dudus
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 22,124
- 49,381
... anafaa kuwa hakimu au Jaji Mkuu?HUYU ALIYEWARUDISHA URAIANI ANAFAA KUWA HAKIMU
... anafaa kuwa hakimu au Jaji Mkuu?HUYU ALIYEWARUDISHA URAIANI ANAFAA KUWA HAKIMU
... sidhani kama inawezekana maana Mashauri aliamua sio kama Mashauri ila kama Mahakama; so ni kuishtaki Mahakama. Unless kuna ushahidi kwamba Mashauri alikuwa na maslahi binafsi kwenye hiyo kesi.
Mbona ajaharibu kwa Rumanyika au umetumwa na hisia kuhisi kaingilia kwa mashauri sio kwa Rumanyika?Shida ya jiwe ukatili wake uko wazi bila aibu.sasa watu wakisema yy ndo anaharibu mahakama mtamtetea sambamba na kauli yake wakat yupo dar university
KUWA HAKIMU MKUU... anafaa kuwa hakimu au Jaji Mkuu?
Hii hoja ya kipumbavu sana....Tumia akili japo kuishughurikisha,Kutetea ujinga huu either unahitaji kuwa mwendawazimu au offer ya cheo uliyopewa na jiwe hvyo lazima utoe ushuz tuMbona ajaharibu kwa Rumanyika au umetumwa na hisia kuhisi kaingilia kwa mashauri sio kwa Rumanyika?
Sent using Jamii Forums mobile app
Pumbavu .....uovu lazima usemwe uko wazi mno!!Sasa nyie mnachekelea nini mbowe kupewa dhamana na mnamaliza maneno yote kwa kumsifia jaji rumanyika na kumponda jaji mashauri bila kuweka akiba ya maneno
Kumbukeni kesi ya msingi bado haijasikilizwa msije kulia humu
Judge mashauri
Judge rumanyika
Hawa ni familia moja
Sent using Jamii Forums mobile app
Umetoa point makini sana mkuu ila nimeipenda zaidi signature yako!Hakuna kitu kinachoitwa kukaa rumande na kutolewa kwa dhamana. Kumnyima mtu dhamana au kuichelewesha ni makosa.
Kwa makosa yote yanayodhaminika ni wajibu wa mahakama kutoa dhamana kwa washitakiwa mpaka pale watakapo hukumiwa.
"Kutoa dhamana ni tafsiri dhahiri ya mahakama ya dhana ya katiba ya kuwa mtu hana hatia mpaka mahakama itakapomhukumu vinginevyo." Jaji S. Rumanyika
Mimi si mwana sheria ila nafikiri wakifanya hivyo wtakuwa wanaishitaki serikali na itapendeza sana. Hata hivyo maadamu wako huru labda hakuna haja ya kupoteza uda na kesi nyingine; ni muda wa kufanya kazi kutekeleza maazimio ya Zanzibar!
ugonjwakwani wangapi huwa wanakaa rumande na kutolewa kwa dhamana...mbona kama hauna hoja?
Mbowe alinyimwa dhamana au alifutiwa dhamana?Hakuna kitu kinachoitwa kukaa rumande na kutolewa kwa dhamana. Kumnyima mtu dhamana au kuichelewesha ni makosa.
Kwa makosa yote yanayodhaminika ni wajibu wa mahakama kutoa dhamana kwa washitakiwa mpaka pale watakapo hukumiwa.
"Kutoa dhamana ni tafsiri dhahiri ya mahakama ya dhana ya katiba ya kuwa mtu hana hatia mpaka mahakama itakapomhukumu vinginevyo." Jaji S. Rumanyika
Wametoka kwa huruma ya maagizo kutoka juu, kama wanahaki waambie wakadai fidia.
Ndo ka-ung'eng'e pekee uliko okota nn? Kila sentensi, full of doubt, ooh mara full of confidence. AbsurdWametoka kwa huruma ya maagizo kutoka juu, kama wanahaki waambie wakadai fidia.
The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.
Sasa kumfutia dhamana sio kumnyima?? Wewe kweli punguani.Mbowe alinyimwa dhamana au alifutiwa dhamana?
The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.
Hii ndiyo inaipa nguvu ile principle kuwa "Any Person is innocent until proven guilty by a court of law" mwisho wa kunukuu
Inakuwaje Hakimu Mashauri "awahukumu" akina Mbowe kabla ya kupatikana na hatia??
Yule muoga & Co Walijua hakuna hatia kwa mashtaka waliyowabambikia.kwa kuwakomoa wawafunge kisingizio cha kutotii masharti ya dhamana.Hii ndiyo inaipa nguvu ile principle kuwa "Any Person is innocent until proven guilty by a court of law" mwisho wa kunukuu
Inakuwaje Hakimu Mashauri "awahukumu" akina Mbowe kabla ya kupatikana na hatia??
Nadhani kuna ushauri wa kisheria watapewa kina Mbowe kuhusiana na hiyo unlawful deed ya waliyofanyiwa. Alafu Mashauri anakatiza mbele ya mahakimu wenzake na mawakili huku akionekana ni hypocrite hahahaKwenye hili mimi pia sielewi kwa nini hawa wanasheria wetu wanafurahia huu ushindi peke yake wakati haki imeshadhulumiwa kwa kuwaweka rumande kwa muda wote huu bila sababu. Wanastahili kulipwa for unlawful detention.
Haki hudaiwa, haitolewi bure.
Hahahahaaa haya matusi ya jumla jumla haya.Kwenye msafara wa mamba na kenge wamooo.
Home of Great thinkers hawakosi ma house girl
Mambo yamekua mengi na Mengi yamekua Mambo