli ; Ni vyema mtafakari maswali haya ya msingi na siyo kukurupuka kama kawaida yenu;
- Je kuna uhusiano gani kati ya kampuni ya Freemedia inayomilikwa na Mbowe na CHADEMA?
- Je Tanzania Daima ni gazeti la CHADEMA?
- Je mhariri wa Tanzania Daima ndo mtunza siri za CHADEMA?
- Absalom Kibanda mwenyewe keshaweka wazi ameondoka Freemedia kwa kheri, nyie mnadai ameondoka kwa shari, je tumwamini nani?
- Absalom Kibanda amethibitisha yeye mwenyewe kwa kinywa chake ya kuwa alisikia sauti kutoka miongoni mwa watekaji na watesaji wake ikisema "afande m-shoot huyo" kwa hiyo UHASAMA wa taifa mnataka kutuaminisha ya kuwa Mbowe anamiliki jeshi la polisi?
Kwa kifupi hatudanganyiki.
naomba definition ya Uhalifu
Je mtekaji sio mhalifu?
Anayemjeruhi mwenzake sio mhalifu?
Jambazi sio mhalifu?
Mwizi sio mhalifu?
Nipatieni definition ya mhalifu ambaye anapelekea kufanya tukio la kihalifu, manake mmeshanichanganya sana na tukio hili kuliita sio uhalifu
UHASAMA wa taifa (TISS) ni dhahiri mpo kazini mkijitahidi kupotosha ukweli ; Ni vyema mtafakari maswali haya ya msingi na siyo kukurupuka kama kawaida yenu;
- Je kuna uhusiano gani kati ya kampuni ya Freemedia inayomilikwa na Mbowe na CHADEMA?
- Je Tanzania Daima ni gazeti la CHADEMA?
- Je mhariri wa Tanzania Daima ndo mtunza siri za CHADEMA?
- Absalom Kibanda mwenyewe keshaweka wazi ameondoka Freemedia kwa kheri, nyie mnadai ameondoka kwa shari, je tumwamini nani?
- Absalom Kibanda amethibitisha yeye mwenyewe kwa kinywa chake ya kuwa alisikia sauti kutoka miongoni mwa watekaji na watesaji wake ikisema "afande m-shoot huyo" kwa hiyo UHASAMA wa taifa mnataka kutuaminisha ya kuwa Mbowe anamiliki jeshi la polisi?
Kwa kifupi hatudanganyiki.
Akili zako zinakaribia kuingia kwenye hatua ya comma. Mkapa alihusishwa na mauaji ya watu 27 kule Pemba (2005).Kikwete, Shein, Karume wamehusishwa na uchomaji wa makanisa na mauaji ya Padri Mushi na mchungaji huko Geita. Kwa nini tusianzie hao? Pinda na Kikwete wamehusishwa na jaribio la kumwua Ulimboka kwa nini tusianze nao hao? Ushahidi uko wazi kabisa. Kamhanda kahusika mojakwa moja na mauaji ya Mwangosi, ushahidi uko wazi. Kwa nini tusianze naye huyo?
Siamini kama Kibanda alikuwa tishio kwa Chadema kwa namna yoyote ile. Kudai kwamba alijua siri nyingi za Chadema pia sio kweli kwani yeye hakuwa mwanachama wala kiongozi wa Chadema. Kibanda mwenyewe pia aliwahi kusema kuwa ameondoka vizuri FreeMedia na hana ugomvi wowote na mwajiri wake wa zamani. Haya mengine yanatoka wapi?