Ngambo Ngali
JF-Expert Member
- Apr 17, 2009
- 3,517
- 1,360
Jaji Mkuu Mstaafu, Augustino ramadhani, ametunukiwa tuzo ya Martin Luther King Junior ya mwaka 2012 kutokana na juhudi zake za kutetea haki na Amani kwa watu wote katika kipindi chake cha utumishi wa Umma.
MY TAKE:
Hii ni dhihaka kubwa sana kwa watanzania hasa ikizingatiwa ushiriki wake katika kesi ya mgombea binafsi.
Kwa kweli sijaona ni wapi alisogeza mbele tasnia na uwanja wa haki ya binadamu, yeye ndiye aliyekataa kuondolewa kwa adhabu ya kunyongwa.
Hii inafifisha kwa kiasi Kikubwa sana heshima ya tuzo hiyo
MY TAKE:
Hii ni dhihaka kubwa sana kwa watanzania hasa ikizingatiwa ushiriki wake katika kesi ya mgombea binafsi.
Kwa kweli sijaona ni wapi alisogeza mbele tasnia na uwanja wa haki ya binadamu, yeye ndiye aliyekataa kuondolewa kwa adhabu ya kunyongwa.
Hii inafifisha kwa kiasi Kikubwa sana heshima ya tuzo hiyo