Biz2geza
Senior Member
- Oct 12, 2011
- 117
- 20
leo jaji mstaafu barnabas samatta amefunguka na kudai kuwa katiba ya sasa inamapungufu makubwa na inawapa baadhi ya watu madaraka makubwa ambayo yanawafanya kuwa madikteta. Mambo aliyogusia ni pamoja na
1. Raisi kuwa na madaraka makubwa katika katiba
2. Tume ya uchaguzi kuwa idara ndani ya serikali kitu ambacho kinaifanya kutokuwa huru
3. Spika wa bunge kutoka kwenye chama cha siasa kitu ambacho kinamfanya kuonyesha upendeleo wa dhairi.
Mwisho hakasema mchakato wa kwenda kwenye katiba mpya lazima uwe wa uhuru na amani na kila mwananchi ashirikishwe.
Mytake.
Haya maoni ambayo yanatolewa na watu maarufu kama magamba hawatayasikia basi lakuvunda halina ubani.
Source.itv news
1. Raisi kuwa na madaraka makubwa katika katiba
2. Tume ya uchaguzi kuwa idara ndani ya serikali kitu ambacho kinaifanya kutokuwa huru
3. Spika wa bunge kutoka kwenye chama cha siasa kitu ambacho kinamfanya kuonyesha upendeleo wa dhairi.
Mwisho hakasema mchakato wa kwenda kwenye katiba mpya lazima uwe wa uhuru na amani na kila mwananchi ashirikishwe.
Mytake.
Haya maoni ambayo yanatolewa na watu maarufu kama magamba hawatayasikia basi lakuvunda halina ubani.
Source.itv news