Jaji Mkuu Ramadhani: Chadema hawana makosa!!

Luteni

JF-Expert Member
Jan 9, 2010
2,274
301
Jaji Mkuu Agustine Ramadhani amesema kisheria hakuna kosa lililofanywa na wabunge wa Chadema kutoka nje wakati wa hotuba ya Rais, akaongeza hata kanuni za bunge ziko kimya kuhusu kitendo hicho ndiyo maana hata Spika hakusema lolote "labda tunaweza kulieleza ni suala la kimaadili tu lakini si kisheria"

Source TBC 1.

Nafikiri hili ni jibu kwa Chaligati na wote waliokuwa wanadhani wabunge wa Chadema wamevunja sheria.
 
Ujumbe huu namtumia chiligati , ambaye ni hazijui sheria za bunge na hata katiba ya nchi
 
Tusi-argue nao, wisemen may not see the difference!!!
 
Mie ningependa kuuliza. Je wabunge wa chadema baadhi yao wakipewa uwaziri watagoma ama itakua je? Naomba mtazamo wenu.
 
Kuna watu katika watu huwa hawajui, lakini hawajui kama hawajui ( John Chiligati hajui hata katiba) - Hao tunawaita wapumbavu.

Kuna watu katika watu huwa wanajua, na wao wanajua kuwa wanajua ( CHADEMA wanaijua Katiba ) - Hao tunawaita Werevu

Kuna watu katika watu huwa hawajui, na wao wanajua hawajui ( CCM hajisomei katiba ) - Hao tunawaita Wajinga
 
Chiligati, Makamba, jiuzulu muende mkapumzke vjijn...mkalme. Nyerere alfanya hvo.
Siasa za mwaka 47 sio sawa na 2010
 
Hivi kweli wakuu kuna watu walikuwa hawajui kwamba wabunge ku-walk out ni jambo la kawaida bungeni kokote duniani? au ni watoto mno kiasi cha kwamba hawajawai kuona kokote duniani kutokea? au ndio tunapenda kujifanya wajinga hata kama tunajua jambo?
 
Jaji Mkuu Agustine Ramadhani amesema kisheria hakuna kosa lililofanywa na wabunge wa Chadema kutoka nje wakati wa hotuba ya Rais, akaongeza hata kanuni za bunge ziko kimya kuhusu kitendo hicho ndiyo maana hata Spika hakusema lolote "labda tunaweza kulieleza ni suala la kimaadili tu lakini si kisheria"

Source TBC 1.

Nafikiri hili ni jibu kwa Chaligati na wote waliokuwa wanadhani wabunge wa Chadema wamevunja sheria.


Asante sana.......
 
Warioba naye ameona kuwa still kuna tatizo la katiba by the way huwa yeye hayupo na ,mambo yanayofanywa na sisiem ila ukweli ndio huo amesema katiba imetungwa miaka mingi na ni haki yao kudai katiba ibadilike.

Mfano sera ya Michezo na habari inasema michezo yote itakua ikifanyika kwenye vijiji vya ujamaa hii nisera ya miaka hiyooooooo,
wapi leo kuna vijiji vya ujamaa leo ukiongea vijiji vya ujamaa tunajua viraka vya suruali

Mzee GOMEZI
 
Warioba naye ameona kuwa still kuna tatizo la katiba by the way huwa yeye hayupo na ,mambo yanayofanywa na sisiem ila ukweli ndio huo amesema katiba imetungwa miaka mingi na ni haki yao kudai katiba ibadilike.

Mfano sera ya Michezo na habari inasema michezo yote itakua ikifanyika kwenye vijiji vya ujamaa hii nisera ya miaka hiyooooooo,
wapi leo kuna vijiji vya ujamaa leo ukiongea vijiji vya ujamaa tunajua viraka vya suruali

Mzee GOMEZI
Kwenye bold inaonyesha kweli katiba imepitwa na wakati, hivi kwa nini Kikwete asiweke historia kwamba Tanzania ilibadili katiba peacefully au anasubiri tutwangane kwanza.
 
Jaji zembe hili. Si kazi yako kutoa viji comment vya kuhukumu ni nini sawa na nini si sawa kisheria ukiwa nje ya mahakama.
 
Jaji Mkuu Agustine Ramadhani amesema kisheria hakuna kosa lililofanywa na wabunge wa Chadema kutoka nje wakati wa hotuba ya Rais, akaongeza hata kanuni za bunge ziko kimya kuhusu kitendo hicho ndiyo maana hata Spika hakusema lolote "labda tunaweza kulieleza ni suala la kimaadili tu lakini si kisheria"

Source TBC 1.

Nafikiri hili ni jibu kwa Chaligati na wote waliokuwa wanadhani wabunge wa Chadema wamevunja sheria.

Wabunge wa CHADEMA, msiyumbishwe na maneno yoyote. Naomba mjue kuwa nyuma yenu kuna watanzania wengi wenye ufahamu wa nini ninaendelea katika nchi. Jueni kwamba mnapigania uhuru na si vinginevyo. Tanzania iko kwenye giza nene na ni wacahache wanaweza kuikomboa. Amabo ni ninyi. Mungu awatangulie.
 
Jaji zembe hili. Si kazi yako kutoa viji comment vya kuhukumu ni nini sawa na nini si sawa kisheria ukiwa nje ya mahakama.
Huku ni kujaribu kuwafumba macho watanzania wasioijua katiba, ccm wamesema yao lakini huyu waliyemweka kuhakikisha sheria inafuatwa ndivyo kasema hali ya mambo ilivyo kulingana na taaluma yake, kama huwezi kutoa kitu chenye mantiki ni bora ukatunza charge yako uitumie next time....
Rudi kasome tena katiba kama utapenda lakini, just kwa faida yako!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom