Luteni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 2,274
- 301
Jaji Mkuu Agustine Ramadhani amesema kisheria hakuna kosa lililofanywa na wabunge wa Chadema kutoka nje wakati wa hotuba ya Rais, akaongeza hata kanuni za bunge ziko kimya kuhusu kitendo hicho ndiyo maana hata Spika hakusema lolote "labda tunaweza kulieleza ni suala la kimaadili tu lakini si kisheria"
Source TBC 1.
Nafikiri hili ni jibu kwa Chaligati na wote waliokuwa wanadhani wabunge wa Chadema wamevunja sheria.
Source TBC 1.
Nafikiri hili ni jibu kwa Chaligati na wote waliokuwa wanadhani wabunge wa Chadema wamevunja sheria.