Sumve 2015
JF-Expert Member
- Jun 16, 2013
- 4,415
- 4,057
Humu hawataki kuelezwa ukweli kama huu.Kwa mtizamo wangu mawakili wa watuhumiwa wasijisumbue kutaka kushinda au kudhoofisha kesi on technicalities, badala wajikite kwenye "substance".
Kesi hii kwa unyeti wake haiwezi malizwa kwa makosa ya kiufundi tu! Mwenye masikio na asikie!
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app