bongo hakishindikani kitu! hizo hela alipewa ili afanye kama alivyofanya ila 'siasa' tu akasema eti zilikuwa za nyumba yake etc!mmmh swali langu hizo za kurekebisha nyumba yake atazipataje tena???
mmmh swali langu hizo za kurekebisha nyumba yake atazipataje tena???
Huwa najua kuwa ni ya PATEL au ROSTAM kumbe wakurugenzi ni Gilabhadi Pindolia na Jianesh Mandwama. reference ktaba wa ujenzi wa jengo la UVCCM.
wakitumia mafisadi na wasipo tumia mafala, kaazi kweli kwelijaji mkuu ramadhan amewashangaza watu kwa kuumia pesa ambayo alipewa kukarabati nyumba yake na kuamua kwenda kukarabati jumba la kumbu kumbu
Kasheshe, Pape et al,
Nyie mwaweza kuyafanya hayo?
Bibi Ntilie,
Hata mimi nafahamu angalau kwa kidogo kwamba kama kuna watumishi watatu WASAFI nchini basi jaji AR. atakuwepo ... ninalokataa ni hili hapa.
1. Hilo jengo liliokuwa linajendwa ni la Jaji Mkuu wa Tanzania sio la Jaji Augustino Ramadhani.
2. Waliokadiria (budget) kwamba majengo hayo mawili la Jaji na la Mahakama ni hao hao.
3. Jaji mkuu anastaafu karibuni kwa tetesi za hapa jamvini... mwaka huu kama sikosei... hivyo hakuna masilahi kwake kujenga helo hekalu.
----> kilichofanyika ni changes of priority lakini majengo yote mawili yatajengwa... nothing special to me.
kumbuka ni majuzi tu alilalamika kwama budget anayopewa ni ndogo ukilinganisha na budget ya msajili wa vyama vya siasa.Upo hapo BONGO NI SIASA KWANZA
Bibi Ntilie,
Hata mimi nafahamu angalau kwa kidogo kwamba kama kuna watumishi watatu WASAFI nchini basi jaji AR. atakuwepo ... ninalokataa ni hili hapa.
1. Hilo jengo liliokuwa linajendwa ni la Jaji Mkuu wa Tanzania sio la Jaji Augustino Ramadhani.
2. Waliokadiria (budget) kwamba majengo hayo mawili la Jaji na la Mahakama ni hao hao.
3. Jaji mkuu anastaafu karibuni kwa tetesi za hapa jamvini... mwaka huu kama sikosei... hivyo hakuna masilahi kwake kujenga helo hekalu.
----> kilichofanyika ni changes of priority lakini majengo yote mawili yatajengwa... nothing special to me.
Jaji Ramadhani ana bahat mbaya kuwa CJ katika serikali ya ki sanii ya Muungwana,
Jaji Saidi chini ya Julius Kambarage, Jaji Ramadhani chini ya Jakaya Kikwete