masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 17,857
- 13,139
Huyu jamaa Jussa ni mbumbumbu wa kweli kweli, lakini Jaji Warioba kambana kiakili sana kwa kumtaka atoe mifano anayoifahamu juu ya muungano huo anaoutetea, naye kajikanyaga vya kutosha.Jussa anawakilisha kundi la mambumbu kapewa nafasi ya kutetea anachokita kashindwa,sehemu pekee inayomfaa Jussa ni uhamsho.