M-mbabe
JF-Expert Member
- Oct 29, 2009
- 13,203
- 23,020
Ndugu yangu Nguvumali.....akistaafishwa kutoka madarakani say mwaka kesho, successor wake atanyimwa pesa nyingine ya kukarabati jengo atakalorithi?hata kama ni mwanasiasa, lakini kitendo cha yeye kubana matumizi au kuzuia matumizi kwa mambo yasiyo na tija anapaswa kupongezwa.
kwanini aishi maisha yenye kufuru katika lindi na umasikini kama huu, heri kaamua kufanya jambo lingine kwa faida ya UMMA.
wangapi wanaweza kukubali kuishi maisha ya kawaida ili kuinufaisha jamii yao ? wachache sana.
nafikiri mawazo yako yamejaa kutu, sioni mantinki ya wewe kutoona mantinki ya Jaji Mkuu.
Ndugu yangu hii yote ni sarakasi tu ambapo aumiaye mwisho wa siku ni walipa kodi (wewe, yule na mimi).