Mafiningo
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 4,436
- 4,646
Hapana mkuu, hawana hizo kadi popote ,huu ni wakati wa kujipendekeza ili tumbo linenepe.Jaji acha uongo. Wengi wenu mnazo kadi mioyoni mwenu.
Wengi wanafanya wasiyo hiari nayo.
Njaa mkuu.
Hapana mkuu, hawana hizo kadi popote ,huu ni wakati wa kujipendekeza ili tumbo linenepe.Jaji acha uongo. Wengi wenu mnazo kadi mioyoni mwenu.
Ni wale wazee, vijana wako neutral.Hizi ni Sarakasi zile zile..alitakiwa kuwaagiza wajivue uanachama kutoka vyama vya siasa kwani zaidi ya 50% ya Majaji&Mahakimu wa nchi hii wana kadi za CCM.Watakuja kujitetea baadae kuwa walioambiwa ni wale ambao hawajajiunga na sio kwa wale ambao tayari ni wanachama. Jaji Mkuu awe wazi kuwa wajivue uanachama kuanzia lea na akianzia na Hakimu Simba anayepewaga kesi za upinzani...