nafikiri ingekuwa busara sana kuweka mjadala maalum wa wazi ikiwezekana kwenye TV na Radio kati ya JUSSA na Warioba mtajua uwezo mkubwa wa Jussa dhidi ya Warioba.
Dr.Napingana nawe kwa hilo.hoja ya hapa si kutaka kujua nani mwenye uwezo wa kujieleza mbele ya Tv,hoja ni kuomba Mh.Ismail Jussa atusaidie maelezo ya muungano wa mkataba utafanya vipi kazi.Hii ni fursa pekee ya kutoa maoni,wewe unataka utupeleke kwenye tv kutafuta umaaarufu?Jussa huwezi kumlinganisha na Warioba hata kidogo