Nyalotsi
JF-Expert Member
- Jul 20, 2011
- 6,978
- 5,025
Kwani Celina Kombani ndie alitunga hii sheria? Nilidhani bunge ndio linatunga sheria.
Na Chande nae mnafiki, kwa nini hakuongea wakati mjadala wa kitaifa unaendelea kabla ya sheria kutungwa na bunge?
celina ndo aliyepeleka mswada wa mabadiliko ya sheria hiyo. Akishirikiana na ag na vibajaji vya ccm wakawa wanamwimbia taarabu lisu. Ndo maana pinda aliungana na lisu hata alipouliuzwa mara tatu. Kumbuka chande ni mtumishi wa serikali,asingeweza kupinga wakati ule,yawezekana alitoa maoni yakapingwa ndo maana wakapelekewa hoja kina lisu.