Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,503
- 217,767
Ombi hili Kabambe limetolewa na Mh Jaji baada ya Mawakili wa serikali kuomba Shahidi asiendelee kutoa ushahidi kutokana na maumivu ya kichwa aliyoyalalamikia , sheria inataka Shahidi wakati wa kutoa ushahidi wake awe na afya njema , kimwili na kiakili .
Ombi la Jaji limetokana na ukweli kwamba haifahamiki kama kesi hiyo yaweza kuendelea kesho kutokana na kutokuwa na Uhakika wa Shahidi kupona , Hapo ndipo Roho Mtakatifu alipomshukia Jaji na jicho lake kuangaza mahali alipoketi Askofu Mwamakula , na mara moja akatoa kauli ya KUMUOMBA BABA ASKOFU KUMUOMBEA SHAHIDI HUYO ILI AWEZE KUPONA NA KUHUDHURIA MAHAKAMANI ILI KESI HIYO IENDELEE KAMA ILIVYOPANGWA .
Ombi la Jaji limetokana na ukweli kwamba haifahamiki kama kesi hiyo yaweza kuendelea kesho kutokana na kutokuwa na Uhakika wa Shahidi kupona , Hapo ndipo Roho Mtakatifu alipomshukia Jaji na jicho lake kuangaza mahali alipoketi Askofu Mwamakula , na mara moja akatoa kauli ya KUMUOMBA BABA ASKOFU KUMUOMBEA SHAHIDI HUYO ILI AWEZE KUPONA NA KUHUDHURIA MAHAKAMANI ILI KESI HIYO IENDELEE KAMA ILIVYOPANGWA .