Mmmmmhhhhhh..........kaaaaaazi kweli kweli......itikadi ya vyama iendane na dira ya nchi......how do the Katiba enforce this? Freeman, Kinana, Jussa.... mnampata mzee??
Hizi sasa jaji Waryoba yupo kwenye kipindi cha dakika 45 kinachorushwa Itv.
Amewambia viongozi kuacha kuzungumzia masuala yanayohusu power na kuwaasa kujibu kero zinazowagusa wananchi moja kwa moja.
Kwa maelezo yake anasema maoni ya watu wengi yalijikita kuondoa matatizo yanayowakabili, elimu, umasikini, kuhusu gharama za serikali ya shirikisho la muungano anasema ni bora ziwepo kuliko kuvunjika kwake anasema hayo ndio maoni ya wananchi.
Kuhusu maadili ya viongozi anadai wananchi wengi wanataka hatua zichukuliwe ili kudhibiti maadili ya viongozi wao.
Naanza kuwa na imani na hii tume ya mabadiliko ya katiba. mwanzoni nilidhani kwa kuwa JK wa Bagamoyo ndio ameiteua kwa marupurupu makubwa nikadhani watanzania tumekwisha.
Prof. Baregu hongera pia, uliweka wazi kwamba utaifa mbele kuliko uchama.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.