Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 31,659
- 32,964
Justice Projestuce
Magistrate
Msaada tutani haya maneno yanafanana vipi na kutofautiana vipi
Justice Projestuce
Magistrate
Ni mheshimiwa Judge wa Mahakama Kuu ya Tanzania ndio maana nikaanza na JusticeMsaada tutani haya maneno yanafanana vipi na kutofautiana vipi
exactly, pale VictoriaApumnzike kwa amani,imebidi nimegoogle kumbe alishasababisha kifo cha mtu kwa kumgonga kwa gari,kesi yake ilifutwa.
Retired since 2016Duuh pole mkuu....
hv mpaka anafariki bado alikuwa anahudumu kama judge !!?
ama alikwisha stahafu...
Ngoja niitafuteHadi naingia JF bado ni Tetesi! Retired tupia picha mkuu.
Unajua hiki Kiingereza kimelipiwa hela nyingi kule Marian, Feza, and other schools like these, not from Elimu bure maarifa duni schools you boast of. One has to make effective use of this hard-earned money!Watani zangu wahaya mnatisha Hadi msibani kiingereza in fact nawapa pole
Kuugua kawaidaNi ajali au kaugua mkuu?
Ok Mimi nimesoma India ngoja nimlilie mtani wangu kihindi Om Shanti Shanti ShantiUnajua hiki Kiingereza kimelipiwa hela nyingi kule Marian, Feza, and other schools like these, not from Elimu bure maarifa duni schools you boast of. One has to make effective use of this hard-earned money!
Seems unamuelewa vema. Ulikuwa wapi muda huo? He was living at Ubungo by then with the late Bushaijabwe of Maji Ubungo!Huyu marehemu Projest R.I.P ni mfano mzuri kwa watu kuiga kwani aliweza kujiendeleza kiellimu toka kuwa typist pale idara ya uchumi UDSM mpaka kufikia kuwa Jaji wa High court!
India? OK lia kihindi!Ok Mimi nimesoma India ngoja nimlilie mtani wangu kihindi Om Shanti Shanti Shanti
I fail to make a connection anyway!Hapa hautamsikia Tundu Lisu akitoa pole, siajabu hata akamuonea wivu Marehemu!
Pumzika kwa Amani!
Watani wangu ni from Musoma , Kigoma, coming from one of these ?We mtani wangu muhaya acha kulia kwa kiingereza kwenye msiba wa kiswahili
kwani kuuliza sio methodology ya uchunguzi ?Wewe si ni muandishi mchunguzi? Kachunguze urudi na jibu sahihi. Huyo jaji alikuwa mahakama ipi?
Ndio Ni lugha ya kimataifa .Kupata ajira kwa wawekezaji wa kihindi popote duniani rahisi Kupata kazi Kama unajua lugha yao.India watu wanasoma kuanzia nursery hadi Phd kihindi .Wawekezaji wa kihindi na kichina wamesambaa dunia nzima Kupata ajira kwao rahisi Sana Kama unajua lugha zao wao na wawekezaji wafaransa,wahispania ,wareno na warusi.Wewe Kama kiingereza unaona deal endelea kukiongea na vitoto vyako peleka only English medium tu viongee Hadi kwenye daladala Lakini usije piga yowe kuwa ajira hazipo pamoja na vitoto vyako kutiririka kiingereza kuliko malkiaIndia? OK lia kihindi!
Ok Mimi nimesoma India ngoja nimlilie mtani wangu kihindi Om Shanti Shanti Shanti
Jifunze kihindi uajiriwe kampuni za wahindi nafasi kubwa kalia kiingereza utakufa lofa.Ukitaka kuwa juu kampuni za watu wa nje master their language.Ndio Siri kubwaLabda india ya burigi
Kama habari kukufikia ni ndoto umeingiaje humuHizo taarifa utuletee wewe sisi huku wengine tuko huku mbudya hizo habari kutufukia ni ndoto