Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Hakika mkuu maana kila penye neema ya kuotesha mazao lazima palimwe tuNashauri watu tusilaumu hii kesi ya Mbowe, bali tuusubiri mwisho wake kwa subira.
Kuna jambo Mungu amekusudia.
Hakika mkuu maana kila penye neema ya kuotesha mazao lazima palimwe tuNashauri watu tusilaumu hii kesi ya Mbowe, bali tuusubiri mwisho wake kwa subira.
Kuna jambo Mungu amekusudia.
1. Ikulu imwahukumuHakika mkuu maana kila penye neema ya kuotesha mazao lazima palimwe tu
Hii ni kesi kati Rais ambaye ndio mteule wa hao wote dhidi ya Mbowe , Wawakilishi wote wa kimataifa , wakiwemo wa EU na UN wanafahamuWakati fulani JPM alisema japo tuna mihimili mitatu upo muhimili uliojichimbia zaidi watu wakamlalamikia sana ila shida ni Mathematics na Chemistry hizi huwa hazina matokeo ya kughushi na kubalika badilika. 1+1 ni 2 tanzinia,uchina na USA...
Mhimili wa Mahakama umebakwa tena mtungo.Wakati fulani JPM alisema japo tuna mihimili mitatu upo muhimili uliojichimbia zaidi watu wakamlalamikia sana ila shida ni Mathematics na Chemistry hizi huwa hazina matokeo ya kughushi na kubalika badilika. 1+1 ni 2 tanzinia,uchina na USA..
Ufafanuzi Kwa kilichotokea mahakamani hadi serikali kuomba hairisho:
Daftari la kuingiza na kutoa mahabusu baada ya kesi ndogo Ya Adam Kasekwa kutolewa uamuzi , utaratibu wa sheria na mahakama nyaraka ile inatunzwa store ya mahakama, swali ambalo mawakili wetu wamejiuliza leo;...
This C-a-s-e is totally a shame in its all forms.Ufafanuzi Kwa kilichotokea mahakamani hadi serikali kuomba hairisho:
Daftari la kuingiza na kutoa mahabusu baada ya kesi ndogo Ya Adam Kasekwa kutolewa uamuzi , utaratibu wa sheria na mahakama nyaraka ile inatunzwa store ya mahakama, swali ambalo mawakili wetu wamejiuliza leo;
1. Imekuwaje kitu kipo store ya mahakama, kimefikaje mahakamani kwa shahidi wa leo?
2. Kama walikihitaji kutumia walipaswa waandike maombi ya kisheria kuomba nyaraka ile ambayo sasa ni mali ya mahakama Itolewe store ya Mahakama iletwe Mahakani leo, hilo halikufanywa...
3. Kitendo cha nyaraka leo (iliyokuwa store ya mahakama) kuibukia Mahakamani ghafla ni kiashiria kwamba kuna mawasiliano ya siri na kinyume na utaratibu wa Mahakama kati ya ofisi ya mashtaka na mahakama kwamba wanakutana na kupanga mambo ya kufanya Mahakamani..
4. Moja ya sababu ya kutupilia mbali kesi ndogo ya Adam Kasekwa juu ya pingamizi lake, Jaji Siyani alisema ameshangaa kwanini mawakili wa utetezi hawakupinga hiki kielelezo, LEO SIYO TU KINAPINGWA BALI KINAKATALIWA KUINGIA MAHAKAMANI KINYEMELA kutoka kwenye store za Mahakama
ccm ilishakufa siku nyingiHata wafanye nini haitawasaidia, CCM ni Chama maiti. Sikio la kufa MaCCM.
Wameua, wameteka , wametesa , Wameiba masanduku ya kura , wamebebeshana mabegi meusi, wamevuruga chaguzi.
CCM = Dead Party.
ila tuli suffer1. Ikulu imwahukumu
2. Polisi wamewabambika
3. Mahakama haiko upande wa haki
4. Amesalia Muumba wao
5. Amebaki Mungu wao
6. Amebaki mtetezi wa haki
7. Amebaki Mungu Aaiyeshindwa..
Huyu hata wakifungwa hatachelewa kufanya JAMBO.
NOTE; Kumbukeni 2015 to 2021 March.
Tumwogope Mungu wakuu wangu
Aliyewaambia CHADEMA kuwa Mbowe si malaika Naye pia ni binadamu,Naye akubali na awe tayari kuhojiwa kuhusu ushahidi aliosema wanao dhidi ya Mh.Mbowe.Vinginevyo Nyani huwa haoni...Kuwa siyo malaika haimaanishi ni gaidi.
Lakini si kwa kubumba hukoMbowe sio malaika hukumu itaendelea kama watu wengine hio ni kazi ya mahakama
Katiba ya 1977 haina tofauti na vitaAcha hizo wewe vita haina macho upo tayari kuona wazazi,watoto na mme wako damu zao zikipotea? Ni dhambi kubwa sana kuombea vita.
Wote ni majaji tu.
Hilo la mkuu ni la kiutawala zaidi siyo utaalamu.
Kuwa siyo malaika haimaanishi ni gaidi.
Si mnasema hakufanya jinai? mbona mnakimbilia makosa ya waendesha mashitaka? hamuoni kwamba sasa mahakama ndo imeimarika hasa kwamba wakosefu hawana nafasi ya kuhonga wapelelezi na waendesha mashitaka? ACHENI MAHAKAMA IFANYE KAZI YAKE, mngempenda sana mngemuonya asifanye ugaidi wala saizi msingekuwa kwenye position ya kukimbilia kuangalia document gani imekosewa ili iwaokoe...si mnasema hana kosa hofu yote hiyo ya nini?
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Wewe unaejua sheria kumzidi Jaji basi nenda kaamue kesi hiyo tukuone, au mwambie Kibatala akusaidie kutoa uamuzi.
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Wale wakili wasomi wa Mbowe wajanja Sana,wanaweka mapingamizi huku wakijua hayana mashiko,mwisho waonekane walitetea kweli,jampo mteja wao kaishia lupango.
Au nasema uongo ndugu zangu!
Kwa mtizamo wangu mawakili wa watuhumiwa wasijisumbue kutaka kushinda au kudhoofisha kesi on technicalities, badala wajikite kwenye "substance".
Kesi hii kwa unyeti wake haiwezi malizwa kwa makosa ya kiufundi tu! Mwenye masikio na asikie!