Jaji Warioba: Kuteswa ka Kibanda kulipangwa

[h=5]Wakati Mtulia
[/h][h=5]Deus Amani na Ben wa saa nane .tunaomba msaada la hili la KIBANDA kwan Deus ulitumika kwa CHACHA WANGWE UKAFANIKIA na Ben ULITUMIKA KWA ZITTO KABWE HUKUFANIKIWA»» CHADEMA KWA UTAALAMU HUU INAHUSIKA KIFO HIKI»» CDM NI ZAID UJUAVYO
[/h]
 
Mkuu mimi nashangaa sana POLISI sijui wanawaogopa hawa CDM, mazingira yanaonesha wazi kabisa kuhusika na hili tukio bado wana delay na ndiyo maana Serikali inalaumiwa kuwa haichukui hatua.

inabidi ifike wakati hata waliotenda makosa nao waanze kujisalimisha polisi kabla serikali haijawakamata.....
 
Police ya Tz hovyo kabisa,jana kovu anaulizwa over 24hrs hakuna aliyekwisha kamatwa anaongea blabla nyingi,mda wote huo?
 
mimi nachukia sana unafiki wa hawa watu, warioba, viongozi wa kijamii, viongozi wa kidini mlikuwa wapi Dr. Ulimboka alipokuwa analia kuwa amepigwa na maofisa wa ikulu. watu wote niliowataja hapo walikaa kimya isipokuwa wana harakati wachache ndio walijitokeza kuiomba ikulu itoe maelezo kuhusiana na tukio hilo. kwanini viongozi wote hao wasijitokeze hadharani kusimamia ukweli wakati muhimu wanapokuwa wanaitajika. leo wanaibuka na issue ya kibanda wakati hakuna tofauti yeyote katika issue hizi mbili.

Labda watachukua hatua yatakapowakuta wao ama watu wao wa karibu!. Sijui!
 
vipi raisi awawajibishe ikiwa yeye mwenyewe ahitaji kuwajibishwa kwa maswala mengine uchafu hauwezi kujiondosha.

Watu wengine kmtaja rais wanaona kama wame-win sana, hasa hapa Rais ameingiaje.
 
Police ya Tz hovyo kabisa,jana kovu anaulizwa over 24hrs hakuna aliyekwisha kamatwa anaongea blabla nyingi,mda wote huo?

Kusema kweli Mbele za Mungu, anapotoa tamko kwamba Kibanda kaumizwa na mambo ya visasi, nilijua kabisa kwamba tayari anao watuhumiwa kadhaa wanaomsaidia katika hili!. Hivi hii ni nini jamani Tanzania yetu?

CCM OUT!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
mimi nachukia sana unafiki wa hawa watu, warioba, viongozi wa kijamii, viongozi wa kidini mlikuwa wapi Dr. Ulimboka alipokuwa analia kuwa amepigwa na maofisa wa ikulu. watu wote niliowataja hapo walikaa kimya isipokuwa wana harakati wachache ndio walijitokeza kuiomba ikulu itoe maelezo kuhusiana na tukio hilo. kwanini viongozi wote hao wasijitokeze hadharani kusimamia ukweli wakati muhimu wanapokuwa wanaitajika. leo wanaibuka na issue ya kibanda wakati hakuna tofauti yeyote katika issue hizi mbili.

Hili la KIBANDA liko wazi sana mkuu ,huwezi linganisha na la ULIMBOKA, huyu la kwake sawa na la CHACHA WANGWE. Hivi Mwiguluu amekwenda JKT, ulikuwa muda muafaka sasa wa kuweka ile video ya CDM ili waumbuke.
 
Mbowe na Tanzania Daima wanayo siri ya Kutekwa na Kujeruhiwa kwa Kibanda

Salaam Wakuu,
Tasnia ya Habari kwa sasa imejawa na simanzi kutokana na kitendo cha kuvamiwa na kuumizwa na watu ambao hawajabainika walikuwa na lengo gani. Mimi kwa ujumla nimesikitishwa sana kutokana na tukio hilo na nawalaani wote waliohusika. Aidha, natumia fursa hii kumuombea ndugu yetu Kibanda apone kwa haraka ili arejee nyumbani salama kuungana na familia yake na hatimaye kuendelea na majukumu yake.

Baada maelezo hayo, naomba kwa pamoja tutafakari mambo yafuatayo;


  1. Juzi Jumanne tarehe 05/03/2013 kulikuwa na kikao cha wadau wa demokrasia nchini kilichoandaliwa na Kituo cha Demokrasia nchini (Tanzania Centre for Democracy – TCD). Wenyeviti wa vyama vyote vya siasa ni wajumbe na walipata barua za mwaliko kuhudhuria kikao hicho. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo ( CHADEMA), FREEMAN MBOWE, ni miongoni mwa wajumbe walioalikwa. Hata hivyo, Mbowe alitoa udhuru ya kutohudhuria kikao hicho kwa madai kuwa atakuwa jimboni kwake, Hai kuhudhuria kikao cha Baraza la Madiwani la Halmashauri wilaya ya Hai (Full Council). Hizi zote ni facts na mimi nikiwa miongoni mwa wajumbe wa kikao hicho, nilimsikia ANTHONY KOMU, Mkurugenzi wa Utawala wa CHADEMA ambaye ndiye alimwakilisha Mbowe akitoa maelezo hayo.
  2. Hata hivyo, katika tukio la kuvamiwa na kuumizwa vibaya kwaAbsalom Kibanda, Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri na Mhariri wa New Habari Corporation (2006), Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe ameonekana Hospitali ya Taifa ya Mhimbili akimjulia hali ndugun yetu Kibanda.
  3. Pia hakuna uthibitisho kuwa Mbowe alienda jimboni kwake kama alivyodai wakati akitoa udhuru wa kutohudhuria kikao cha TCD.
  4. Kwa vile kwa zaidi ya miezi kadhaa sasa, KIBANDA amekuwa na mgogoro na Tanzania Daima gazeti ambalo linamilikiwa na FREEMAN MBOWE, na kwa vile KIBANDA ana siri nyingi sana za CHADEMA na kwa hali hiyo viongozi wa Chama hicho wanamuona kama ni adui, na kwa kuwa kitendo cha Mbowe kutohudhuria kikao cha TCD kilitumika tu kama ushahidi wa yeye kutokuwepo Dar es Salaam wakati wa tukio hilo na hivyo asiwe mshukiwa nambari moja, kitendo cha yeye kuonekana Hospitali ya Mhimbili akimsalimia KIBANDA, kilinishtua na kuniachia maswali mengi.

Sasa wewe mbona unaendeleza yaleyale!? Kama unaushahidi wa Mbowe si uupeleke polisi sasa unachokaa kinabana ni nini?
 
[h=5]Wakati Mtulia
[/h][h=5]Deus Amani na Ben wa saa nane .tunaomba msaada la hili la KIBANDA kwan Deus ulitumika kwa CHACHA WANGWE UKAFANIKIA na Ben ULITUMIKA KWA ZITTO KABWE HUKUFANIKIWA»» CHADEMA KWA UTAALAMU HUU INAHUSIKA KIFO HIKI»» CDM NI ZAID UJUAVYO
[/h]

Mie naona Kama jukwaa
Hili limevamiwa na ......... au nyie wenzangu mwaonaje, Topic inaongelea maoni ya warioba juu ya shambulio la raia Na huku watu wanacomment madude yasiyoendana Na Topic , typically this is insane..
 
Then viongozi wa jeshi la Police wajiuzuru kwa kushindwa kazi. Maana haina maana walipwe mishahara wakati kazi hawafanyi. Wao ni kutoa matamko hata kabla ya uchunguzi. Sasa kama Kova anasema ni waharifu mbona anashindwa kuwakamata?? Kuwaleta FBI ni ushahidi tosha kuwa hakuna kinachoendelea hapa. Rais anatakiwa kuwawajibisha hawa kwa vile kila mmoja wetu pamoja na serikali yenyewe wamekubali kushindwa kazi na ndiyo sababu wanatafuta msaada wa FBI!!

Jeshi la polis lina taratibu zake, wameanza na kuchunguza mazingira halisi ya tukio lenyewe na kujiridhisha kuwa halikuwa na uhalifu, then watakuja na washukiwa, tusiwe na haraka kila kitu kitajipa, tuwape muda.
 
Mie naona Kama jukwaa
Hili limevamiwa na ......... au nyie wenzangu mwaonaje, Topic inaongelea maoni ya warioba juu ya shambulio la raia Na huku watu wanacomment madude yasiyoendana Na Topic , typically this is insane..
Matukio kama haya yawanakumbusha watu matukio yaliyopita na hasa pale yanapotokea katika mazingira yanayokuwa na mfanano fulani, hili la KIBANDA na lile la CHACHA WANGWE hayana tofauti, kwa hiyo watu wana haki ya kuzungumzia na pengine yanaweza kuwa ni msaada wa kuharakisha uchunguzi wa POLISI'
 
Mbowe na Tanzania Daima wanayo siri ya Kutekwa na Kujeruhiwa kwa Kibanda

Salaam Wakuu,
Tasnia ya Habari kwa sasa imejawa na simanzi kutokana na kitendo cha kuvamiwa na kuumizwa na watu ambao hawajabainika walikuwa na lengo gani. Mimi kwa ujumla nimesikitishwa sana kutokana na tukio hilo na nawalaani wote waliohusika. Aidha, natumia fursa hii kumuombea ndugu yetu Kibanda apone kwa haraka ili arejee nyumbani salama kuungana na familia yake na hatimaye kuendelea na majukumu yake.

Baada maelezo hayo, naomba kwa pamoja tutafakari mambo yafuatayo;


  1. Juzi Jumanne tarehe 05/03/2013 kulikuwa na kikao cha wadau wa demokrasia nchini kilichoandaliwa na Kituo cha Demokrasia nchini (Tanzania Centre for Democracy – TCD). Wenyeviti wa vyama vyote vya siasa ni wajumbe na walipata barua za mwaliko kuhudhuria kikao hicho. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo ( CHADEMA), FREEMAN MBOWE, ni miongoni mwa wajumbe walioalikwa. Hata hivyo, Mbowe alitoa udhuru ya kutohudhuria kikao hicho kwa madai kuwa atakuwa jimboni kwake, Hai kuhudhuria kikao cha Baraza la Madiwani la Halmashauri wilaya ya Hai (Full Council). Hizi zote ni facts na mimi nikiwa miongoni mwa wajumbe wa kikao hicho, nilimsikia ANTHONY KOMU, Mkurugenzi wa Utawala wa CHADEMA ambaye ndiye alimwakilisha Mbowe akitoa maelezo hayo.
  2. Hata hivyo, katika tukio la kuvamiwa na kuumizwa vibaya kwaAbsalom Kibanda, Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri na Mhariri wa New Habari Corporation (2006), Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe ameonekana Hospitali ya Taifa ya Mhimbili akimjulia hali ndugun yetu Kibanda.
  3. Pia hakuna uthibitisho kuwa Mbowe alienda jimboni kwake kama alivyodai wakati akitoa udhuru wa kutohudhuria kikao cha TCD.
  4. Kwa vile kwa zaidi ya miezi kadhaa sasa, KIBANDA amekuwa na mgogoro na Tanzania Daima gazeti ambalo linamilikiwa na FREEMAN MBOWE, na kwa vile KIBANDA ana siri nyingi sana za CHADEMA na kwa hali hiyo viongozi wa Chama hicho wanamuona kama ni adui, na kwa kuwa kitendo cha Mbowe kutohudhuria kikao cha TCD kilitumika tu kama ushahidi wa yeye kutokuwepo Dar es Salaam wakati wa tukio hilo na hivyo asiwe mshukiwa nambari moja, kitendo cha yeye kuonekana Hospitali ya Mhimbili akimsalimia KIBANDA, kilinishtua na kuniachia maswali mengi.

mkiristoMwislamu ambaye ninafikiri ni yule yule NAKEMEAUDINI sijui kama unazo habari kuhusu dau la Tsh Milioni 5 ambalo limetangazwa na jeshi la polisi kwa ye yote atakayesaidia kuwezesha hawa magaidi kukamatwa! Kutokana na maoni yako ambayo umeyajaza katika kila uzi unaohusu tukio hili, unaonekana unao ushahidi wa 100% kuhusu aliyehusika na ujambazi huu. Kachukue hilo dau.
 
Mie naona Kama jukwaa
Hili limevamiwa na ......... au nyie wenzangu mwaonaje, Topic inaongelea maoni ya warioba juu ya shambulio la raia Na huku watu wanacomment madude yasiyoendana Na Topic , typically this is insane..

sio insane. ndo kuunganisha matukio huko. warioba ameongelea kuwa hawakulenga kuiba kitu. so? walitaka kumpa adhabu. kibanda alikuwa mfanyakaz wa bosi wa cdm. wangwe alifariki katka mazngira ya kutatanisha. wangwe alikuwa cdm. kuna habar nying za ajab za zit
 
Jaji mkuu mstaafu Jaji Sinde Warioba amedai kuwa kipigo na mateso aliyoyapata Mwenyekiti wa jukwaa la wahariri nchini bwana Kibanda ni tukio la kupangwa na si la kiarifu kama ilivyodaiwa na Kamanda Kova mzee wa seriez.

Concern:
Kama ni mipango na mchunguzi mkuu (Kova) keshatoa taarifa za mwanzo kuwa ni uharifu tutarajie nini kama mtuhumiwa ajichunguze mwenyewe.

Haaiingii akilini hivi raia wa kawaida atatembeaje na bunduki (smg) usiku kama si askari?

Duh kweli vichwa vimelala humu JF, mtu anashangaa raia wa kawaida kuwa bunduki, kwani majambazi wanafanyaje?
 
Kazi kwao sasa , na waanzie kule alikokuwa akifanyiakazi kabla hajaondoka.

Haswaa, hapa nadhani sasa tusivisingizie vyombo vya usalama na Serikali, KIBANDA mwenyewe anajua waliomtenda ni wahasimu wake wa mambo ya habari kutoka kule FREEMEDIA.
 
mimi nachukia sana unafiki wa hawa watu, warioba, viongozi wa kijamii, viongozi wa kidini mlikuwa wapi Dr. Ulimboka alipokuwa analia kuwa amepigwa na maofisa wa ikulu. watu wote niliowataja hapo walikaa kimya isipokuwa wana harakati wachache ndio walijitokeza kuiomba ikulu itoe maelezo kuhusiana na tukio hilo. kwanini viongozi wote hao wasijitokeze hadharani kusimamia ukweli wakati muhimu wanapokuwa wanaitajika. leo wanaibuka na issue ya kibanda wakati hakuna tofauti yeyote katika issue hizi mbili.


Na zaidi ya hapo waliosema ukweli kama gazeti la mwanahalisi waliishiwa kufungiwa kwa kizego cha kuchochea uvunjivu wa amani kwanini hawakuwafwata mwahalisi na kuwaomba ushahidi na kisha kuuufanyiakazi kwa kuwakamata wahusika?? hii inamaana wao ndio wahusika
 
Very poor analysis.

Katika hali ya sasa ambapo CCM imeonekana kukataliwa kila kona, na kila mbinu mbalimbali za kufifisha upinzani kugonga mwamba, kuna uwezekano mkubwa sana CCM itafanya machafu mengi ili kupata uhalali wa kuhusisha matukio hayo na vyama vya upinzani. Walifanya hivyo kwa Wangwe, bahati mbaya mbinu hiyo haikuzaa matunda.


Viongozi ambao wanaonekana kutokukubaliwa au na uongozi wa CHADEMA au mfumo wa CHADEMA wajihadhari sana. Maisha yao yanaweza kuwa hatarini. Hawa wanaweza kuuwawa ili tu ipatikane sababu ya kujenga hisia kuwa CHADEMA au viongozi wake wamehusika katika mauaji hayo kwa vile walikuwa hawaelewani nao. Kama inavyoonekana kwa tukio hili la sasa.


Mbowe na Tanzania Daima wanayo siri ya Kutekwa na Kujeruhiwa kwa Kibanda

Salaam Wakuu,
Tasnia ya Habari kwa sasa imejawa na simanzi kutokana na kitendo cha kuvamiwa na kuumizwa na watu ambao hawajabainika walikuwa na lengo gani. Mimi kwa ujumla nimesikitishwa sana kutokana na tukio hilo na nawalaani wote waliohusika. Aidha, natumia fursa hii kumuombea ndugu yetu Kibanda apone kwa haraka ili arejee nyumbani salama kuungana na familia yake na hatimaye kuendelea na majukumu yake.

Baada maelezo hayo, naomba kwa pamoja tutafakari mambo yafuatayo;


  1. Juzi Jumanne tarehe 05/03/2013 kulikuwa na kikao cha wadau wa demokrasia nchini kilichoandaliwa na Kituo cha Demokrasia nchini (Tanzania Centre for Democracy – TCD). Wenyeviti wa vyama vyote vya siasa ni wajumbe na walipata barua za mwaliko kuhudhuria kikao hicho. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo ( CHADEMA), FREEMAN MBOWE, ni miongoni mwa wajumbe walioalikwa. Hata hivyo, Mbowe alitoa udhuru ya kutohudhuria kikao hicho kwa madai kuwa atakuwa jimboni kwake, Hai kuhudhuria kikao cha Baraza la Madiwani la Halmashauri wilaya ya Hai (Full Council). Hizi zote ni facts na mimi nikiwa miongoni mwa wajumbe wa kikao hicho, nilimsikia ANTHONY KOMU, Mkurugenzi wa Utawala wa CHADEMA ambaye ndiye alimwakilisha Mbowe akitoa maelezo hayo.
  2. Hata hivyo, katika tukio la kuvamiwa na kuumizwa vibaya kwaAbsalom Kibanda, Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri na Mhariri wa New Habari Corporation (2006), Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe ameonekana Hospitali ya Taifa ya Mhimbili akimjulia hali ndugun yetu Kibanda.
  3. Pia hakuna uthibitisho kuwa Mbowe alienda jimboni kwake kama alivyodai wakati akitoa udhuru wa kutohudhuria kikao cha TCD.
  4. Kwa vile kwa zaidi ya miezi kadhaa sasa, KIBANDA amekuwa na mgogoro na Tanzania Daima gazeti ambalo linamilikiwa na FREEMAN MBOWE, na kwa vile KIBANDA ana siri nyingi sana za CHADEMA na kwa hali hiyo viongozi wa Chama hicho wanamuona kama ni adui, na kwa kuwa kitendo cha Mbowe kutohudhuria kikao cha TCD kilitumika tu kama ushahidi wa yeye kutokuwepo Dar es Salaam wakati wa tukio hilo na hivyo asiwe mshukiwa nambari moja, kitendo cha yeye kuonekana Hospitali ya Mhimbili akimsalimia KIBANDA, kilinishtua na kuniachia maswali mengi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom