Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,720
- 21,778
Jaji mkuu Ramadhan amewashangaza watu kwa kutumia pesa ambayo alipewa kukarabati nyumba yake na kuamua kwenda kukarabati jumba la kumbu kumbu ya Jaji mkuu wa kwanza wa Tanzania Bw. Said.
Sherehe hizo zimefanyika leo huku zikihudhuriwa na Waziri Mkuu na mjane mama Said ambaye alizindua sanamu ya mumewe.
mmmh swali langu hizo za kurekebisha nyumba yake atazipataje tena???
Sherehe hizo zimefanyika leo huku zikihudhuriwa na Waziri Mkuu na mjane mama Said ambaye alizindua sanamu ya mumewe.
mmmh swali langu hizo za kurekebisha nyumba yake atazipataje tena???