Makambo zali
Senior Member
- Sep 23, 2017
- 180
- 433
MAONI YANGU
Jaji Mkuu,unapofuta gharama za mahakama hizo mahakama zitoe wapi pesa za kujiendesha?
Mahakama na hasa Jaji Mkuu anadhani Tanzania inaogelea kwenye bahari ya hela,kasamehe gharama zote,kompyuta za mahakama zinatumia wino,makaratasi,maji,umeme,mishahara,
Yeye kaamua kugawa sandakalawe ya kila kitu!!
Huyu mtu azuiwe haraka sana