Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
Jaji mkuu mstaafu Jaji Sinde Warioba amedai kuwa kipigo na mateso aliyoyapata Mwenyekiti wa jukwaa la wahariri nchini bwana Kibanda ni tukio la kupangwa na si la kiarifu kama ilivyodaiwa na Kamanda Kova mzee wa seriez.
Concern:
Kama ni mipango na mchunguzi mkuu (Kova) keshatoa taarifa za mwanzo kuwa ni uharifu tutarajie nini kama mtuhumiwa ajichunguze mwenyewe.
Haaiingii akilini hivi raia wa kawaida atatembeaje na bunduki (smg) usiku kama si askari?
Concern:
Kama ni mipango na mchunguzi mkuu (Kova) keshatoa taarifa za mwanzo kuwa ni uharifu tutarajie nini kama mtuhumiwa ajichunguze mwenyewe.
Haaiingii akilini hivi raia wa kawaida atatembeaje na bunduki (smg) usiku kama si askari?