chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 11,996
- 20,644
Jambo hili limeleta mshangao mkubwa kwa wananchi, viongozi wa serikali na Bunge, je Jaji Mkuu anaamini corona imesambaa sana Dar es salaam hivyo kaamua kuzuia mawakili wa mikoani wasije Dar es salaam?
Je, Jaji Mkuu haamini taarifa za Rais kwamba hakuna corona? Kama haamini,katumia vyanzo gani vya kitabibu?
Je, ameshindwa kuapisha mawakili wa Dar tu kama kiwakilishi akakaa nao na kutoa hotuba?
Kashindwa kukodi ukumbi wa kuapishia mawakili 500?
Hamuamini Rais aliposema corona imeisha?
Alishindwa kuwaambia mawakili watarajiwa watumie tahadhari za wizara ya afya?
Kama wanafunzi wa nursery mpaka chuo kikuu wamerudi mashuleni, Jaji Mkuu anapata taarifa ipi ya kiintelejensia kuzuia yeye kukutana na mawakili wapya kisa corona?
Wasalaam
#matege
Je, Jaji Mkuu haamini taarifa za Rais kwamba hakuna corona? Kama haamini,katumia vyanzo gani vya kitabibu?
Je, ameshindwa kuapisha mawakili wa Dar tu kama kiwakilishi akakaa nao na kutoa hotuba?
Kashindwa kukodi ukumbi wa kuapishia mawakili 500?
Hamuamini Rais aliposema corona imeisha?
Alishindwa kuwaambia mawakili watarajiwa watumie tahadhari za wizara ya afya?
Kama wanafunzi wa nursery mpaka chuo kikuu wamerudi mashuleni, Jaji Mkuu anapata taarifa ipi ya kiintelejensia kuzuia yeye kukutana na mawakili wapya kisa corona?
Wasalaam
#matege