Jaji Mark Bomani: Ni vizuri kukawepo kura ya maoni kuhusu Muungano (Referendum)

Kwa nini viongozi wetu wanakuwa hawataki kusikia wananchi wakiomba kupewa kura ya maoni (Referendum) ili kujiamulia mstakabali wa muungano kama uendelee kuwepo au uwekwe kwenye kopo taka (dustbin).

Tumeishi na manung'unguniko hasa kutoka Zanzibar kwa miaka zaidi ya miaka 34 na katika hiyo, mpaka Rais Aboud Jumbe alishinikizwa kuachia madaraka kwa sababu ya swala hili la Muungano na sidhani kama inafaa tuendelee kuishi tena na malalamiko wakati nafasi ya kufanya mabadiliko imetokea. We are just horsing around with a RARE opportunity.

Huu ni muda wa kuwapa wananchi sauti itakayowafanya watoe maamuzi muhimu na hata likitokea jambo baya mbeleni, hakutakuwa na mtu au taasisi ya kubeba lawama zaidi ya wananchi wenyewe.

It's time for REFERENDUM. The time is NOW kama nilivyosema few days ago kwenye hii Thread,

https://www.jamiiforums.com/katiba-...-moja-mbili-au-tatu-tupiganie-referendum.html

Mkuu hapo kwa red jibu ni hili, kwa sababu wanajua wakitoa nafasi hiyo (ya referendum) wanasiasa watawarubuni wananchi kuvunja muungano kwa maslahi yao (wanasiasa)
 
Of All the things, Hapo umenena babu...Safi sana, tunataka watu objective kama ninyi. Mimi Kuliko hiyo serekali iitwe ya Tanzania Bara ni bora kabisa isiwepo!

Hapo ndio hata hao akina Jaji Warioba na Prof. Baregu sikuwaelewa kabisa. Ukisema TANZANIA bara unakuwa umesema Tanganyika Zanzibar Bara ambayo haina maana wala mantiki yoyote. Hakujawahi kuwa na nchi kama hiyo wakati wa muungano wa Tanganyika na Zanzibar.
 
SerikaliTatu.jpg

KAMATI KUU CCM YAMCHANGANYA
Alisema msimamo wa juzi wa Kamati Kuu (CC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kidogo umemchanganya, kwani upande mmoja kuna hisia kuwa CCM haitaki serikali tatu, wakati huo huo inataka wananchi waelimishwe vya kutosha kabla ya kutoa maamuzi yao.

( Jaji Bomani, 13/06/2013)
 
Kwa nini viongozi wetu wanakuwa hawataki kusikia wananchi wakiomba kupewa kura ya maoni (Referendum) ili kujiamulia mstakabali wa muungano kama uendelee kuwepo au uwekwe kwenye kopo taka (dustbin).

Tumeishi na manung'unguniko hasa kutoka Zanzibar kwa miaka zaidi ya miaka 34 na katika hiyo, mpaka Rais Aboud Jumbe alishinikizwa kuachia madaraka kwa sababu ya swala hili la Muungano na sidhani kama inafaa tuendelee kuishi tena na malalamiko wakati nafasi ya kufanya mabadiliko imetokea. We are just horsing around with a RARE opportunity.

Huu ni muda wa kuwapa wananchi sauti itakayowafanya watoe maamuzi muhimu na hata likitokea jambo baya mbeleni, hakutakuwa na mtu au taasisi ya kubeba lawama zaidi ya wananchi wenyewe.

It's time for REFERENDUM. The time is NOW kama nilivyosema few days ago kwenye hii Thread,

https://www.jamiiforums.com/katiba-...-moja-mbili-au-tatu-tupiganie-referendum.html
Nilianzisha thread hapa jana kudai the same na nimegundua kuwa wanaodai muungano uvunjike wana lao zaidi ya kuvunja muungano kwani sisi wabara tukisema tunataka tanganyika na hatutaki muungano wanasema no muungano uvunjike halafu kuwe na serikali mbili, ya zanzibar na ya muungano, Kwa hiyo wanataka iwe hivi
CHAO CHAO, na CHETU CHA-WOTE
 
Jaji Bomani nakubaliana kwenye vipengele viwili (1) Tupige kwanza kura ya maoni tunataka muungano, na wa aina ipi (na si kwa zbr tu, bali na bara pia tupige kura). Baada ya hapo ndipo katiba itayarishwe kulingana na aina na serikali tuliyokubaliana nayo. (2) Kwa kuwa referendum hiyo ya aina ya muungano (or no muungano) inaweza kuchukua muda, si lazima katiba ikamilike before 2015. Lakini hii ya Warioba kuandaa kabisa katiba ya muungano inayotambua serikali tatu (ambayo hatujakubaliana) ni makosa na ni ku pre-empt wananchi ambao watakuwa bado hawajakubaliana na serikali tatu anayotusukuma huko kwa nguvu. Lakini sikubaliani na jaji Bomani kukubaliana na serikali tatu moja kwa moja.
 
Nadhani sasa ccm itajua ni kwanini kuna Tanganyika Law Society badala ya Tanzania Law Saw Society. ni wakati muafaka sasa tukubali mawazo ya wansheria wa Tanganyika Law Society
 
Kwa nini viongozi wetu wanakuwa hawataki kusikia wananchi wakiomba kupewa kura ya maoni (Referendum) ili kujiamulia mstakabali wa muungano kama uendelee kuwepo au uwekwe kwenye kopo taka (dustbin).

..........jibu ni hili, kwa sababu wanajua wakitoa nafasi hiyo (ya referendum) wanasiasa watawarubuni wananchi kuvunja muungano kwa maslahi yao (wanasiasa)

Well, "Tungejua kama hali ya aina hii itajitokeza, basi tungeanza na kura ya maoni, tungewauliza wananchi kama wanautaka muungano na kama ndiyo, basi uwe wa aina gani au serikali ngapi, mtu angesema moja, mbili, tatu na kadhalika," alisema Pinda jana kwenye Viwanja vya Bunge mjini hapa.

mito unaona unavyoachwa? Mwisho utabakia uchi. Chezea wanasiasa wewe?
 
“Tungejua kama hali ya aina hii itajitokeza, basi tungeanza na kura ya maoni, tungewauliza wananchi kama wanautaka muungano na kama ndiyo, basi uwe wa aina gani au serikali ngapi, mtu angesema moja, mbili, tatu na kadhalika,” alisema Pinda jana kwenye Viwanja vya Bunge mjini hapa.

Huku ndiko kugonga ukuta hadi fahamu zinarejea.
 
Mkuu hapo kwa red jibu ni hili, kwa sababu wanajua wakitoa nafasi hiyo (ya referendum) wanasiasa watawarubuni wananchi kuvunja muungano kwa maslahi yao (wanasiasa)

najua kuwa watu hasa wasomi mlio na vielimu vidogo vidogo mnakuwa wepesi sana kufikiri wtz wengine eti niwakurubuniwa tuuu! binafsi nawapa pole sana.na ambacho hamkijui watu wanawavutia pumzi!
 
Huku ndiko kugonga ukuta hadi fahamu zinarejea.

Hivi ni kweli Pinda alikuwa hajui "kama hali ya aina hii itajitokeza"?

He once remarked "about the Isles' strong sovereignty that Zanzibar is not an independent country outside the Union Government, within which it can only exercise its sovereignty.

Members from both the ruling party, Chama Cha Mapinduzi (CCM), and the opposition Civic United Front (CUF) disagreed with Mr Pinda's interpretation and stand firmly in recognizing Zanzibar as a fully autonomous and full state, the move which is widely unrecognized by the formation of the Government of the United Republic of Tanzania which raises a backlash between Members of Parliament from the Tanzania mainland and Zanzibar.

In 2008, Tanzanian president Jakaya Kikwete tried to silence the matter when he addressed the nation in a live conference by saying that Zanzibar is a state internal but semi-state international. But this this has not no calmed down the situation." http://simple.wikipedia.org/wiki/Zanzibar
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom